ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ukiambiwa na nani January? Rais alitoa deadline lini? Mbona awamu yenu mliambiwa 2019 lakini Hadi mnafukiwa mlikuwa Bado?SGR tuliambiwa January lakini mpaka sasa ni bila bila hakuna anaezungumza