Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sina shida na hoja zako, shida yangu ni pale mnapozidisha uongo au mnaposhindwa kutafuta facts kabla ya kuongea,

Una uhakika bwawa la umeme limekufa ? SGR si ndio inakaribia kuanza? Hivyo viwanda unadhani ni vya siku moja ?
 
Wewe ndie kichwa box,magu angekuwa hai unadhani angeishia njian na hiyo miradi?labda kama angekuwa Hana pesa, likewise Kwa Samia,unaongea kitu Gani sasa,Samia kama makamu wake lazima aendeleze miradi hiyo kadri ya nafasi inavyomruhusu.
Mbona alikuwa hai na Stand ya Magufuli iliishia njiani? Mbona Sgr Dar-Moro iliishia njiania Hadi anakufa?

Nyumbu huna akili umejaa mavi,mradi upi umeishia njiani? Nitajie nikuumbue

Kazi inaendelea 👇

View: https://www.instagram.com/p/C2dWQbQsnC4/?igsh=cnkxeDl6cDQwbGIy
 
Duuh,hizo sababu zako ni za kipuuzi sana.

Zisome na zitafakari tena.
Mimi nimeona ni za hovyo sana bora upuuzi aisee jamaa katoa vitu sahihi kabisa anakuja mtwana na sababu zake mpaka unacheka..
 
Mbona alikuwa hai na Stand ya Magufuli iliishia njiani? Mbona Sgr Dar-Moro iliishia njiania Hadi anakufa?

Nyumbu huna akili umejaa mavi,mradi upi umeishia njiani? Nitajie nikuumbue

Kazi inaendelea 👇

View: https://www.instagram.com/p/C2dWQbQsnC4/?igsh=cnkxeDl6cDQwbGIy

Hoja yako ni ipi kwani?hueleweki unaongea kama nguchiro,unampinga magufuli?unampinga Samia?unawapinga wote?au unampinga yupi baina Yao na unamkubali nani, hueleweki... besides Samia hawezi ishia njian kuendelea na miradi ambayo magufuli alianza nayo wakiwa wote pamoja kama Rais na Makamu wake.
 
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Hizo sio kazi zilizompeleka Ikulu
 
Hoja yako ni ipi kwani?hueleweki unaongea kama nguchiro,unampinga magufuli?unampinga Samia?unawapinga wote?au unampinga yupi baina Yao na unamkubali nani, hueleweki... besides Samia hawezi ishia njian kuendelea na miradi ambayo magufuli alianza nayo wakiwa wote pamoja kama Rais na Makamu wake.
Nakunyoosha wewe unasema Samia hajafanya kitu mara umtaje Magufuli ndio Niko kuweka sawa takwimu maana nyie nyumbu mkibanwa Huwa mnakimbilia kumtaja Mwendazake
 
Mama Samia angepata watu wa Uchumi walio sawa sio hao wapigaji Nchi ingeendelea sana lakini kila kukicha naona bajaji ndio zinaongezeka watu mijini kupata usafiri safi tu ni tatizo vitu muhimu imekua kama anasa ni wachache sana ambao hawapati haya maumivu...
 
Mawazo yako ni mazuri mtoa mada,mama ana Nia Njema Kwa kias kikubwa wasaidizi wake wanamwangusha baadhi Yao,ila mama ni msikivu anasikia na kuyafanyia kazi
Mbona hachukui hatua kwa yote yanayolalamikiwa? Amekuwa kwenye ofisi no. 2 chini ya ofisi kuu na amemshuhudia mwenzake hatua alizokuwa akichukua, yeye anashindwa vipi akiwa kwenye ofisi kuu sasa na madaraka anayo?
 
Kama mnaona wivu Kwa Samia kuvaa vile Kwa heshima anavyovyaa na nyinyi ni watoto wa kiume,basi nanyinyi kanunueni madela mvae,shida Iko wapi hadi useme udini.
Naona umeanzisha mada mpya ndani ya mada iliyopo Mr.Spin doctor.
 
Tatizo sio "asili" ya wanakotoka. Afterall, tunao wa-africa wenye asili ya arabuni, uhindini na hata uzunguni. Tatizo linakuja pale "uraia" wao unapobakia "ughaibuni" na duplicity inayoletwa na uzalendo ulioelekezwa "kwao" kihivyo. Mathalani Mtusi wa Tanzania, mwafrika mwenzetu lakini .... mzalendo kindakindaki wa ile nchi ya jirani, ambayo funny enough ilkua ndani ya German East Africa. 🤣 ... humo humo tulikochorewa mipaka.
 
kiimani zaidi mama samia ana 99% ya kuipata pepo ya mungu kuliko yule msukuma pori wa chato....ni kweli ana madhaifu yake mengi tu lakini anajitahidi kuwa na utu, hataki kumtoa mtu machozi kama mwendazake, anasimamia misingi yake ya urais hataki kuvuka hapo.....kuna watu walipewa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ili tu wafirisiwe na wawe masikini kama watu wa chato hawa watu mpaka leo machozi huwa yanawatoka, fikiria mtu umeutafuta utajiri kwa miaka 30....mtu kama Rugemalila unahisi anamuombea dua njema magufuri?.......tuombe mwisho mwema, utakapokufa leo usiache machozi ya watu wakikulilia kwa maumivu uliyowatendea.
 
Nakunyoosha wewe unasema Samia hajafanya kitu mara umtaje Magufuli ndio Niko kuweka sawa takwimu maana nyie nyumbu mkibanwa Huwa mnakimbilia kumtaja Mwendazake
Hapana,you are wrong...

Mimi na wewe mtazamo wetu katika Hilo upo sawa kabisa, tofaut nadhani Mimi naonekana namuunga mkono Samia na kusifia anachofanya simply because yeye ni Muslim,ndivyo Wanavyo ni label humu jukwaani,ila Kwa msimamo huo wako na wangu ni sawa sawa,Samia anafanya mambo makubwa tuh
 
kiimani zaidi mama samia ana 99% ya kuipata pepo ya mungu kuliko yule msukuma pori wa chato....ni kweli ana madhaifu yake mengi tu lakini anajitahidi kuwa na utu, hataki kumtoa mtu machozi kama mwendazake, anasimamia misingi yake ya urais hataki kuvuka hapo.....kuna watu walipewa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ili tu wafirisiwe na wawe masikini kama watu wa chato hawa watu mpaka leo machozi huwa yanawatoka, fikiria mtu umeutafuta utajiri kwa miaka 30....mtu kama Rugemalila unahisi anamuombea dua njema magufuri?.......tuombe mwisho mwema, utakapokufa leo usiache machozi ya watu wakikulilia kwa maumivu uliyowatendea.
Sio swala la kiimani Bali ni swala la kinachoendelea site.

Huwa siongei porojo nakupa vitu actual 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C2cjEFCtRW5/?igsh=aWZqZzlqcTltaTdn
 
Back
Top Bottom