Tuwe wakweli jamani. Hivi chadema wakipewa nchi itakuwaje? Maana msomi ni tundu lisu pekee. Baraza la mawazili itakuwaje?

Tuwe wakweli jamani. Hivi chadema wakipewa nchi itakuwaje? Maana msomi ni tundu lisu pekee. Baraza la mawazili itakuwaje?

Ila ipo wazi, CCM ni mbovu ila vyama vya upinzani ni vibovu zaidi.

Bora tubaki na hawa mumiani wetu wa CCM kuliko kuchagua wapinzani
Nyerere aliomba Uhuru akiwa na wasomi wangapi? na sasa wako wangapi? anzia hapo kwanza...
 
Itoshe kusema wewe ni mjinga,,, yaani nchi ikose mawaziri kisa CCM hawapo madarakani
 
Back
Top Bottom