Tuwe makini sana na simu. Sitokuja kusahau siku niliyoposti kwa bahati mbaya status ya pilau 18+ na simu ikazima, kijasho kilinitoka

Yeye alishindwa kuifuta?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi tangu niache haya mambo..utu uzimani siweki picha kwa gallery
...so what sihifadhi picha kabisa madelete pic yyt ile. My gallery is empty.

Na kwali niko makini ila backup ni kuondoa unnecessary matter karbala na simu
 
Ukisikia kushindana na hewa, ndio huko!
Kushinda hushindi, na upepo unakucheka!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wee sema tu ni yule katibu wa nambari one yeeeee! Nambari one,nambari ni.....
 
Kijana wa hovyo
 
Nimecheka hadi machozi..Imeshanitokea mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…