Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao wasaidizi wanaomwangusha kwa nini asiwachukulie hatua? Anadhani kuwastupidisha peke yake inatosha? Ajifunze kutoka kwa kikwete alivyokuwa anawachekeachekea matokeo yake serikali yake ikadoda na kugeuka kuwa genge la mafisadi tu.
Serikali ya Samia ni copy ya ile ya mkwere!! Mkwere ndio mshauri wake mkuu na chawa wote wa Mkwere ndio wako serikalini.
 
Wacha porojo wewe, nani alikudqnganya Rais wa CCM ana Dirac yake?

Rais na serikali ya CCM wanaongozwa kwa sera walizoombea kura wakati wa uchaguzi, cha kutazama wanatimiza hawatimizi?

Msituletee upoyoyo wenu hapa.
Hizo RRRR anazoimba mama Abdul ziko ukurasa gani wa ilanı ya uchaguzi ya ccm?
 
Ameshindwa aliyewatoa rokapu? Ameshindwa aliyewafungulia mikutano ya siasa mkakosa hoja? AMESHINDWA AMBAYE NCHI NZIMA MIRADI INAENDELEA? Ameshindwa ambaye amewapa kibali cha kuandamana mpaka mkichoka? Tukutane 2025 tutajua nani ameshindwa.
 
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Umesahau na kuongeza mishahara.
 
Porojo za kijinga.

Hayo uliyoongea ndio Yana define dira ya Nchi au kuweza au Kushindwa Kwa Rais?

Jitokezeni hadharani mseme mnataka kushindana nae ubavu 2025 sio kujificha makoridoni kama panya 😆😆
Mwambie aje kugombea Chauma au chama chengine chochote isipokuwa ccm ili tupime huo ubavu wake.
 
Wasaidizi wake wanamuangusha Kwa lipi hasa? Mbona in most cases wanafanya vizuri.

Yaani unazuzuliwa na hizo porojo hapo Juu za Jumla Jumla bila ushahidi?

Umewahi jiuliza wakati Mwendazake ana set mradi wa bwawa wa miaka 10 aliweka miradi mingine ya kuziba gap la demand ya umeme? Au mahitaji yatakuwa yanasubiria bwawa?

Sgr ni kipaombele Cha Wananchi? Uliwahi ona wapi Sgr inakuza uchumi wa mtu mmja mmja?
Tuthibitishie kwanza, wewe ni mtu au robot?
 
Back
Top Bottom