Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Kama hujui kusoma chati omba watu wakusadie chati hizo zipo kwenye vipindi vya miaka mitano mitano. Kikwete alimaliza utawala wake mwaka 2015, je aliacha inflation ya kiasi gani? Chati hiyo inaishia mwaka mwanozni mwa 2020 ikiwa ni miaka takriban mitano tangu Kikwete aondoke madarakani.
Hakuna takwimu za 2020, soma tena.
 
Mh. Rais yeye kama individual hakuwa mchumi, kazi ya ubunifu ni ya watendaji ambao ndiyo walalamikaji wakubwa na wanaotaka kula wasichokizalisha...Tunashida kubwa kwenye wataalamu wetu katika kutafsiri njia sahihi ya kutumia public investments...Hili ni tatizo la wataalamu kutafsiri maendeleo siyo la taasisi ya u Rais na Bunge ambazo zinafanya maamuzi kwakuangalia kura
Ila si alisema yeye si lazima afuate ushauri wa mtu?
 
Ila mimi nimemuelewa Magufuli kwenye baadhi ya mambo baada ya kufariki.

Kuna vitu nimekua exposed kwake kwa hivi karibuni kwa siku za mwisho mwisho za uhai wake, ndio nikaja kujua alikua na nia gani.

Kwenye ujenzi wa bwawa la umeme, nilikua nampinga tu Magufuli kwa kufuata mkumbo lakini baada ya kupata facts kuhusu gharama za uendeshaji wa mitambo ya gesi na mafuta kwa tanesco, nikajua kabisa Magufuli aliona mbali na alikua na nia njema kabisa kuhusu uchumi wa nchi yetu.

Sasa naamini ukiona mtu anapinga jambo flani inaweza kua halijui vizuri, ana maslahi binafsi, hajalielewa ama anafuata tu mkumbo au ameamua tu, maana watu wengine wanaweza kuamua tu kua dogma, akapewa undeniable facts na bado akaamua tu kutokuelewa.

Mfano mzuri watu dogma ni kama Magufuli mwenyewe juu ya covid 19, aliamua tu kua dogma juu ya corona na bahati mbaya udogmatic wake umegharimu maisha yake.

Ukweli ni kwamba uzalishaji wa umeme kutumia maji ni way cheaper kuliko sources nyingine zote za nishati, ni kati ya shilingi za kitanzania 60 hadi 90 kwa unit. Lakini pia maintanance ya mitambo yake ni baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 15 na hata gharama za utengenezaji wake sio kubwa.

Ukija kwenye gas, uzalishaji wa unit moja ni mara 2.5 ya uzalishaji wa maji, lakini pia mitambo ya gesi inahitaji overhaul maintenance kila baada ya miaka 2 na ni billion of money, hao ABB ya Uingereza, Siemens ya Sweden, General Electric ya Marekani, Wartisila na wengine hela wanazofyonza pale Tanesco sio za kitoto, sio za kitoto. Hawa hawataki kusikia tunakua na chanzo kingine cha umeme zaidi ya gasi ama mafuta mazito maana ulaji wao pale Tanesco utakata.
Hebu tujikumbushe enzi za ukame then tuendelee kujadili vizuri.
 
