ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Walau CCM wakibanwa wanaweza ku revolve ,hao wengine ni loosers tuu ,wajinga kina Gen-Z ndio wanaweza wachagu Kwa sifa hizi hapa 👇Ila ipo wazi, CCM ni mbovu ila vyama vya upinzani ni vibovu zaidi.
Bora tubaki na hawa mumiani wetu wa CCM kuliko kuchagua wapinzani