Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh mama samia ni form4 lakini anaendesha nchi watapatikana!Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Ana masters yule ya uchumi. Google cv yake utaonaMmmh mama samia ni form4 lakini anaendesha nchi watapatikana!
iweke mkuu Mbona nasikia alifeli ndio akaunga unga elimu ili akasomee airhostess?Ana masters yule ya uchumi. Google cv yake utaona
Ana masters yule ya uchumi. Google cv yake utaona
Mumeo atakuwa waziri wa fedhaTuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Tayari umeshajibu kwamba aliunga unga which means yupo juu ya form fouriweke mkuu Mbona nasikia alifeli ndio akaunga unga elimu ili akasomee airhostess?
😂😂😂😂Tutamweka mamako na dada zako
Ndio mkuu Embu niwekee masters yake ya uchumi, alipatia chuo gani hivi?Tayari umeshajibu kwamba aliunga unga which means yupo juu ya form four
kwanza watapewa na nani hao 🤣Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Udsm. Pia kizuri chajiuza. Sikiliza hotuba zake utajua ana sifa hizoNdio mkuu Embu niwekee masters yake ya uchumi, alipatia chuo gani hivi?
Mdude_Nyagali atakuwa Waziri wa Mambo ya Ndani huku akisomamia kwa karibu Polisi na Magereza. Kumbuka yule Nyampala wake bado yuko gereza la LuandaTuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Si lazima Mawaziri wawe hao hao wapiga debe kwenye chama, wengine wanaweza kuachwa kuendelea kuimarisha chama chao. Halafu nchi ina watu wengi wazuri na wasomi lakini hawapo katika uongozi wa vyama, labda ni wanachama wa kawaida; hawa wanaweza kutumika kuendesha serikali.Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
huwezi kutaja zaidi ya wa4 na Chadema itakua umekwisha na chama kitakua hakina uongozi tena dah 🐒1.Catherine Ruge anatosha kuwa waziri wa uchumi
2.Peter Msigwa- Waziri wa maliasili na utalii
3. John Mnyika- Katiba na Sheria
John Heche- Mambo ya ndani