Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

Netanyau vita ilimshinda hii
Hao hezbollah wamefanya shambulio lipi lenye kulingana na wao kushambuliwa na pagers, kuuliwa kwa viongozi wao kibao, Kuvuliwa ubabe wao Lebanon ya kusini kiasi cha jeshi la Lebanon kurudi huko, n.k.
 
Kwa Israeli ni wazi in short run waliweza kuwadhibiti hawa jamaa ila kwa mahesabu ya long-run israel ingeishia kupata hasara maana kuna mahali israeli wameanza kuchemka,unajua kuwapiga hawa izbolah siyo jambo jepesi inahitaji mikakati ya mda mrefu sasa kuuwa viongoz siyo mkakati unaoweza kubadili hali ya vita hato kidogo ,kubwa ni kuua miundo mbinu yote ya adui inayompa nguvu ya kufanya mashambulizi hilo israel ameshindwa kabisa,yan kiufup bora tuu wamekaa mezani pamoja,kwa upande wa izbolah nao hawana Cha kujivunia maana hata wao malengo yao ya kuipiga tafu Hamas mpaka mwisho hayakutimia kwa haraka kama walivyodhani hivyo hii ngoma ni kati hakuna mshindi
Sio kweli, hizbollah wamechemka kwenye vita hivi ukweli usemwe tu wamechakazwa wakachakaa cisefire ndio imewaokoa wangekua fit unafikiri half magaidi wangekubali kirahisi hivyo,kipigo cha akili kimewatuliza hao terrorist army
 
🇱🇧 Hezbollah MP, Hussein Al-Hajj Hassan, stated that the Lebanese government is responsible for signing the agreement, and that their observations were considered. He added that if Israel attacks, each incident will be addressed and discussed.

🚩 @ResistanceTrench
 
Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu jeshi la Lebanon limeenda kusimamia Lebanon ya kusini na kuwazuia Hezbollah, ni baada ya Israel kkufanya yake
Ni baada ya Lebanon kuhongwa na US na wakaingia cease fire
 
Bosi nimekupigia hesabu umezielewa lakini? Msaada wa Usa kwa Israel total ni $310B usd hao ni Usa tu toa Ulaya na Nchi nyengine washirika kama Australia.

Na kuna Makampuni kibao yapo Israel Kisiasa, mfano Mzuri ni intel, Division yao ya Israel ni jipu kila siku ina ingiza hasara na kubebwa mpaka sasa wanakaribia kufilisika ndio wameipiga chini.

Hapo Israel wakristo waarabu ni more educated kushinda kundi lolote lile including jews, wana Elimu na Vumbuzi kibao ila mnapigwa kamba na kudanganyana tu humu.
Bora hao wa huko wanatudanganya kuliko wewe wa namtumbo huko unavyo tupiga fix hapa na story zako za kujitungia baada ya kushiba sahani ya ugali na bakuli la maharage ya kuchemsha 😩🙁
 
Sio kweli, hizbollah wamechemka kwenye vita hivi ukweli usemwe tu wamechakazwa wakachakaa cisefire ndio imewaokoa wangekua fit unafikiri half magaidi wangekubali kirahisi hivyo,kipigo cha akili kimewatuliza hao terrorist army
Kuchakaa unamaana ipi? aliechakaa anaweza kufanya oparation 40+ kwa siku? Anaweza kuzuia mgambo kuvuka mpaka unahabari battalion ya Golan yote imeenda na maji kwa oparation ya siku moja?
 
Kuchakaa unamaana ipi? aliechakaa anaweza kufanya oparation 40+ kwa siku? Anaweza kuzuia mgambo kuvuka mpaka unahabari battalion ya Golan yote imeenda na maji kwa oparation ya siku moja?
Tuweke ushaidi niamini kama hao kunguni warusha rocket wameweza hilo au story za vijiweni huko
 
Ukweli Israel kapata hasara sana Lebanon,kukubali kusitisha vita ni ishara ya kushindwa, mbona Gaza hana upinzani hataki kusitisha vita?
 
Tuweke ushaidi niamini kama hao kunguni warusha rocket wameweza hilo au story za vijiweni huko
Wewe kama hutaki kutafuta taarifa usituchoshe kuna watu ni understanding tunadiscuss hizi ishu na wanatoa maoni kwa fact wengine ni christians tena wale msimamo mkali ila hawamwelewi myahudi sijui nyie mna shida gan

Kwahio hata ukiambiwa utapinga tuu mnapenda kusikia mazuri ya myahudi ambayo actually ni mabaya kwa wapenda usawa na haki
 

Attachments

  • Screenshot_20241128-221630.png
    Screenshot_20241128-221630.png
    381.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241128-222540.png
    Screenshot_20241128-222540.png
    342.1 KB · Views: 1
Sheikh Qassim anakua na kauoga falni hivi Nasrallah asingetoa hata huu mwanya

🟡 Breaking | If the Israelis want to stop the war, we will accept. But we will not beg for a ceasefire. Nor will we talk directly to the Israelis. We will not beg for a ceasefire, and any political solution will be achieved through indirect negotiations. We remain steadfast in countering the aggression. Should Israel choose to cease its offensive, we are willing to accept—provided it is under terms we consider suitable.

