Mbaya zaidi, ni yeye kujifanya anajua kila kitu... aiseee watanzania itabidi tuwe makini sana huko mbeleni.... hii nchi ilikuwa ishafika point inaenda kuparanganyika.. ni kama miujiza imetendeka... halafu wale wapuuzi wanaongea mambo ya kufuta ukomo wa uraisi.. aiseeee
1. U - dogma juu ya COVID -sicho ambacho kimemuua Mwendazake Magufuli..Ila mimi nimemuelewa Magufuli kwenye baadhi ya mambo baada ya kufariki.
Kuna vitu nimekua exposed kwake kwa hivi karibuni kwa siku za mwisho mwisho za uhai wake, ndio nikaja kujua alikua na nia gani.
Kwenye ujenzi wa bwawa la umeme, nilikua nampinga tu Magufuli kwa kufuata mkumbo lakini baada ya kupata facts kuhusu gharama za uendeshaji wa mitambo ya gesi na mafuta kwa tanesco, nikajua kabisa Magufuli aliona mbali na alikua na nia njema kabisa kuhusu uchumi wa nchi yetu.
Sasa naamini ukiona mtu anapinga jambo flani inaweza kua halijui vizuri, ana maslahi binafsi, hajalielewa ama anafuata tu mkumbo au ameamua tu, maana watu wengine wanaweza kuamua tu kua dogma, akapewa undeniable facts na bado akaamua tu kutokuelewa.
Mfano mzuri watu dogma ni kama Magufuli mwenyewe juu ya covid 19, aliamua tu kua dogma juu ya corona na bahati mbaya udogmatic wake umegharimu maisha yake.
Ukweli ni kwamba uzalishaji wa umeme kutumia maji ni way cheaper kuliko sources nyingine zote za nishati, ni kati ya shilingi za kitanzania 60 hadi 90 kwa unit. Lakini pia maintanance ya mitambo yake ni baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 15 na hata gharama za utengenezaji wake sio kubwa.
Ukija kwenye gas, uzalishaji wa unit moja ni mara 2.5 ya uzalishaji wa maji, lakini pia mitambo ya gesi inahitaji overhaul maintenance kila baada ya miaka 2 na ni billion of money, hao ABB ya Uingereza, Siemens ya Sweden, General Electric ya Marekani, Wartisila na wengine hela wanazofyonza pale Tanesco sio za kitoto, sio za kitoto. Hawa hawataki kusikia tunakua na chanzo kingine cha umeme zaidi ya gasi ama mafuta mazito maana ulaji wao pale Tanesco utakata.
Jiwe au "Mwamba" kwa jina jipya walllombatiza baada ya kifo chake ndilo lilimpa jeuri ya "KUJIMWAMBAFY" .Yeye alimwombea beni Saanane? Risasi 16 za lisu mbona alikataza uchunguzi huru ? Azory gwanda unadhani mkewe na watoto wako kwenye trauma kiasi gani kupotea kwa baba Yao mpaka Leo siwezi kumuombea muuwaji alieuwa watu jambazi la chato Lile Mungu ka mmute milele.
Binafsi naona hizi ndiyo zile tunasema uchumi wa kwenye makaratasi ila kipindi cha JK tuseme tu ukweli fedha nyingi zilikuwa ni haram na hazikuwa zinaingia kwenye mzunguko ili lilipelekea mtaani hela kuzagaa kiasi ata laki ikaitwa si pesa ola sasa laki tunajua ni pesa.
Wafanyabiashara sikuzote wazo lao la kwanza kukwepa kodi, kipindi cha JK kuna meli 60 ziliwai kutia nanga pale bandarini Dar es Salaam na meli hizo zote hazikuwa recorded mahala popote na mwisho kontena zikapotea kusiko julikana, Zaman kipindi cha JK kontena kupotea huko bandarini kilikuwa kitu cha kawaida, Bandarini hapakuwa na scana ata ya kuscan vitu vinavyopita bandarini.
Nenda pale airport kipindi cha JK hakuna kikicho scsniwa ili kijulikane ni kitu gani...
Mwisho wa siku Magufuli alitamani kujenga Tanzania ya kesho, Magufuli hakuwa mwanasiasa ila alikuwa kiongozi, aliona bora aanze upya kuliko kuendelea na staili waliyotumia watangulizi wake.
Mwisho niseme tu huu wa kipindi cha Hayati ndo ulikuwa uchumi wetu halisi, huko nyuma kulikuwa na wajanja tu wenye kuchuma walivyotaka kuchuma lakini kwenye kujenga nchi hamna kitu.
Nakumbuka kipindi cha JK NGO zilopeta kweli lakini ki ukweli kabisa walikuwa hawalipi ata Tsh 150,000/= kwa mwaka wala hawapeleki ata hesabu zao za mwaka kwa msajili lakini alivyoingia Magufuli aligakikisha kila Wizara inayoona kuna sehemu inatakiwa ikusanye fedha inatakiwa kufanya hivo, hapo ukaanza utaratibu kama hupeleki hesabu zako kwa na hulipi ada shirika lako litafungwa na mengi yalifungwa maana yalikuwa hewa na hewa kweli cos ata mimi mwenyewe nishawah fanya kazi huko najua vyema na mpaka sasa mwenye NGO yake ninahakika anafanya kazi kwa unyofu mno.
