Tuwe wakweli jamani. Hivi chadema wakipewa nchi itakuwaje? Maana msomi ni tundu lisu pekee. Baraza la mawazili itakuwaje?

Tuwe wakweli jamani. Hivi chadema wakipewa nchi itakuwaje? Maana msomi ni tundu lisu pekee. Baraza la mawazili itakuwaje?

Mnawacheka wakenya kwa ukabila Ila nyie mpo busy na uchama. What's the difference?....

Kwani Chadema haiwezi kupata watu competitive kwa kupitisha mfumo wa watu kutuma maombi ya uwaziri wa wizara flani. Mfumo ambao ni mzuri kuliko huu wa kutegemea wabunge wa chamak fulani kuwa mawaziri

Hivi, ni lini watu wataanza kuifikiria hii nchi katika lenzi ya maslahi ya taifa kuliko supremacy ya chama flani?..
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
1.Catherine Ruge anatosha kuwa waziri wa uchumi
2.Peter Msigwa- Waziri wa maliasili na utalii
3. John Mnyika- Katiba na Sheria
Covid 19 na wengine km Juakali, dr Mkumbo na wengine wengi mbona wako huko ccm kutokea CDM wamepewa uwaziri,ukuu wa wilaya na maatasisi nyeti km Kafulila, Gekur nk bado ndiyo wanaounda serikali ya ccm na hamjaibomoa hazina ya wasomi Chadema. huo ni ushahidi tosha CDM inaweza kuunda serikali. wako vizuri kwa sasa.
 
Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Mawazo ya aina yako ndiyo yanairudisha nchi nyuma. Mimi kiongozi mzuri ni yule anayeteua viongozi kutoka makundi mbali mbali bila kujali vyama ili mradi wana weledi na wanakubali kushirikiana na uongozi uliopo. BTW CCM viongozi wachache mbona ni wachache sana?
 
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Siwezi nikawaita wapumbavu Ila kwenyw kuangalia ubora, kuna shida mahali ndio maana kuna watu wanakuwa mawaziri si kwa sababu wapo competitive Ila ni kwa sababu wapo kwenye mfumo.

Najua wengi hutetea kwa kusema waziri sio lazma awe professional au experience kwa wizara anayosimamia maana katibu ndio mtendaji. Ila utasimamiaje kitu ambacho hukielewi

Hivyo, mfumo wa wengi wape unawafanya baadhi ya watu kupata uwaziri. Ila tukiangalia quality over quantity, hata CCM ina uhaba mkubwa tu
 
Mnawacheka wakenya kwa ukabila Ila nyie mpo busy na uchama. What's the difference?....

Kwani Chadema haiwezi kupata watu competitive kwa kupitisha mfumo wa watu kutuma maombi ya uwaziri wa wizara flani. Mfumo ambao ni mzuri kuliko huu wa kutegemea wabunge wa chamak fulani kuwa mawaziri

Hivi, ni lini watu wataanza kuifikiria hii nchi katika lenzi ya maslahi ya taifa kuliko supremacy ya chama flani?..
Kwa katiba hii Rais anaweza kuwateua wabunge 10 pia.
 
Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Waliosalia ni mihemko na hata yeye Lisu anachojua ni Sheria na kesi tuu Sasa Nchi itaendeshwaje si itakuwa kama sharia za Al Shaabab? 😆😆
 
Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
Una stress sana we jamaa.
Pale CCM Msomi ni nani?
Paramagamba Kabudi tu, wengine wote wana vyeti feki na udaktari wa mazabe. Halafu Chadema kuna Wasomi ambao sio watu wa kwenye video. Kibatala, Dickson Matata, yule MKURUGENZI na mwenyekiti wa mambo ya fedha wao ambao ni CPA na anatambulika mpaka na Waingereza
 
Mnawacheka wakenya kwa ukabila Ila nyie mpo busy na uchama. What's the difference?....

Kwani Chadema haiwezi kupata watu competitive kwa kupitisha mfumo wa watu kutuma maombi ya uwaziri wa wizara flani. Mfumo ambao ni mzuri kuliko huu wa kutegemea wabunge wa chamak fulani kuwa mawaziri

Hivi, ni lini watu wataanza kuifikiria hii nchi katika lenzi ya maslahi ya taifa kuliko supremacy ya chama flani?..
Kwanza hawawezi Utawala maana huko kwao hawaelewani na pia hawana uzoefu wowote wa kiungozi na mda wote wamejaa stress kufura kutoka yaani shida tupu
 
