TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

Wagalatia hamna jema kkenge nyie,akigomea mtasema mdini
 
Uyanga na usimba ndio unasumbua
 
Hiyo m-bet (simba) parimatch (Geita, nk), sportpesa (namungo, singida)

Bank NBC kwa ligi kuu (Bank ambazo zina toza riba)

Hivyo sio ajabu kuona kuna vitu kama hivi vya Pombe

Pia dini ukiimeza kama ilivyo utakuta kuwa mpira ni haramu
Dini inasema mpira Haram!?
 
Acha kuwapangia watu namna gani ya kuingiza fedha, na wewe anzisha kampuni yako uweke katazo la hayo mambo.
 
Serikalini katika muswada wa Bima ya afya kwa wote imesema vyanzo vya mapato vitakuwa pombe sigara na betting unataka kusema waislamu wasitibiwe
 
Lol kumbe Azam Tv ni ya kidini?
 
M-bet sio bahati nasibu? ITV haipo Azam?
 
Kwahiyo wanavyotutangazia ndondi ndio imani yake inataka?.
 
Ukifatilia sana mambo ya Vyanzo vyetu vya mapato unaweza Usitoe Fungu la Kumi.

Lakini Muhimu Zaka itolewe haijalishi imetoka mikono safi ama muesi๐Ÿ™Œ
 
Mtoa mada sijui umetumia Nini kuwaza huo ni mkataba wa Simba na Serengeti na sio Azam Bakhressa POMBE kwake haramu hata pale Zanzibar katika hotel yake Pombe hairuhusiwi kuuzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