hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Hatari manHip hop uchwara 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari manHip hop uchwara 😂😂
..na ile simu sikuitumia tena....Mimi simu ilikuwa inazingua touch na nipo mkoa kikazi nasubiri nirudi Dar ndio nibadili, aisee sina hili wala lile simu ipo mfuko wa suruali, kwenye mida ya SAA sita mchana simu yangu Nokia ndogo simu inapigwa kucheki mshkaji wangu wa kitambo na tulikuwa hatujawasiliana almost miezi 6, napokea simu cha kwanza ananiambia wewe ..mse... ingia haraka WhatsApp status kafute kimeo chako akakata simu, naingia status nakuta pilau linapikwa limeivaa hatari nikafuta fasta na ile simu sikuitumia tena.
duh.Kuna dogo alikuwa mgeni alituma mzigo kweny group la ofisi, akachachawa badala afute eti kaleft😂😂
Hii nzuri na akili kubwaSiku nyingine usipaniki baada ya mambo kuharibika tafuta namba ngeni wajulishe watu wako wote mnaoheshimiana kuwa umeibiwa simu.
Baada ya siku tatu wajulishe tena unefanikiwa ku-renew number na pole kwa yeyote aliyetapeliwa.