Una stress sana we jamaa.
Pale CCM Msomi ni nani?
Paramagamba Kabudi tu, wengine wote wana vyeti feki na udaktari wa mazabe. Halafu Chadema kuna Wasomi ambao sio watu wa kwenye video. Kibatala, Dickson Matata, yule MKURUGENZI na mwenyekiti wa mambo ya fedha wao ambao ni CPA na anatambulika mpaka na Waingereza
Bunge la CCM 👇👇
20240627_202904.jpg
 
ni ajabu sana watu kuuliza maswali ya kijinga jinga kama haya ya mtoa mada... baba wa taifa alianza na watu 12 tu, sasa huyo Tundu ana wangapi wa kuchagua toka milion 60 na zaidi? bado ni wale wale 12 kama baba wa Taifa? wakati mwingine acheni kutangaza ujinga wa maswali yenu...
 
Kwa katiba hii Rais anaweza kuwateua wabunge 10 pia.
hao ni wachache lakini pia, ukiangalia quality ya wateuliwa huwa ni kama Rais amepewa chance ya kuingiza mawaziri anaowataka katika baraza lake la mawaziri. Hapo ndipo watu wenye quality kama Mulamula hupata chance ya kutumika.

Hivyo, kwa nini tusiwe na mfumo kama aliopendekeza Warioba, kwamba wabunge wabaki wabunge na mawaziri wawe mawaziri tu. Lakini hili halitopitishwa kamwe kwa sababu linatunza control ya chama flani kwa muhimili wa bunge na serikali kuu ambayo ndio kiini cha utungaji na utekelezaji wa sheria na sera za nchi.

Kwa hiyo mtu yoyote mwenye ndoto ya uwaziri lazma awe na card ya chama flani na hii inamaanisha, loyalty yake itakuwa kwa chama zaidi kuliko nchi kwa sababu hakuna njia ya kuufikia uwaziri pasipo kupitishwa na chama flani kama mgombea wa ubunge.

Ila siku ikitokea, waziri kuwa waziri pasipo ubunge, hii ina maanisha bunge, serikali na mahakama zote zitakuwa na different individuals na pengine maslahi ya nchi yatasimamiwa vizuri
 
Tuwe wakwieli jamani tunataka upinzani lakini huu hapana. Imagine baraza la mawazili la vilaza litaongozaje nchi kitaifa na kimataifa.
litakuwa balaza la vioja vitupu waziri mkuu simuoni waziri wa fedha simuoni waziri wa mambo ya ndani namuona lema anavyorudisha wimbi la wezi maana nayeye ni mwizi
 
Kwanza hawawezi Utawala maana huko kwao hawaelewani na pia hawana uzoefu wowote wa kiungozi na mda wote wamejaa stress kufura kutoka yaani shida tupu
Bado Sijaona chama ambacho kinakaribia hata excellence ya kusimamia maslahi ya nchi hii. Chadema ya kabla ya 2015 ilikuwa inakuja kuja Ila kwa sasa. Hapana
 
Ila ipo wazi, CCM ni mbovu ila vyama vya upinzani ni vibovu zaidi.

Bora tubaki na hawa mumiani wetu wa CCM kuliko kuchagua wapinzani
 
Si lazima Mawaziri wawe hao hao wapiga debe kwenye chama, wengine wanaweza kuachwa kuendelea kuimarisha chama chao. Halafu nchi ina watu wengi wazuri na wasomi lakini hawapo katika uongozi wa vyama, labda ni wanachama wa kawaida; hawa wanaweza kutumika kuendesha serikali.
Hili ndilo jibu sahihi.
CHADEMA ina wanachama wengine ambao siyo viongozi au maarufu kwenye majukwaa ya kisiasa lakini ni wasomi waliobobea kila fani.
Inaweza kuwapa hizo nyadhifa hata watu wa vyama vingine ili mradi wana sifa na watasimamiwa uadilifu na uchapakazi.
Muhimu hapa uadilifu uanzie ngazi ya juu ya chama chao.
 
Bado Sijaona chama ambacho kinakaribia hata excellence ya kusimamia maslahi ya nchi hii. Chadema ya kabla ya 2015 ilikuwa inakuja kuja Ila kwa sasa. Hapana
Pamoja na makando kando ya ccm ila Wana unafuu kuliko hao roporopo.

Umewahi sikia sera za Uchumi za Chadema? Ambae anazijua anitanie kwamba wakienda huko wanakodai wanapata mafuriko Huwa wanawaambia watu Ili wawachague.

Akili zao na ajenda zao ni umbea,uzushi na ujinga wa mange eti ndio sera 😁😁😁
 
Back
Top Bottom