Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Eyce

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2016
Posts
7,185
Reaction score
24,330
Kiukweli nilikuwa hata sijui kama ni leo ila
Katika pitapita za kubadilisha TV channels ndio nakutana nazo

Ukiachilia promo ambayo imeonekana kuwa na udhaifu, bado kuna mambo mengi ya kuboresha

1. Utoaji wa Tuzo
Nimeona kuna tuzo 3 za heshima ikiwemo ya Ruge Mutahaba na Diamond platnums bado na Mama Samia Suluhu. Si kama hawastahili ila sioni umuhimu wa watu watatu kugawana spotlight

2. Too much politics
Sijaelewa ni Mimi Tu au vipi, yaani Tuzo zimekuwa kama platform ya kupromote siasa kuliko muziki wenyewe, nimeona hadi mabango ya kudai haki na background sound za kusifu uongozi.. Sio mbaya lakini haikuwa necessary

3. Management
Hapa waandaaji waangalie hata kili music awards zilivyokuwa zinaendeshwa maana nimeshangaa watu almost wanne wamepewa Tuzo ila kuna watu wamekaa stejini muda wote kama wanakamati, sijui ni public figures ama ushers

3. TBC Coverage
Mixing ya picha na presentation kiasi haijanivutia, hopeful next time watafanya vizuri zaidi


Nimeangalia high table au sijui ni VIP kumejaa political figures, sio mbaya ila wangemix na musical figures maana ni usiku wao

Nimependa stage settings wamejitajidi lakini pia wasanii naona wamejitahidi

Japo ndio imeanza, ngoja niangalie itaendeleaje
 
Tuna safari ndefu sana kama nchi.

Picture.jpg
 
Kama hawako serious wao wenyewe unadhan Nani atawachukulia serious

Nadhani walioandaa walikosa focus maana inaendeshwa kizamani kiasi, labda huko mbeleni patachangamka lakini kwa sasa sioni vijana wamepoa ukumbini kama wameingia bakurutu 🤣
 
Nimependa maana wamempa Taji liundi kusherehesha, best move ila kavaa simple tofauti na kawaida yake kwa event kubwa kama hii

Ammy gal is good pia, nimemmiss Jokate maana combination yake na taj ni royalty kwa bongo
 
Kiukweli nilikuwa hata sijui kama ni leo ila
Katika pitapita za kubadilisha TV channels ndio nakutana nazo

Ukiachilia promo ambayo imeonekana kuwa na udhaifu, bado kuna mambo mengi ya kuboresha

1. Utoaji wa Tuzo
Nimeona kuna tuzo 3 za heshima ikiwemo ya Ruge Mutahaba na Diamond platnums bado na Mama Samia Suluhu. Si kama hawastahili ila sioni umuhimu wa watu watatu kugawana spotlight

2. Too much politics
Sijaelewa ni Mimi Tu au vipi, yaani Tuzo zimekuwa kama platform ya kupromote siasa kuliko muziki wenyewe, nimeona hadi mabango ya kudai haki na background sound za kusifu uongozi.. Sio mbaya lakini haikuwa necessary

3. Management
Hapa waandaaji waangalie hata kili music awards zilivyokuwa zinaendeshwa maana nimeshangaa watu almost wanne wamepewa Tuzo ila kuna watu wamekaa stejini muda wote kama wanakamati, sijui ni public figures ama ushers

3. TBC Coverage
Mixing ya picha na presentation kiasi haijanivutia, hopeful next time watafanya vizuri zaidi


Nimeangalia high table au sijui ni VIP kumejaa political figures, sio mbaya ila wangemix na musical figures maana ni usiku wao

Nimependa stage settings wamejitajidi lakini pia wasanii naona wamejitahidi

Japo ndio imeanza, ngoja niangalie itaendeleaje
Kwanini ukumbi wamechagua huo.
Kama vile wapo kwwnye warsha au lecture room
 
Tuzo hazina hata amsha amsha. Kitime bado anahutubia, sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kutoa story ya marehemu wakati tumeshaamua kugawana mirathi.
 
Tuzo hazina hata amsha amsha. Kitime bado anahutubia, sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kutoa story ya marehemu wakati tumeshaamua kugawana mirathi.
Hotuba zimekuwa nyingi kiukweli, vibe ukumbini hakuna labda wakianza kutoa Tuzo zinazohusisha wasanii wakubwa
 
Kwa sababu hata hao tunaowaiga mamtoni wwnafania events zao sehemu kama hizo.
Ila kwa tamaduni za wabongo wanapenda wakae sehemu ya kujiachia kidogo na gambe, sehemu ikikaa hivyo unawapa vibe la mikutano
 
Back
Top Bottom