Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

Tuzioneni tozo kwa facts na namba, zinaumiza hapa wenye namba tu

Kwenye faida ya hio miamala serikali wanawalipa ngapi ?, na umecheki overheads zao ni kiasi gani na shareholders wanalipwa ngapi ?

Huwezi kuwapangia watu bei bila kufanya due dilligence na kuangalia all costs involveld... Na kama ni rahisi sana kufanya kwanini Serikali isifanye hata kwa tshs elfu 2 na kukeep all the profits ?
Ndogo Sana
 
Hiyo mikopo ya Magufuli aliyochukuwa imerekodiwa wapi? Wapi records? Mpaka Magufuli anafariki deni la Tanzania lilikuwa dogo karibia kuliko wakati wowote ule, sasa hiyo Mikopo gani unayoiongelea aliyochukuwa Maguguli? Deni la Tanzania limeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kuanzia raisi wa sasa alivyoingia!
Watu walimezeshwa propaganda tu imagine wewe uwe katika mazingira ambayo hukopesheki. Halafu aje mwenzio aweze kukopa 10 times more katika kipindi cha muda mfupi tu.
 
Bora siye ka mshahara ni single withdraw hurudi mara 2 wala kale ka option kakutoa 400k hakipo ni 200k tu. Mama fungua inchi ifunguke.....
 
Ndogo Sana
Kuna Kodi ya zuio tu kwa kila wakala mfano wa mpesa kama 10% am sure na hao wazalishaji kuna ma-service levy, income tax, WCF na mapochopocho mengi ukija kupiga hesabu mwisho wa mwaka kuna double taxatation za kufa mtu.... ila bado hakuna value for money kwa mwananchi....

Hawa watu nadhani hawajui kwamba hata uvumilivu una kikomo...
 
Kuna Kodi ya zuio tu kwa kila wakala mfano wa mpesa kama 10% am sure na hao wazalishaji kuna ma-service levy, income tax, WCF na mapochopocho mengi ukija kupiga hesabu mwisho wa mwaka kuna double taxatation za kufa mtu.... ila bado hakuna value for money kwa mwananchi....

Hawa watu nadhani hawajui kwamba hata uvumilivu una kikomo...
Bora uweke tozo inajulikana ni pesa ya serikali kuliko Tax ambayo ni rahisi kuikwepa kwenye mnyororo mzima wa biashara.
 
Watu walimezeshwa propaganda tu imagine wewe uwe katika mazingira ambayo hukopesheki. Halafu aje mwenzio aweze kukopa 10 times more katika kipindi cha muda mfupi tu.

Hapo sasa, wakati huo huo wanasafiri Dunia na ndege ya kukodi shopping USA kote huko hiyo pesa ilitoka wapi kama hawakukuta kitu hazina?
 
Bora uweke tozo inajulikana ni pesa ya serikali kuliko Tax ambayo ni rahisi kuikwepa kwenye mnyororo mzima wa biashara.
Hapana hili niliwahi kusema ages ago... Tozo hizi zinakupunguza transactions na watu kutafuta njia mbadala...; Kupata kidogo kwenye kingi ni bora kuliko kupata kingi kwenye kidogo

 
Hapana hili niliwahi kusema ages ago... Tozo hizi zinakupunguza transactions na watu kutafuta njia mbadala...

Wapi transactions zimepungua? Hizo ni porojo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220521-213837.png
    Screenshot_20220521-213837.png
    129.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220521-215651.png
    Screenshot_20220521-215651.png
    122.4 KB · Views: 2
Inafanyia nini hio tozo, hela hio sio ya serikali!
Sio hela ya serikali? 😁😁.. Kiukweli huwa nasikia raha Sana nikiona nyie majitu ya Mijini mkilia Lia Kuhusu tozo..

Inafanya Kazi hizi hapa huku Kijijini kwetu 👇
 

Attachments

  • 20220828_132921.jpg
    20220828_132921.jpg
    139.9 KB · Views: 3
  • 20220828_132911.jpg
    20220828_132911.jpg
    155.7 KB · Views: 3
  • 20220828_132916.jpg
    20220828_132916.jpg
    257.5 KB · Views: 2
  • 20220828_132219.jpg
    20220828_132219.jpg
    278.3 KB · Views: 2
  • 20220828_132907.jpg
    20220828_132907.jpg
    183.6 KB · Views: 3
  • 20220829_215114.jpg
    20220829_215114.jpg
    188.8 KB · Views: 3
Sio hela ya serikali? 😁😁.. Kiukweli huwa nasikia raha Sana nikiona nyie majitu ya Mijini mkilia Lia Kuhusu tozo..

