Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Pm huogopi kutapeliwa? 🤣🤣Njoo pm una kitu utanfikisha mbali 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm huogopi kutapeliwa? 🤣🤣Njoo pm una kitu utanfikisha mbali 😂
Ni wewe 🤣🤣😂 labda sio mimi
Njoo pm wewe acha janja janjaPm huogopi kutapeliwa? 🤣🤣
Sio mimi huyoNi wewe 🤣🤣
Akituma laki me ntakuongeza 50k ya majiBabu nitumie hiyo laki nije 🤣🤣
Utaiona soon Mjukuu, nakutumia na hela ya emergency njiani incase utaona chochote cha kununua 🤪Ile ile babu usikosee 🤣🤣
Kwamba huamini ama 🤪Akituma laki me ntakuongeza 50k ya maji
Tupo hapaKwamba huamini ama 🤪
Subiri akuonyeshe meseji ya Mpesa kwamba amepokea kutoka kwa Babu 🤗
Muhazina ndio Chali na Ile miwani yake ya siku ya ndoa ndio ilimfanya aonekane tapeli kabisaWakate rufaa 🤣🤣🤣
Au tumsikilizie muhazina wao Mrs Mrema?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zina jukwaa lake nenda huko utazikuta na ukiona hivyo ujue ww ndio umeingia jukwaa ambalo halikuhusu.
Mfano sijawahi kumuona mshana, kelsea, kalpana kwenye jukwaa la wazee wa kubet hii inaonesha sio wapenzi huko.
So tafuta jukwaa la maendeleo utawakuta wadau wenzako huko.
[emoji23][emoji23][emoji23]Leta basi Financial statement ya TIGO tuanze kuijadili mkuu...
#YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23]Inauma ila utafanyeje adhabu yake ni kumkunja kisawasawa
Hahaha...............kuweni na imani na Wazee.Tupo hapa
Safi ndugu za toka mwaka juzi😂😂Niko poa mpz wangu!!
Za miaka 😂😂
Hebu tuma basi babu nije kukuona nikuletee na koti kutoka ulayaHahaha...............kuweni na imani na Wazee.
Ama nawe unataka uje unisalimie Babu yako? Najua kwako nauli ya elfu 85 inakutosha kuweza kuja kunitembelea huku Kijijini 🤗
Usije kuleta thread ya kutapeliwa we niite tu huko pm 🤣🤣🤣Njoo pm wewe acha janja janja
Hakikisheni kwenye hiyo 50k mnagawana 25K. Fanyeni biasharaKwamba huamini ama 🤪
Subiri akuonyeshe meseji ya Mpesa kwamba amepokea kutoka kwa Babu 🤗
Nasemaje njoo pm hautokuwa wa kwanza au wamwisho kunitapeli humu 😅Usije kuleta thread ya kutapeliwa we niite tu huko pm 🤣🤣🤣
Babu ana mikwara huyu 🤣🤣Akituma laki me ntakuongeza 50k ya maji
Sisi wenye sura za baba ni hakuna kukutana tunaogopa kukimbiwa stendi 😀Hadi akutumie picha za Photo Lab kwani umeshindwa kumuomba mkutane kwaajili ya Dates ya kufahamiana?
Hakuna sehemu Tanzania hii nauli inafika Laki 1 kwa basi.
Kama anaishi Kigoma mtumie nauli mkutane hata Dodoma
Kama anaishi Ruvuma, mtumie nauli mkutane Iringa n.k
Wakati mwingine tutambue kuwa Mahusiano ni Uwekezaji pia.
Kwahiyo utachagua mwenyewe uletewe Picha za PhotoLab ama mtumie nauli muonane physically.
Kwa Wazee kama Sisi, hatuhangaiki na Picha. Maana tunauishi Msemo wetu wa "Hakuna Kuuziwa Mbuzi kwenye Gunia".