Na nauli wanatuma acha waliwe tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kuna watu wana bahati mbaya wewe
ni dem ila kama umesimama mbali unaona ni mwana
Nyie ndo nawataka.
mafyati🤣……….!?
SecondedImekaa kitoto sana....
Ukiona mtu mzima na akili zake ametumia hizo editing kuna shida mahali...
Viongozi wenyewe wapo wapi wa kusikiliza na kuimplement .. Nchi inayowaamini machawa kuliko watu professional na wasomi..... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Ndo wapi uko? 😂😂mafyati🤣
Ndo wapi uko? 😂😂
Afu kuna anafanana naye huyu dada yupo humu 🤣🤣🤣
acha dhambiAfu kuna anafanana naye huyu dada yupo humu 🤣🤣🤣
Kweli ila jina limenitoka, nikikumbuka ntakushtuaacha dhambi
sio somebody wife🤣Kweli ila jina limenitoka, nikikumbuka ntakushtua
Siogopi.Huogopi nitakutisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Usinitafute maneno kwaheri naenda kucheza hanii ya zuhura kopa 😂😂😂sio somebody wife🤣
HayaNitakwambia [emoji23][emoji23]
Ndio ndio, odo namkubali sana[emoji23]Odo hawezi yule mzuri bila hata photo lab [emoji23]
Ndio ndio, odo namkubali sana[emoji23]