Inafanya Kazi hizi hapa huku Kijijini kwetu 👇
Hela unayokata kwenye account ya mteja unaitaje ya serikali. Hela ni ya wananchi
 
Wapi transactions zimepungua? Hizo ni porojo 👇
Kwani mpaka uambiwe au kusoma sehemu ? mleta uzi kasema anatafuta njia kuacha kutumia benki, mawakala transactions zilipungua sana kwenye mobile money..., fraud za watu kutumia lipa kwa mpesa kwa kutoa pesa badala ya kununua bidhaa zimezidi..., hayo hayahitaji kuambiwa na hio inaonyesha Government walichemka ndio maana wamejitahidi kushusha mara mbili kile walichoongeza ingawa bado kipo juu na impact yako ni long term.... (imepunguza sana financial inclusive ambayo kama nchi tulikuwa tumepiga hatua kubwa)
 
Kwani mpaka uambiwe au kusoma sehemu ? mleta uzi kasema anatafuta njia kuacha kutumia benki, mawakala transactions zilipungua sana kwenye mobile money..., fraud za watu kutumia lipa kwa mpesa kwa kutoa pesa badala ya kununua bidhaa zimezidi..., hayo hayahitaji kuambiwa na hio inaonyesha Government walichemka ndio maana wamejitahidi kushusha mara mbili kile walichoongeza ingawa bado kipo juu na impact yako ni long term.... (imepunguza sana financial inclusive ambayo kama nchi tulikuwa tumepiga hatua kubwa)
Akiacha yeye maelfu wanasajikiwa..

Look here unaacha wewe,the same year serikali inasajili wengine maelfu Kwa njia ya ajira na mikopo ya wanafunzi wapya achilia mbali mitandao ya simu na banks..
 
Hela unayokata kwenye account ya mteja unaitaje ya serikali. Hela ni ya wananchi
Basi hiyo hiyo ya Wananchi ndio inatakiwa ikatujengee barabara Vijijini na vituo vya afya..

Shenzi Sana nyie majitu ya mjini awamu hii mumepatikana, yaani tuwe tunaporomoka milima hiyo kusafiri mamia ya km eti kufuata huduma wakati tunaweza zipata huko huko kwa njia ya tozo..

Serikali kamatieni hapo hapo wapiga kura tuko Vijijini achana kabisa na wapiga makelele hao wa mjini..
 
Akiacha yeye maelfu wanasajikiwa..

Look here unaacha wewe,the same year serikali inasajili wengine maelfu Kwa njia ya ajira na mikopo ya wanafunzi wapya achilia mbali mitandao ya simu na banks..
sidhani hata kama wewe unaelewa ulichokiandika hebu rudia kusoma.... kuna uhusiano gani au unamaanisha mikopo ya wanafunzi na ajira ndio mbadala wa mitandao ya simu na banks ?

Narudia tena Serikali ingeweza kupata maradufu ya makusanyo kwa kukusanya kidogo kidogo sehemu chache kwa wengi (bila kuwaumiza na wengi wangetoa bila hiana) kuliko kuwakamua kwa kutaka kingi..., wengi wanakimbia au hawana hata uwezo wa kuzitoa....
 
sidhani hata kama wewe unaelewa ulichokiandika hebu rudia kusoma.... kuna uhusiano gani au unamaanisha mikopo ya wanafunzi na ajira ndio mbadala wa mitandao ya simu na banks ?

Narudia tena Serikali ingeweza kupata maradufu ya makusanyo kwa kukusanya kidogo kidogo sehemu chache kwa wengi (bila kuwaumiza na wengi wangetoa bila hiana) kuliko kuwakamua kwa kutaka kingi..., wengi wanakimbia au hawana hata uwezo wa kuzitoa....
Wewe acha ujinga,uki admit wanafunzi wapya wote wanatakiwa kuwa na accounts banks nk so unazalisha watumiaji wapya wa miamala..

Hivyo hivyo na kwenye mitandao ya simu,kama tozo kubwa mwaka uliopita watumiaji waliongezeka itakuaje this time ambapo miamala imepunguzwa.kwa nusu?

Acha kuota mambo ya kijinga
 
Wewe acha ujinga,uki admit wanafunzi wapya wote wanatakiwa kuwa na accounts banks nk so unazalisha watumiaji wapya wa miamala..
Hao wanafunzi walikuwa hawana akaunti kabla ? Na hao wanafunzi wazazi wao ndio mmoja wao ni kama huyu mleta uzi ambaye anatafuta njia mbadala ya kutuma pesa..., nahisi ataanza kutuma pesa kwa kutumia konda na kufanya malipo direct chuoni
Hivyo hivyo na kwenye mitandao ya simu,kama tozo kubwa mwaka uliopita watumiaji waliongezeka itakuaje this time ambapo miamala imepunguzwa.kwa nusu?

Acha kuota mambo ya kijinga
Hizo data za watumiaji kuongezeka wa transactions umezitoa wapi ? Serikali iliongeza Tozo about 100 percent watu wakaja juu wakashusha mpaka 70% watu wakaendelea kulalamika wakaziba masikio...., nadhani transactions zikawapa majibu wameshusha anaother 30% kwahio realistically Tozo zimepanda kwa kwa about 40% kutoka hapo previously... Na kumbuka hizi tozo ni majina tu technically ni Kodi tu ambayo always watu walikuwa wanalipa kama VAT n.k. as well as mawakala na watoa huduma kama Kodi ya Zuio na mengine kila wapato faida yao....
 
Back
Top Bottom