Huu Uzi ni mzuri Sana kwakuwa uko kisayansi na tutamlaani magu milele ameharibu maisha yetu mtu yule. Alale alipojiandalia.
Ameharibu maisha yenu na nani jomba...mbona wengine wameneemeka...don't generalize personal issues ..kama ameharibu maisha yako inawezekana ulikuwa mwizi, tapeli, mtu wa madili unaishi kiujanja ujanja, sisi hatuna la kukusaidia na upumbaf wako...Rudi kwenye mstari nenda hata Kalime ardhi imejaa tele....usitupotezee muda huku na maisha yako ya wizi..na nakwambia nchi kama nchi haiwezi Rudi huko mnapodhania...Mama Samia Suluhu ni copy ya Magufuli..likewise Serikali yake..si umeona walewale.kwa hiyo.wanna spirit ileile..kama huwezi hamia nchi nyingine..kwa sababu count in 50 years to come jamaa watakuwa wakiendelea kutawala..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwe
Hata kama sijui kuandika,ila ujumbe umefika, serikali ya Jk ilijaa majizi wapigaji,wala rushwa,na wauza madawa ya kurevya,inawezaka nawewe ulikuwa miongoni,eti mnajifanya wachambuzi wa uchumi, wakati WB walisema uchumi wa Tanzania umekua mpaka kupifiki wa kati na GDP imepanda,eti anatoka mtu ajiita Namtombe anasema Jpm amealibu uchumi,na kuna watu wanashangiria, ukiuliza kwa takwimu zipi!unaambiwa ukuna pesa mtaani,utafikiri pesa ni mabomba ya maji kupatika kila nyumba.
Mwenzako anakuja na facts wewe unaandika masaburi yako hapa na tulishaambiwa kwamba wb walishusha viwango vya makadirio ya uchumi ndio nasisi makadirio yakatukuta lakini usidhani kwamba sisi ndio tulifikia vigezo vya wb kuwa middle income country sema mataga akili zenu ni ndogo muda wote na hivyo I'd za jf ni fake unaweza kuta hapa nabishana na kibajaji mbunge wa mtera.
 
Jina
Ameharibu maisha yenu na nani jomba...mbona wengine wameneemeka...don't generalize personal issues ..kama ameharibu maisha yako inawezekana ulikuwa mwizi, tapeli, mtu wa madili unaishi kiujanja ujanja, sisi hatuna la kukusaidia na upumbaf wako...Rudi kwenye mstari nenda hata Kalime ardhi imejaa tele....usitupotezee muda huku na maisha yako ya wizi..na nakwambia nchi kama nchi haiwezi Rudi huko mnapodhania...Mama Samia Suluhu ni copy ya Magufuli..likewise Serikali yake..si umeona walewale.kwa hiyo.wanna spirit ileile..kama huwezi hamia nchi nyingine..kwa sababu count in 50 years to come jamaa watakuwa wakiendelea kutawala..
Jina lako tupu Babeli linasadifu ule mnara wa chato ambao Mungu aliupopoa kwa hasira nasasahivi ushafukiwa babeli oyeeeeee!
 
50 years is spiritually impossible.
Believe me.
Ameharibu maisha yenu na nani jomba...mbona wengine wameneemeka...don't generalize personal issues ..kama ameharibu maisha yako inawezekana ulikuwa mwizi, tapeli, mtu wa madili unaishi kiujanja ujanja, sisi hatuna la kukusaidia na upumbaf wako...Rudi kwenye mstari nenda hata Kalime ardhi imejaa tele....usitupotezee muda huku na maisha yako ya wizi..na nakwambia nchi kama nchi haiwezi Rudi huko mnapodhania...Mama Samia Suluhu ni copy ya Magufuli..likewise Serikali yake..si umeona walewale.kwa hiyo.wanna spirit ileile..kama huwezi hamia nchi nyingine..kwa sababu count in 50 years to come jamaa watakuwa wakiendelea kutawala..
 
Jina
Ameharibu maisha yenu na nani jomba...mbona wengine wameneemeka...don't generalize personal issues ..kama ameharibu maisha yako inawezekana ulikuwa mwizi, tapeli, mtu wa madili unaishi kiujanja ujanja, sisi hatuna la kukusaidia na upumbaf wako...Rudi kwenye mstari nenda hata Kalime ardhi imejaa tele....usitupotezee muda huku na maisha yako ya wizi..na nakwambia nchi kama nchi haiwezi Rudi huko mnapodhania...Mama Samia Suluhu ni copy ya Magufuli..likewise Serikali yake..si umeona walewale.kwa hiyo.wanna spirit ileile..kama huwezi hamia nchi nyingine..kwa sababu count in 50 years to come jamaa watakuwa wakiendelea kutawala..
Jina lako tupu Babeli linasadifu ule mnara wa chato ambao Mungu aliupopoa kwa hasira nasasahivi ushafukiwa babeli oyeeeeee!
 