Kiuweli tulichekea na tulipata mtu ambae alikuwa anatuambia ukweli, hizi habari za kulembeana na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa hakuwa nazo.View attachment 1741699
Lkn kumbuka binadamu kukosea ni kawaida yetu,mhurumie tu Mkuu
Da! Kuna uchambuzi mwingine huku wa mambo ya rohoni.1. U - dogma juu ya COVID -sicho ambacho kimemuua Mwendazake Magufuli..
2. Kuhusu COVID - 19, Rais John P. Magufuli was in the perfect stand. Alichukua msimamo sahihi kabisa wa Kimungu..
3. Shida au kasoro ya msimamo wa Hayati Magufuli dhidi ya COVID - 19, ni huu;
Kwamba, aliamua kuingia vitani kupigana na adui hatari (COVID - 19) bila ya yeye mwenyewe kuvaa silaha za KUMKINGA na KUSHAMBULIA.
å SILAHA ZA KUMKINGA ni: Utakatifu wake binafsi mbele za Mungu, Imani kwa Mungu sambamba na matendo ya haki, nia ya haki, dhamira ya haki, upendo, uvumilivu, utu wema nk nk...
å SILAHA ZA KUSHAMBULIA, ni; NENO LA MUNGU lilipaswa kukaa kwa wingi ndani yake. Neno la Mungu ndilo linaloitwa pia "UPANGA WA ROHO"..
4. Naona kama hamjanielewa. Ngoja niliweke hivi: COVID 19 ni shambulio toka kuzimu. Kukabiliana nalo ilikuwa ni lazima Mwendazake John Magufuli awe na UHUSIANO THABITI (MTAKATIFU) NA USIO NA SHAKA NA MUNGU YEHOVA. Haikuwa hivi kwa masikini Mwendazake..
Mtu hawezi kukabiliana na shetani (COVID - 19) huku akiwa mwili mzima unanuka dhambi. MUNGU hujitenga na wenye dhambi yoyote kwa hiyo anakuwa vulnerable na all kinds of devil's attacks...
Dhambi ni mlango wa kuruhusu mashambulizi ya shetani ibilisi. Na shetani anapoingia kwa binadamu, the furst and utter most target yake kubwa huwa ni kuiba, kuchinja na kisha kuua tu...
That's what the devil did to Mr Mwendazake..
Laiti Magufuli angekuwa anatambua "spiritual status" yake kuwa hakustahili kutumia approach hiyo kukabaliana na VOVID 19, leo angekuwa hai...!!
5. Magufuli hakufa kwa COVID - 19 bali kilichomuua ni makosa (dhambi) zake mwenyewe ikiwemo ya UNAFIKI na damu za watu mikononi mwake...
Na COVID-19 ilitumika kama risasi (bullet) tu kummaliza...
Asante sana..Walokole akili zenu zimejaa mavi.
Huko Italia na Vatican kwenye makao makuu ya Kanisa la Roma walikuwa wanachukua hatua zote za kujikinga na corona.
Nyie mnaosali kwenye makanisa ya maturubai na mabati kwa Mchungaji Gwajima mnaleta upuuzi.
Well said mkuu.Wewe ukikosea maumivu utayahisi wewe, mke wako, mchepuko wako na ndugu zako wawili watatu wa karibu. Rais akikosea athari zake na maumivu yake ni kwa mamilioni ya watu na makovu yanabaki miaka mingi. Usichukulie poa tu kwamba yeye kukosea ni kama binadamu yoyote, ndio maana anapaswa kuwa makini sana na kusikiliza uchambuzi na ushauri wa watu wengi kabla hajafanya maamuzi. Baadhi ya maamuzi au kauli za Rais zinahahusu uhai au kifo wakati mwingine.
Maamuzi ya Kuingiza jeshi kwenye korosho na pia kuchukua pesa zao yameharibu kabisa chanzo cha mapato kwa watu karibu laki 4 wanaotegema korosho kuishi.
JK alikuwa anapata wapi pesa za kujenga barabara za lami kuunganisha mikoa yote, vyuo, airport, kuajiri, kupandisha mishahara kila mwaka, sherehe, mbio za mwenge, kulipa pensheni n.k bila hata kunyang'anya wakulima wa korosho au bureau de change pesa zao?
Ni Kweli Mkuu,ndio maana hata yeye mara kadhaa alisikika akiomba Watanzania tumuombee bila Shaka alikuwa anajua changamoto hizo.Wewe ukikosea maumivu utayahisi wewe, mke wako, mchepuko wako na ndugu zako wawili watatu wa karibu. Rais akikosea athari zake na maumivu yake ni kwa mamilioni ya watu na makovu yanabaki miaka mingi. Usichukulie poa tu kwamba yeye kukosea ni kama binadamu yoyote, ndio maana anapaswa kuwa makini sana na kusikiliza uchambuzi na ushauri wa watu wengi kabla hajafanya maamuzi. Baadhi ya maamuzi au kauli za Rais zinahahusu uhai au kifo wakati mwingine.
