Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Aisee hizi tuzo hawakuzifanyia promo ya kutosha ndio naamka nakuta kumbe kulikuwa na tuzo😆
 
wasanii wengi wana uchumi mdogo sana hii imewafanya kuishi maisha ya kinafiki na kujipendekeza, kwa akili ya kawaida tu kuna vitu vingi tu walitakiwa kuvikataa/gomea kuhusu hizo tuzo.

Nawapongeza wasanii waliozigoea hizi tuzo, waliozikataa na wale waliojaribu walau kutoa constructive criticisms waziwazi, ujue kuna muda mtu unafigt battle lako gumu halafu mtu mwingine anataka kukuhusisha kwenye ujinga ujinga wake.
 

Nadhani issue kupoa ni mpangilio mzima wa event haswa peformance, celebrities walikuwa wachache hasa powerful names kama wema ambao wangewatumia kugawa Tuzo ingekuwa na vibe zaidi

Kuhusu WCB sidhani kama wangeleta kitu kikubwa sanaaaaaa, nakumbuka last year kulikuwa na miss East Africa na wenyewe ndio walikaa mbele na major peformer alikuwa mbosso lakini issue mzima ilibuma.

Kikubwa nadhani labda wangeongeza msisimko Tu hasa kama Zuchu angeingia maana this year kafanya vizuri sana, labda na Diamond na Mbosso. The rest sidhani kama wangeleta impact kubwa sana kuzidi uwepo wa Ali kiba, Marioo, Konde na Mbosso
 
Naona wanatoa Tuzo ya video vixen lakini kwenye kutaja nominees hakuna hata picha zinazooneshwa

Hivi hizo tuzo wanapewa na pesa au ????
Faida yake nin hizo tuzo
 
Hizi tuzo zilipoteza mvuto kuanzia siku ya kwanza walipo muweka Darmian Soul kama up coming artist yeye mwenyewe alishangaa kujiona kwenye hicho kipengele
 
Pole sana kwa kukutana na huo upuuzi, leo kuna Grammy awards kama ni mfatiliaji basi itakusahaulisha huo upuuzi wa jana.
 
Pole sana kwa kukutana na huo upuuzi, leo kuna Grammy awards kama ni mfatiliaji basi itakusahaulisha huo upuuzi wa jana.
Ngoja nitajitahidi kuiangalia japo Mimi huwa fan wa black excellence, BET
 
Hivi hizo tuzo wanapewa na pesa au ????
Faida yake nin hizo tuzo
Tuzo ni heshima, ukiangalia hata profile ya msanii ili ujue alikuwa mkubwa kiasi gani wanaangalia mauzo ya album na Tuzo. Pia Kuna pesa huwa inatolewa kwa kila category
 
Tuzo ni heshima, ukiangalia hata profile ya maanie ili ujue alikuwa mubaarak kiasi gani wanaangalia mauzo ya album na Tuzo. Pia Kuna pesa huwa inatolewa kwa kila category
Sawa
 
Kumbe tuzo mmepeana jana, si mngesema tu hata tufatilie!
 
Chenja za mabio ya jeshi ni nouma zina vibe, tuzo kwa mabeyo😂😂
#mycountrypeople
 
Mara chache Sana naona unatoaga comment lakini ukihakutoa zinakuwa heavy kweli kweli hongera kwenye Hili tunatamani tuone ukitoa comment nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…