ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mimi ni choice sio Lucasbwana Lucas mwashambwa mimi sina ninacholaumu ....nimechangia tu mawazo yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni choice sio Lucasbwana Lucas mwashambwa mimi sina ninacholaumu ....nimechangia tu mawazo yangu
HahahahahaKashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?
Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?
Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?
Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?
Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?
Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?
Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.
Hakuna kama Samia.
wewe ni lucas una ID zaidi ya moja hapa jfMimi ni choice sio Lucas
Jamaa anafanya dhihaka, hahahahDuuh,hizo sababu zako ni za kipuuzi sana.
Zisome na zitafakari tena.
Usikikivu? my assMawazo yako ni mazuri mtoa mada,mama ana Nia Njema Kwa kias kikubwa wasaidizi wake wanamwangusha baadhi Yao,ila mama ni msikivu anasikia na kuyafanyia kazi
Hujakosea Samia ndio Rais mwenye mafanikio makubwa kuwahi tokea Tanzania.Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?
Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?
Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?
Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?
Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?
Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?
Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.
Hakuna kama Samia.
Usikikivu? my ass
Sio tuu ni Msikivu na anawapenda Bali anachapa kazi Kila Kona ya Nchi imetakaa miradi Kwa Ajili ya Wananchi.Jamaa anafanya dhihaka, hahahah
Hayupo kabisa upo wewe Suku gang 😂😂Hivi kabisa kuna watu wako serious kwamba kuna rais pale?
StupidKashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?
Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?
Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?
Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?
Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?
Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?
Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.
Hakuna kama Samia.
Rais Samia tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU, Marais wa kiume wote waliogopa maandamano, mama kuruhusu, amedhihirisha moyo wa mama mlezi. Aliyepita alisema uchaguzi ukiisha basi, hakuna mikutano mpaka miaka 5 ipite, mama kuruhusu mikutano. Aliyepita alisema mwanafunzi anayezaa akiwa shule asirudi shule chini ya utawala wangu, mama mlezi ameruhusu warudi shule. Aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani, Hana kazi, hapa Sasa mama mlezi anatakiwa viongozi kuanzia mjumbe, diwani, mbunge na Rais mwenyewe aruhusu sanduku la kura liamue aliyechaguliwa na Wananchi kuepusha aibu ya chaguzi zilizopita ambapo Rais huchagua kuanzia mjumbe wa nyumba kumi, diwani, mbunge na Rais mwenyewe kwa utashi wake. Rais Samia tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU kuwa Rais wa kike aliyekuwa tofauti na Marais wa kiume waoga wa maandamano.1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.
2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi.
3. Kuna maeneo maji yanakatika hata wiki nne na hakuna anayejali. Yaani sasa hivi huduma za muhimu zimekuwa anasa.
4. Mfumuko mkubwa wa bei kwa bidhaa mbalimbali kutokana na uongezaji wa bei ya mafuta yanayoingia dar es salaam.
5. Nchi haijawezesha uzalishaji na uchakataji wa mazao na bidhaa ili angalau tuongeze mauzo ya nje.
6. Bei za magari zimeongezeka maradufu kutokana na kupandisha kodi. Mwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.
7. Nauli za daladala zilikuwa shilingi 400 mwaka 2021 na sasa ni shilingi 600. Ongezeko la asilimia 50.
8. Hakuna uelekeo kwenye suala la kuongeza fursa za ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali.
9. Ubadhilifu na ufisadi mkubwa katika halmashauri na mashirika ya umma. Ripoti za CAG zinapuuzwa.
10. Reli ya sgr haieleweki itaanza lini. Kuna dalili ikafika 2025 kabla haijaanza. Bwana la Mwalimu Nyerere imekuwa siasa.
Kuna watakaokuja na kusema huyo dogo ni weweMwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.
Mkuu hii kauli yako inaumiza sanaNiliwahi kusema humu, nanukuu;
"Hakuna kitu kibaya kama viongozi kufika mahali wakagundua kuwa wananchi hamna cha kuwafanya.."
Mkanibeza.
Mkuu hebu tujikite kwenye mambo mazito yaliyopo kwenye huu uzi.Kuna watakaokuja na kusema huyo dogo ni wewe
Kwanza, nani kamtaja Magufuli? Hapa tunamjadili Samia na kuwachukulia hatua wasaidizi wanaomwangusha!Magufuli ambae alikuwa mkali kwani watu waliacha kuibia serikali?
Report za CAG Bado zilikua chafu na kuonesha watu Bado walikuwa wapigaji kwani ulikua huoni?
Kvipi hutawaliwi na bei ya sukari umepandishiwa au chai hunywi uko hoho unapata kwa bei ngapi🤣🤣Sijui bhana kama hanitawali kwangu Mungu atanisaidia
😁😁😁😁😁Hivi kabisa kuna watu wako serious kwamba kuna rais pale?
Hawa washabiki wa dini huwa hawawezi kufikiri kwa mantiki.Kwanza, nani kamtaja Magufuli? Hapa tunamjadili Samia na kuwachukulia hatua wasaidizi wanaomwangusha!
Pili, nani kasema watu waliacha kuibia serikali?
Tatu, kwa kuwa watu hawakuacha kuiba hata wakati wa Magufuli, basi hata wakati huu wasichukuliwe hatua, maana yake kuiba ni haki yao?
Logic ya hoja yako ni mfu sana.