Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kolo una stress tulia kesho kazini.Yanga na treble wapi na wapii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umepuyangaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolo una stress tulia kesho kazini.Yanga na treble wapi na wapii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umepuyangaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuzo bila Simba Sc ni kama birthday party tu
Mkuu sijapuyanga tuzo zimezingatia performance ya msimu wa 2022/2023 kumbuka Niko kamati ndogo ya utoaji tuzo hizi kutoka chama Cha mchezo wangu (netball na basketball)Yanga na treble wapi na wapii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umepuyangaaaa
Kisa anawabebaga yanga kwenye match zao mxxxiiiieeew.Unadhani ni mwamuzi gani Bora wa kiume kwa Sasa nchini!? Jamaa anajitahidi sana ni rahisi kuona makosa anayofanya ila mazuri yake ni mengi sana
Stress za nn? Yanga na treble wapi na wapiii?Koloa una stress tulia kesho kazini.
Nimekuuliza treble ya Yanga ilikua mwaka upi? Na unitajie makombe aliyochukua huo mwaka.Mkuu sijapuyanga tuzo zimezingatia performance ya msimu wa 2022/2023 kumbuka Niko kamati ndogo ya utoaji tuzo hizi kutoka chama Cha mchezo wangu (netball na basketball)
Leodgar Tenga ndye aliyenifanya nikawa mpenzi wa Yanga na nikaamua kusoma engineeringTuzo ya pili ya heshima katika mchango wa michezo imeenda kwa msomi wa kwanza mwenye degree
Leodigar Chila Tenga
Ndumbaro kataja sifa zake kedekede inawezekana kabisa Majaliwa na Tenga wakawa ni agent of change kwenye soka kwa kipindi Cha miaka 20
Simba imo; ndiye mshindi wa timu iliyoporomoka haraka sana kwa viwango.Tuzo bila Simba Sc ni kama birthday party tu
Umisseta na umitashumita mwakani kufanyika iringa
Ocean road itakuwa kwa ajili ya mazoezi siku za weekend asubuhi
Kwani afcon tumefuzu mwaka gani?Mkuu sijapuyanga tuzo zimezingatia performance ya msimu wa 2022/2023 kumbuka Niko kamati ndogo ya utoaji tuzo hizi kutoka chama Cha mchezo wangu (netball na basketball)
Umeanza! 😁😁😁Tuzo bila Simba Sc ni kama birthday party tu
Itakuwa Barack Obama road kule baharini nyuma ya aghakan madon watakuwa wanakata wese na magari yatazuiwa ila huku Pugu na goms wale jamaa wa kitambaa chekundu wataendelea kutusaidiaOcean road ndio wapi huko au unamaanisha barack obama road?
Hizi tuzo huwa mnaambatanisha mpunga kiasi gani kwa mshindi?Mkuu sijapuyanga tuzo zimezingatia performance ya msimu wa 2022/2023 kumbuka Niko kamati ndogo ya utoaji tuzo hizi kutoka chama Cha mchezo wangu (netball na basketball)