Tuwe makini na matapeli wa "ile pesa tuma kwenye hii namba". Ni kama vile wanapata taarifa tunapofanya miamala

Hapa ipo namna siyo bure!
 
Hicho ndicho cha kujiuliza. Cha ajabu zaidi anza pokea michango au pesa iwe imetumwa kwenye simu yako ndiyo utaanza ona sms za makampuni zinaanza mara sijui kopa, sijui nini haichukui muda unakutana na ujumbe ntumie pesa namba hii. Wanajuaje kama nimepokea pesa kwenye simu kama hakuna connection na makampuni au mtaalam na mwenye access na mtandao? Mbona simu ikiwa haina mpesa,tigopesa n.k jumbe hizo haziji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…