50 years is spiritually impossible.
Believe me.
So what's your spirit saying about this, give us your revelation...who will shortcut this move...jomba..nani unadhani...au kuna watu unawaandaa...weka wazi mapema basi
 
Kodi zilichangia GDP kama zilivyo kodi nyingine. Unaposema mchango wa ndege za ATCL unaonekana kwenye utalii nashindwa kukuelewa sababu hadi sasa hatuna ndege inayoenda Marekani wala Ulaya, na hizo ndizo sehemu wanazotoka watalii au wewe mchango wa hizi ndege unauona kutoka Dar kwenda Arusha tu? Unauliza investments zao kama zipo Tanzania wakati ulikuwa unaona fast jet na precision air zinafanya kazi.
Kama kampuni inalipa wafanyakazi na kodi ya serikali kwanini uwalazimishe waweke pesa Tanzania? Kwani wameiba
Mkuu heshima kwako, watu hoongea yale waliyoyasikia na sio waliyoyaishi au kujifunza na ndio maana ubishi hauishi.
Binafsi niliitumia sana Fast Jet katika safari zangu na hasa nilipenda sana ile discount yao pale unapofanya booking one month before.
Fast Jet ndio shirika la ndege lililoleta mapinduzi ya usafiri wa anga hapa nchini kwa kuwachochea raiya wa kawaida (siwazungumzii wanyonge) kutumia usafiri wa anga.

Fast Jet ilikiwa ni shirika binafsi lenye kulipa kodi lakini liliweza kufanya safari zake kwa mafanikio makubwa huku gharama za tickets zikiwa za chini na rafiki kwa wateja.

Atcl ilipoanza kukufuliwa wote mnajua ni nini kilimkuta Fast Jet, ila tulisahau kuwa "Misho wa UBAYA ni HAIBU"
 
Ila si alisema yeye si lazima afuate ushauri wa mtu?
Alitakiwa iwe hivyo kwakua ndiyo maana anaitwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepewa definition ya kufanya hayo na katiba ili aweze kuchuja kipi kinafaa na kipi hakifai ndiyo hekima yetu huyo...Ndiyo maana tunalinda maana tusi lolote kwa Mh. Rais wa nchi yetu ni kwetu watanzania wote...Uliona mwenyewe maana ya Rais kwa America hata pamoja na kufanya yasiyofikirika aliendelea kulindwa...Anayelindwa ni nchi siyo individual...Hii ndiyo itupe akili ya kujua kwamba tinapoenda kupiga kura kwa Rais wa nchi nini maana yake na thamani ya kura hiyo....Akishakuwa we have to protect him at any cost isipokuwa akivunja katiba ya nchi kwa maslahi yake binafsi na siyo ya nchi
 
God punished the babeli monument so was magufili regime
When did you talk to God. How often do you talk to him...You must be crazy...Mungu ni wa wote...na hakuna binadamu anayejua maamuzi yake..and don't ask why...remember God is omnipresent....so the issue of punishment is just within your thinking capacity,,,sorry for that..that's GOD
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwe

Mwenzako anakuja na facts wewe unaandika masaburi yako hapa na tulishaambiwa kwamba wb walishusha viwango vya makadirio ya uchumi ndio nasisi makadirio yakatukuta lakini usidhani kwamba sisi ndio tulifikia vigezo vya wb kuwa middle income country sema mataga akili zenu ni ndogo muda wote na hivyo I'd za jf ni fake unaweza kuta hapa nabishana na kibajaji mbunge wa mtera.
MATAGA bana yani ni wabishi sana,achana na majitu kama hayo,linakuja na mameno matupu nani amsikilize sasa
 
Back
Top Bottom