Na Kuna watu watakufa kwa sonona (hasa wanawake) kwa kukosa patner maana wao Ni wengi ki-idadi[emoji4]Sasa ka kila mtu akiamua kumpenda mwenzake huoni kuwa dunia itakuwa safe place kwa kila mtu mandam?
Kaka Kwema lkn au umepigwa na kitu kizto kichwan nnππUzuri mwanamke akiwa dis interested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!
Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.
Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start. Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.
Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine. So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows! Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Ha ha ha... Comment ya kikatili Sana hii ila Ndo uhalisia wenyewe[emoji4]Ni kosa kubwa sana kujidanganya kwamba mwanamke anapenda. Wee tumia hela ule mbususu basi. Cha msingi ni kukojolea pisi kali basi. Upendo ipo kwa mama yako tuu
Jidanganye[emoji4]Hahahahah ukijiwekea notion hio unafeli mwanetu[emoji28] binafsi nakuwaga na mademu hawanifanyi ATM na mapenzi wananipa tunafurahia maisha kwa activities mbali mbali na still maisha yanaenda. They are so inlove with my natural characters na vile huwa si fake life.
Kuna muda nashangaa kwanini wahuni mnalia lia ooh mapenzi pesa. Mbona wengine tunaishi nao tu bila kwere[emoji28]
Endelea kuamini hivyo namie nitaamini vingine sababu mapenzi ni hisia basi kila mtu atashinda mechi zake.Ni kosa kubwa sana kujidanganya kwamba mwanamke anapenda. Wee tumia hela ule mbususu basi. Cha msingi ni kukojolea pisi kali basi. Upendo ipo kwa mama yako tuu
Mkuu kama mwanaume una option za kununua sex au kutafta mapenzi! Usije ukanunua sex kisha ukanogewa ukahisi unapendwaπ ! Kiini cha mada kipo hapo!
Spot on mate! Sisi wengine hatuamini kwenye hiyo upendo toka kwa mwanamke. Wacha tutumie hela kupata hiyo sex mzeya maana ata kuoa kinachotafutwa ni hicho tuuEndelea kuamini hivyo namie nitaamini vingine sababu mapenzi ni hisia basi kila mtu atashinda mechi zake.
Money cant buy love but it can surely buy you sex! Ukinunua ngono kwa pesa usichanganye ngono na upendo.
Sizitaki mbichi hizi[emoji4]Hahahahaha mzee huwezi kunielewa sababu Jamila ameteka akili yako kiasi kwamba hata akikutukania mzazi still utanuna siku 2 na kujirudisha kwake siku ya 3![emoji28][emoji28][emoji28]
Safi sn mkuu... Mtupende sn sisi tunao wapendaKwema mzee baba, hii ni mada nimepost tu mkuu mie sina tatizo kabisa na hao watu
πππ me ni Ke bhn kakangu... Hata hivyo tunawependaga hata kama bado mnazchanga tatizo huja baada ya kuzpata baadh yenu mnaona hatustahili kutumia na nyieKwema mzee baba, hii ni mada nimepost tu mkuu mie sina tatizo kabisa na hao watu
Yeah hio ni option ambayo kila mwanaume anayo mzeeπ ila haibadilishi ukweli kuwa mapenzi hayapo.Spot on mate! Sisi wengine hatuamini kwenye hiyo upendo toka kwa mwanamke. Wacha tutumie hela kupata hiyo sex mzeya maana ata kuoa kinachotafutwa ni hicho tuu
Tatizo wengi walotulia hata sio watamu[emoji4]Ahahahah mzee mie selection yangu ya pisi huwa inaniuma sana kuwaacha waliwe na fisi maji...Ningekuwa na uwezo ningeoa mademu kadhaa ambao nimekulaga maana wametulia sana mzee.
Ningekuwa mtoto wa Sultan ningeweka mizigo ndani.
Sorry mrembo! Ungeandika kidoti kabisa ieleweke io kudot inatuchanganya mashabikiπ π πSafi sn mkuu... Mtupende sn sisi tunao wapenda
πππ me ni Ke bhn kakangu... Hata hivyo tunawependaga hata kama bado mnazchanga tatizo huja baada ya kuzpata baadh yenu mnaona hatustahili kutumia na nyie
Mkuu naona umetoka ktk kifungo cha banπ π π π π π
Hahaha, nimecheka sana!Kuna mtu nampenda sana aise mpka nachanganyikiwa..ajabu yeye anapenda wali maharage..so [emoji20]