— Shaykh Naim (H) on 30 october 2024

@enemywatch
 
Wiki iliyopita Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini haikuwa hivyo kwa Rais, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta chochote cha kujisifia kwa siku 60 alizobakiza, Alimwambia Netanyahu akubali kustop mashambulizi lasivyo hamuuzii silaha, Netanyahu kwa uchungu imebidi akubali, Biden anajisifia kwenye vyombo kasitisha vita lakini ni kwa siku 60 tu, Baada ya hapo Trump kipenzi cha Israel akiapishwa atafuta katazo

Nawaona Hezbollah wanashangilia hii cease fire, Kwa hizi facts utawaona ni matahira:

Uongozi mzima wa juu wa Hezbollah ulisambaratishwa, ni aibu kubwa sana leadership kuwa vulnerable kiasi hiki, Nasrallah alikuwa anajificha kudhani hawajui alipo lakini kilichomkuta kitabaki kwenye vitabu vya historia.

View attachment 3164352

Shambulio la Pagers - Hili shambulizi la mwaka, Ni mchanganyiko wa Supply chain attack na Cyber attack, Hezbollah 1,200 waliobeba pagers walifumuliwa viuno na vilivyomo ndani ya mifuko

View attachment 3164357

Israel imeweza kuidhoofisha ngome kuu ya Hezbollah - Lebanon ya kusini ilikuwa ngome kuu ya Hezbollah, Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu, Jeshi la Lebanon limediriki kwenda kulichukua eneo hili, hapo kabla jeshi la lebanon walikuwa kama waangalizi wa nyumba lakini muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba, hawakuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo Lebanon ya kusini lakini kwa uchache na waliwekewa masharti na Hezbollah wasithubutu kuingilia mambo yasiyowahusu, Ni baada ya Israel kuidhoofisha ngome hio ndio wameweza kupata ujasiri wa kuchukua maeneo hayo na kuwashambulia Hezbollah.

View attachment 3164364
Kama siraha anazotoa zinamvua nguo yey na taifa lake, unahisi yapi yalikua maamzi sahihi badala ya hayo maamzi?
 
Poll hio ndani ya Israel
— 🇮🇱/🇱🇧 NEW: Only 26% of Israelis say they believe Israel 'won the war' against Hezbollah, while 61% say Israel did not win, and 13% are unsure

@Middle_East_Spectator
 
Poll hio ndani ya Israel
— 🇮🇱/🇱🇧 NEW: Only 26% of Israelis say they believe Israel 'won the war' against Hezbollah, while 61% say Israel did not win, and 13% are unsure

@Middle_East_Spectator
Still standing..
 
Wenyewe kabla ya cease fire, halafu msikie mmatumbi wa sitimbi akija humu hzb kachakaa

🏴‍☠️ Israeli media outlet "Channel 12" reports that the ceasefire agreement with Lebanon, coupled with the current situation on the ground, is causing sleepless nights for residents of the northern region, raising doubts about their sense of safety and their willingness to return.

🚩 @ResistanceTrench
 
Still standing..
I got disturbed emotionally, a lot of sleepless nights and nightmares whenever I scrolls the reports from Gaza. I tried to abandon my phone, but I got back to it. I just praying to get relief from this, the disbelievers are evil
 
Wiki iliyopita Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini haikuwa hivyo kwa Rais, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta chochote cha kujisifia kwa siku 60 alizobakiza, Alimwambia Netanyahu akubali kustop mashambulizi lasivyo hamuuzii silaha, Netanyahu kwa uchungu imebidi akubali, Biden anajisifia kwenye vyombo kasitisha vita lakini ni kwa siku 60 tu, Baada ya hapo Trump kipenzi cha Israel akiapishwa atafuta katazo

Nawaona Hezbollah wanashangilia hii cease fire, Kwa hizi facts utawaona ni matahira:

Uongozi mzima wa juu wa Hezbollah ulisambaratishwa, ni aibu kubwa sana leadership kuwa vulnerable kiasi hiki, Nasrallah alikuwa anajificha kudhani hawajui alipo lakini kilichomkuta kitabaki kwenye vitabu vya historia.

View attachment 3164352

Shambulio la Pagers - Hili shambulizi la mwaka, Ni mchanganyiko wa Supply chain attack na Cyber attack, Hezbollah 1,200 waliobeba pagers walifumuliwa viuno na vilivyomo ndani ya mifuko

View attachment 3164357

Israel imeweza kuidhoofisha ngome kuu ya Hezbollah - Lebanon ya kusini ilikuwa ngome kuu ya Hezbollah, Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu, Jeshi la Lebanon limediriki kwenda kulichukua eneo hili, hapo kabla jeshi la lebanon walikuwa kama waangalizi wa nyumba lakini muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba, hawakuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo Lebanon ya kusini lakini kwa uchache na waliwekewa masharti na Hezbollah wasithubutu kuingilia mambo yasiyowahusu, Ni baada ya Israel kuidhoofisha ngome hio ndio wameweza kupata ujasiri wa kuchukua maeneo hayo na kuwashambulia Hezbollah.

View attachment 3164364
underground iliishia wapi ya Israel kule Lebanon? jifunze kujua kwanini walifeli
 
Huyo ni Netanyau akisema speech masaa kadhaa kabla ya cease fire hakuna namna choice zote ni mbaya bora achukue kidogo kilichoko mezani
Kwanini mseme hzb ndio kachemka


Netanyahu to head of northern settlements: We have no other choice. We must choose bad instead of worse and take ceasefire. Our focus should be on Iran threat now.

Those faces say it all
 
Back
Top Bottom