Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Hahahahaha
 
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Hujakosea Samia ndio Rais mwenye mafanikio makubwa kuwahi tokea Tanzania.

Kigoma imeitika 🔥🔥

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1747593475380445420?t=2mVtLztvML_pmW2V8ZaAVA&s=19

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1747593568028381218?t=fAgO1pchuIi_9cqvbkPiyw&s=19
 
Umeme

Maji

Mafuta ya Petrol na Dizel juu

Vyakula bei juu

Sukari bei juu

Wananchi wanaokula mlo mmoja

Nchi imejaa shida kila kona
 
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Stupid
 
1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.

2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi.

3. Kuna maeneo maji yanakatika hata wiki nne na hakuna anayejali. Yaani sasa hivi huduma za muhimu zimekuwa anasa.

4. Mfumuko mkubwa wa bei kwa bidhaa mbalimbali kutokana na uongezaji wa bei ya mafuta yanayoingia dar es salaam.

5. Nchi haijawezesha uzalishaji na uchakataji wa mazao na bidhaa ili angalau tuongeze mauzo ya nje.

6. Bei za magari zimeongezeka maradufu kutokana na kupandisha kodi. Mwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.

7. Nauli za daladala zilikuwa shilingi 400 mwaka 2021 na sasa ni shilingi 600. Ongezeko la asilimia 50.

8. Hakuna uelekeo kwenye suala la kuongeza fursa za ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali.

9. Ubadhilifu na ufisadi mkubwa katika halmashauri na mashirika ya umma. Ripoti za CAG zinapuuzwa.

10. Reli ya sgr haieleweki itaanza lini. Kuna dalili ikafika 2025 kabla haijaanza. Bwana la Mwalimu Nyerere imekuwa siasa.
Rais Samia tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU, Marais wa kiume wote waliogopa maandamano, mama kuruhusu, amedhihirisha moyo wa mama mlezi. Aliyepita alisema uchaguzi ukiisha basi, hakuna mikutano mpaka miaka 5 ipite, mama kuruhusu mikutano. Aliyepita alisema mwanafunzi anayezaa akiwa shule asirudi shule chini ya utawala wangu, mama mlezi ameruhusu warudi shule. Aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani, Hana kazi, hapa Sasa mama mlezi anatakiwa viongozi kuanzia mjumbe, diwani, mbunge na Rais mwenyewe aruhusu sanduku la kura liamue aliyechaguliwa na Wananchi kuepusha aibu ya chaguzi zilizopita ambapo Rais huchagua kuanzia mjumbe wa nyumba kumi, diwani, mbunge na Rais mwenyewe kwa utashi wake. Rais Samia tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU kuwa Rais wa kike aliyekuwa tofauti na Marais wa kiume waoga wa maandamano.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli ambae alikuwa mkali kwani watu waliacha kuibia serikali?

Report za CAG Bado zilikua chafu na kuonesha watu Bado walikuwa wapigaji kwani ulikua huoni?
Kwanza, nani kamtaja Magufuli? Hapa tunamjadili Samia na kuwachukulia hatua wasaidizi wanaomwangusha!
Pili, nani kasema watu waliacha kuibia serikali?
Tatu, kwa kuwa watu hawakuacha kuiba hata wakati wa Magufuli, basi hata wakati huu wasichukuliwe hatua, maana yake kuiba ni haki yao?
Logic ya hoja yako ni mfu sana.
 
Kwanza, nani kamtaja Magufuli? Hapa tunamjadili Samia na kuwachukulia hatua wasaidizi wanaomwangusha!
Pili, nani kasema watu waliacha kuibia serikali?
Tatu, kwa kuwa watu hawakuacha kuiba hata wakati wa Magufuli, basi hata wakati huu wasichukuliwe hatua, maana yake kuiba ni haki yao?
Logic ya hoja yako ni mfu sana.
Hawa washabiki wa dini huwa hawawezi kufikiri kwa mantiki.
 
Back
Top Bottom