Daaaa kazi sana....enzi hizo tech social mefia haikuwa sana.....mbona kama tulikuwa tunawasaidia sana kuja orchard usiku ?? Gate la yule mama Mbema lilikuwa kali......safiiii wewe ni NyosoooUnadhani michezo inasaidia? Nimesoma Tabora girls enzi hizo ni shule ya kijeshi ,kwata kwa kwenda mbele na mazoezi mengine lakini watu walikuwa wanasagana.
Mbona hata vijana wa kiume wanafirana.?!Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Nikuibie siri hii niliambiwa na Dada mmoja ambaye ni mzoefu wa hiyo michezoUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Hahahah, enzi za mama Mnema geti kali lakini kuna wasichana walikuwa wanatoroka usiku kwenda kule nje ya geti kufuata wanaume. Wengi tu walifukuzwa shule na kupewa suspensionDaaaa kazi sana....enzi hizo tech social mefia haikuwa sana.....mbona kama tulikuwa tunawasaidia sana kuja orchard usiku ?? Gate la yule mama Mbema lilikuwa kali......safiiii wewe ni Nyosooo
Haina narudia, hainaaaaUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Dah haya mambo ni hatari sana.Kuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.
Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.
Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga
Mmmh hakuna kitu hatutaona dunia hii ya sasa.
Shule za bweni za siku hizi miyeyusho Sana.
Bora hata kumsomesha mtoto shule ya kutwa
Dah hatariKuna shule moja niliwahi kufika Mkoani mwanza mwaka 2006 nilistaajabu sana.
Vyoo na bafu za mabweni ya wasichana havikuwa na milango. Vilevile chumba cha Matron katika bweni hilo pia hakikua na mlango, nikaambiwa hiyo ndiyo formula wanayotumia kupambana na hali hiyo.
Sana
dunia ya sasa imekaa hovyo sana
mkuu unaongelea baobab? hivi kuna video zimevuja ua? maana naona mitandaoni kama vile kuna kitu.Mfano hii shule ya bagamoyo tangu kipindi nakaa huko bagamoyo ilikua inavuma sifa za kusagana tuu, mpaka hii leo yameibuka mapyaa na ya kuchukiza vitoto vidogo kama vile empty kabisa vimefumuliwa kote kote , vinasagana
Shule ukiiangalia nzuri kweli kweli ila yaliyomo sasa,
Nafikiri pia kuna shida ya kiuongozi katika ile shule si wa upuuzi ule
Zimevuja eeehmkuu unaongelea baobab? hivi kuna video zimevuja ua? maana naona mitandaoni kama vile kuna kitu.
Ndio mkuu kuna video watoto wamefanya uchafu, ni watoto wadogo kwa mtu mwenye maadili ya uzazi ila dah , acha tu inasikitisha sanaaa tunakoenda Bao Bab wajitafakarimkuu unaongelea baobab? hivi kuna video zimevuja ua? maana naona mitandaoni kama vile kuna kitu.
Wako wapi tuwagegede viziri tupate utajiri maana nasikia shetana anakubariki mihela kama ukimfira mwanaume mwenzio. Nimechoka nanhuu umaskiniMbona hata vijana wa kiume wanafirana.?!