mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo EbitokeNext year waandaaji wamuweke hata zumaridi angalau[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo EbitokeNext year waandaaji wamuweke hata zumaridi angalau[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata chid boy anaweza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo Ebitoke
Anam-miss binti Masanja, nadhani hata msuba alokwega kabla ya kuingia kwenye ghafla ya kutoa tuzo haukuwa umekomaa vizuri.Halafu mbona konde kapoa sana[emoji16]
Eti wanamshukuru samia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata chid boy anaweza.
Halafu kumbe kuna wasanii wameishukuru serikali kuwafikisha hapo badala ya management na fans wao na hamniambii?
Tule daku kabisa[emoji23]hawa wanaweza toa tuzo hadi kunakucha. Time management.
Hauoni viongozi wenu wa ccm wanavyokenua[emoji16]Wimbo unahamasisha ulevi ndiyo unakuwa wimbo bora?
Nchi ngumu hiiHauoni viongozi wenu wa ccm wanavyokenua[emoji16]
Wanafik sanaEti wanamshukuru samia[emoji23]
Eti mama!!!!!Wanafik sana
Hii nchi ni sawa na gari lisilo na guludumuNchi ngumu hii
uskute wanyakyusa ndo wameandaa hii stage.
Acha ufala [emoji1][emoji1]uskute wanyakyusa ndo wameandaa hii stage.
Ni tv gani hii?
Mbona unashangaa hao ndio basataHe!!! Barua tena?