Maamuzi ya Kuingiza jeshi kwenye korosho na pia kuchukua pesa zao yameharibu kabisa chanzo cha mapato kwa watu karibu laki 4 wanaotegema korosho kuishi.
Swali muhimu sana na linahitaji majibu makini...
Majibu yake yatafuta unafiki wote wa Mwendazake na wafuasi wake...
Ni Kweli Mkuu,ndio maana hata yeye mara kadhaa alisikika akiomba Watanzania tumuombee bila Shaka alikuwa anajua changamoto hizo.
Kwa kawaida mfumuko wa bei unapokuwa mdogo unachochea ukuaji wa uchumi. Nadharia zinapendekeza asilimia 4-8 zaid ya hapo au chini ya hapo ni threat kwenye uchumi.Hii hapa siyo kweli kwa sababu kutokuongeza kwa mishahara kulisababisha inflation Tanzania ibaki kuwa ya chini sana. Aliingia madarakani kukiwa na 5.59% na wakati anaondoka inflation ilikuwa 3.56% Kwa hiyo madai ya gharama za maisha kupanda siyo ya kweli. Tatizo lililokuwepo na mzunguko hafifu wa fedha kutokana kna kudhibiti matumizi ya pesa za serikali. Uchumi wa Tanzania umekuwa unategemea sana pesa za serikali kuliko pesa za watu binafsi; serikali ikibana matumizi ya pesa zake basi watu wanalia hawana hela. Ilikuwa hivyo enzi za Mkapa mwanzoni, na enzi za magufuli. Serikali ikishaanza kulegeza usimamaizi wa matumiz yake basi ndipo unaona pesa zinakuw nyingi mitaani na inflation inaongezeka.
View attachment 1741777
Kusema msimamo sahihi wa kimungu hapo ndio ujinga unapoanzia.1. U - dogma juu ya COVID -sicho ambacho kimemuua Mwendazake Magufuli..
2. Kuhusu COVID - 19, Rais John P. Magufuli was in the perfect stand. Alichukua msimamo sahihi kabisa wa Kimungu..
3. Shida au kasoro ya msimamo wa Hayati Magufuli dhidi ya COVID - 19, ni huu;
Kwamba, aliamua kuingia vitani kupigana na adui hatari (COVID - 19) bila ya yeye mwenyewe kuvaa silaha za KUMKINGA na KUSHAMBULIA.
å SILAHA ZA KUMKINGA ni: Utakatifu wake binafsi mbele za Mungu, Imani kwa Mungu sambamba na matendo ya haki, nia ya haki, dhamira ya haki, upendo, uvumilivu, utu wema nk nk...
å SILAHA ZA KUSHAMBULIA, ni; NENO LA MUNGU lilipaswa kukaa kwa wingi ndani yake. Neno la Mungu ndilo linaloitwa pia "UPANGA WA ROHO"..
4. Naona kama hamjanielewa. Ngoja niliweke hivi: COVID 19 ni shambulio toka kuzimu. Kukabiliana nalo ilikuwa ni lazima Mwendazake John Magufuli awe na UHUSIANO THABITI (MTAKATIFU) NA USIO NA SHAKA NA MUNGU YEHOVA. Haikuwa hivi kwa masikini Mwendazake..
Mtu hawezi kukabiliana na shetani (COVID - 19) huku akiwa mwili mzima unanuka dhambi. MUNGU hujitenga na wenye dhambi yoyote kwa hiyo anakuwa vulnerable na all kinds of devil's attacks...
Dhambi ni mlango wa kuruhusu mashambulizi ya shetani ibilisi. Na shetani anapoingia kwa binadamu, the furst and utter most target yake kubwa huwa ni kuiba, kuchinja na kisha kuua tu...
That's what the devil did to Mr Mwendazake..
Laiti Magufuli angekuwa anatambua "spiritual status" yake kuwa hakustahili kutumia approach hiyo kukabaliana na VOVID 19, leo angekuwa hai...!!
5. Magufuli hakufa kwa COVID - 19 bali kilichomuua ni makosa (dhambi) zake mwenyewe ikiwemo ya UNAFIKI na damu za watu mikononi mwake...
Na COVID-19 ilitumika kama risasi (bullet) tu kummaliza...
Sijakuelewa, uneandika nini.Sekta ya gesi zaidi ya kuzalisha umeme ingezalisha maelfu ya biashara za bidhaa, huduma na ajira za moja kwa moja mara nyingi zaidi ya zitakazozalishwa na huo mradi wa umeme wa maji.
Umeme ambao ungezalishwa na gesi ingekuwa pesa za uwekezaji na sio hii mikopo,kutopanda mishahara,ubabaishaji wa pensheni na kodi wanazokamuliwa wananchi hadi wanakonda.
Vitu vingine huhitaji wahasibu wala wachumi kukusaidia, unatakiwa uwe una general understand halafu unasaidiwa vitu vichache kuelewa.Cost accountants and economists bail us out of this calamity: Which is a cheaper and reliable source of electric power in the TZ environment? Please come up with quantified argument.