dinongo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 814
- 1,054
pole sanaHaueleweki unaongea nini..
Mimi ninaonesha namna magufuli alivyoanzisha tatizo la nchi kukopa sana baada ya kuharibu uwekezaji nchini. Huyu Samia ni incompetent hivyo hawezi kusimamia nchi kwa hali ilivyo. Anatakiwa rais mwenye akili kubwa.