Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

Nimesoma malalamiko yako nimeona ni ya msingi nadhani Serikali yetu ni sikivu watafanya kitu au wanafanya kitu kuokoa hali lakini ulipofika kwenye midege na SGR hapo nahisi umepotoka..hizo ni njia za kujenga uchumi ambao ni stable na za milele...kazi ni usimamizi tu ili ziendelee kuleta tija
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, Magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Unatakwimu na kithibitisha maelezo yako au ulikaa chumbani na mmeo mkaona mseme utumbo huu...umeshawah sikia Raiswetu SSH alitamka haya..! Au Waziri Mkuu au Makamu wa Rais..viongozi ambao walikuwa walishauriana kwa pamoja na JPM kila uchao... Sasa nakuonya ukome usije mgombanisha Rais wetu na wananchi kwa utumbo wako..mama Alisha tuambia yeye na JPM Lao lilikuwa moja...na nchi ilikuwa inapaa..na inaendelea kupaa..uchumi wa Kati ungefikiwa vipi kama viongozi Hawa hawakufanya vitu sahihi..au unadhan uchumi wa Kati wazungu waliandika tu from nowhere..uwe na adabu .tuendelee kuunga mkono CCM na awamu hii inayoendeleza mazuri yote yaliyoanzishwa huko nyuma..CCM chama kubwa mama
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, Magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Akili za kidangaji hizi... nchi inaharibiwa na kufilisiwa tunaona....unaleta habari za kudanga?
 
Hizi pesa za COVID ziko wapi, zimetumiwa wapi,, au wamegawana?

Sisi wananchi tulipie vitu tusivyovijua kumpeleka mtoto wa Mwigulu International School of Tanganyika.
 
Akili za kidangaji hizi... nchi inaharibiwa na kufilisiwa tunaona....unaleta habari za kudanga?
We tahira fukara mmoja akufilisi Nani pimbi wewe?!

Wenzio wanakamatia fursa we umebakia kusubiria Samia akuletee ugali nyumbani
 
Point ni uwekezaji mzuri nakubali lakini kwa midege wakati haukuwa sahihi na reli imechukua muda mrefu mno ilipaswa kuwa imeshaanza kuingiza pesa. Haya madude yasipoingiza pesa gharama tunatwisha sie wananzengo.
 
Hizi pesa za COVID ziko wapi, zimetumiwa wapi,, au wamegawana?

Sisi wananchi tulipie vitu tusivyovijua kumpeleka mtoto wa Mwigulu International School of Tanganyika.
Hawawezi kuwa na majibu yani majitu ya CCM yanakera sana kwa ulafi. Mtu mwenye roho ngumu anaweza kuwafyeka wote kimya kimya.
 
Mungu tuhurumie wanao kama ulivyotenda mwezi march 2021 basi tenda haraka maana Mwigulu ataangamiza waaja wako.
Tenda Baba Tenda
 
Deni dogo bei gani poyoyo.
Mkopo wa sgr, na bwawa la nyerere ulikopa wewe
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, Magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Hizi akili nyingine sijui zinatoka wapi! Kwani ye ndiye alienza kulipa? Ina maana Magufuli hakukuta madeni yalikopwa na watangulizi wake? Mbona miradi iliendelea kama kawaida kipindi cha Magu na hakukuwa na tozo? Hivi unaanzisha tozo kwa wananchi huku ukiongeza posho za safari kwa wafanyakazi per Diem mtu anakula 250,000 toka 150,00 alafu unasema alikuta hazina kutupu! Serious!
 
Rais wa Sasa amekuta Nchi haina fedha, Magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa miradi mfululizo na mikopo ghali ya riba kubwa na ya muda mfupi
Alikuta nchi ikiwa na sh ngapi?,Sasa hivi IPO sh ngapi talk by figures ,unasema nchi haikuwa na hela huduma zilikuwa zinatolewaje?watu kama nyie ni kupiga risasi mnatetea ujinga.
 
Alikuta nchi ikiwa na sh ngapi?,Sasa hivi IPO sh ngapi talk by figures ,unasema nchi haikuwa na hela huduma zilikuwa zinatolewaje?watu kama nyie ni kupiga risasi mnatetea ujinga.
Nikikupa silaha utaweza kunipiga hiyo risasi? Ngosha alivuruga uchumi wa Nchi, lawama mnamuangushia Samia mlivyo wajinga
 
Unamchukia sababu ya dini yake, ana akitoka Samia anaingia January au Ridhiwan Kikwete, wa imani yenu Ni makatili hawafai kupewa nchi
Wa imani yenu ni walegevu. Rahisi sababu ya uwezo mdogo. Na zaidi ni mafisadi na wezi wa mali za umma. Na wakiongoza nchi inajaa uzembe na ulegevu
 
Yeye si ndiye alikuwa makamu wa Magu,Mama amefuja pesa kwa kununua maushungi na madera mengi.
Pamoja na safari zisizo na umaana ambazo jata ivyo gharama zake haiziendani na upatikanaji wa fedha wa kawaida, ndimaana kila leo zinaanzishwa tozo.
 
Unamchukia sababu ya dini yake, ana akitoka Samia anaingia January au Ridhiwan Kikwete, wa imani yenu Ni makatili hawafai kupewa nchi
Nyinyi mafukara ni laana kwenye nchi yoyote ile, watu wanaotafuta pesa kikwelikweli hawawezi kuwa mazuzu kwenye huu mjadala unaohusu makato ya kishenzi kwenye hela zao wanazotafuta. Ila wewe ulichokiona ni dini tu?

Huyo unaetaka kumsifia kwa misingi ya kidini mbona nae failure tu, weka hapa CV yake tuone kama ni ya kueleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…