Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

Kampuni zote ulizotaja zina ofisi nchi yoyote kubwa. Dubai kuna kampuni nyingi kushinda hata Israel nao ni machampion wa Technology?

Israel ingekua na Tech kama Taiwan tu humu si mngetusimanga hadi tukawa hatuna PA kujifichia?
 
Kampuni zote ulizotaja zina ofisi nchi yoyote kubwa. Dubai kuna kampuni nyingi kushinda hata Israel nao ni machampion wa Technology?

Israel ingekua na Tech kama Taiwan tu humu si mngetusimanga hadi tukawa hatuna PA kujifichia?
Jua kutofautisha ofisi za kutoa huduma kwa wateja, ofisi za uongozi, ofisi za ubunifu na uboreshaji (R&D)

Dubai kuna ofisi nyingi za kutoa huduma kwa wateja hasa kwenye mauzo ya bidhaa na matengenezo, Ni sawa na Tanzania kuna ofisi za Tecno
 
Jua kutofautisha ofisi za kutoa huduma kwa wateja, ofisi za uongozi, ofisi za ubunifu na uboreshaji (R&D)

Dubai kuna ofisi nyingi za kutoa huduma kwa wateja hasa kwenye mauzo ya bidhaa na matengenezo, Ni sawa na Tanzania kuna ofisi za Tecno
Na kule uchina napo
 
Chanzo chako Cha habari ni kipi?!.. Biden kapitisha mauzo ya silaha kwa Israel kiasi Cha $600m zikiwemo bunker buster,dzain stock ya Israel Chali,usichokijua ni kuchakaa kwa kambi za kijeshi za Israel mpakani na Lebanon kwa makombora mazito ya hizbullah,hizbu ni mwiba
 
Mzee hapo kwenye asymmetrical warfare umemeza Kama ilivyo toka kwa mchambuzi wa Al Jazeera niliona jana
 
Kwa hiyo unakiri kapigwa na USA na wala si Israel?
 
Jua kutofautisha ofisi za kutoa huduma kwa wateja, ofisi za uongozi, ofisi za ubunifu na uboreshaji (R&D)

Dubai kuna ofisi nyingi za kutoa huduma kwa wateja hasa kwenye mauzo ya bidhaa na matengenezo, Ni sawa na Tanzania kuna ofisi za Tecno
Microsoft

Hisense

IBM, HP, Ericson, Cisco

Kuna mamia ya makampuni yana R&D Dubai
 
Si kweli mkuu.Hezbollah wapo ngangari sana.Wamewapiga mazayuni hadi Netanyahu amebubujisha machozi ingawa yameua viongozi vipenzi wa Hezbollah. Niamini tu.Sina ushahidi.
 
Kwa nyakat hizi technology imefanya mageuz makubwa sana hususani kwenye uwanja wa vita drone ya milion 1 inaweza kufanya maajabu ambayo hata ndege ya bilion 50 haiwezi kufanya,ikiwemo kupita kwenye mifumo yenye ulinzi wa hali ya juu
 
Israeli amechoka sana vita vya muda mrefu na vya uvumilivu hawezi kuvimudu ngo ..wao wamezoea kuruka na ndege kubomoa mahala na kurudi ..vita vya namana hiyo huwezi shinda kamwe
 
IDF reaches Litani for first time since 2006, targets Hezbollah in Beirut IDF reaches Litani for first time since 2006, targets Hezbollah in Beirut
 
It's the truth, as painful as it is.
 
Hapo uliposema makampuni mengi yamepelekwa israel kisiasa ni kweli kabisa .sasa baada ya vita hii hamana tajiri atakayepeleka wekezaji wa maana israel kwa kuwa hamna security stability hii ya Iran kuwashambulia kutok 2000km na mabom yakafika imeshape sana uchum wa isreli
 
Kampuni zote ulizotaja zina ofisi nchi yoyote kubwa. Dubai kuna kampuni nyingi kushinda hata Israel nao ni machampion wa Technology?

Israel ingekua na Tech kama Taiwan tu humu si mngetusimanga hadi tukawa hatuna PA kujifichia?
Eneo alilowekaza propaganda Israel ni pamoj na hilo la kusema eti champion wa tech na kwa halkika mbogo haumwambii kitu
 
Kampuni zote ulizotaja zina ofisi nchi yoyote kubwa. Dubai kuna kampuni nyingi kushinda hata Israel nao ni machampion wa Technology?

Israel ingekua na Tech kama Taiwan tu humu si mngetusimanga hadi tukawa hatuna PA kujifichia?
Umerithishwa chuki kwa mayahudi na mwamedi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…