TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

Waulize Waislamu waajiriwa kwenye Azam Media. Ni sera ya Newark
Hawajawahi kunywa Guinness 0.0 hao.

81iMu1lb+3L.jpg

Dhambi imetolewa. GUINNESS imeachwa.😁
 
KWA mujibu wa taarifa ya CEO wa Club ya Simba SC Imani Kajula Leo 02/11/2023 kwa vyombo vya habari, Club hiyo imeingia mkataba wa kibiashara na kampuni ya SBL watengenezaji wa pombe aina ya Serengeti! Ni mkataba wa sh 1.5 Bilioni Kwa miaka 3 ambapo itatoa fedha Kwa Simba kiasi cha shilingi 500 milioni kila mwaka.

Katika mkataba huo Kituo Cha Televisheni ya Azam inayomilikiwa na Bhakresa (muislamu) inayotangaza NBC Premium Legue italazimika kutangaza pombe ya Serengeti katika kila mchezo ndani ya ligi yetu.

Ikumbukwe kwa Imani ya Bakhresa makampuni yake ya media yamejitenga kisera kutangaza bidhaa kama pombe, sigara, michezo ya bahati nasibu na makatazo yote ya dini ya Kiislamu.

Swali je, Said Salim Bakhresa ameamua kukomunika yaishe alimradi "maokoto" yanaingia?
Cha msingi ni kushauri wasitengeneze pombe inayowangisha kichwa
isiyo wangisha kichwa tumeahidiwa
 
Bakhresa namkubali sana

Ila tunaposhwindana yule mwamba hata katika ajira Waislam anawapa kipaumbele kuliko watu wa imani nyingine
 
KWA mujibu wa taarifa ya CEO wa Club ya Simba SC Imani Kajula Leo 02/11/2023 kwa vyombo vya habari, Club hiyo imeingia mkataba wa kibiashara na kampuni ya SBL watengenezaji wa pombe aina ya Serengeti! Ni mkataba wa sh 1.5 Bilioni Kwa miaka 3 ambapo itatoa fedha Kwa Simba kiasi cha shilingi 500 milioni kila mwaka.

Katika mkataba huo Kituo Cha Televisheni ya Azam inayomilikiwa na Bhakresa (muislamu) inayotangaza NBC Premium Legue italazimika kutangaza pombe ya Serengeti katika kila mchezo ndani ya ligi yetu.

Ikumbukwe kwa Imani ya Bakhresa makampuni yake ya media yamejitenga kisera kutangaza bidhaa kama pombe, sigara, michezo ya bahati nasibu na makatazo yote ya dini ya Kiislamu.

Swali je, Said Salim Bakhresa ameamua kukomunika yaishe alimradi "maokoto" yanaingia?
Hapa ndio upumbavu wa islam, na wa islam(sio wote) unapoanzia, ni la kitu kukiangalia kupitia, macho ya, dini! Political islam ni janga,
Kutaka kila eneo la maisha litawaliwe kwa dini, ni, ujinga,unataka, kwenda kukata gogo, check msaafu unasemaje, unataka kupiga pipe, check quruan inasemaje!
Sasa kama Azam, inaenda kiislam islam, inamaana,Mfungo wa ramadhan,mtataka kila mfanyakazi, afunge, au asupofunga, asiende kula?
Basi kama ni hivyo,abadilishe iwe Chanel ya dini,
Pesa tunazotumia kununua vifurushi vyake,anajua tunazitoa wapi! Wengine sie wazungu wa, unga, majambazi,
So pathetic
 
KWA mujibu wa taarifa ya CEO wa Club ya Simba SC Imani Kajula Leo 02/11/2023 kwa vyombo vya habari, Club hiyo imeingia mkataba wa kibiashara na kampuni ya SBL watengenezaji wa pombe aina ya Serengeti! Ni mkataba wa sh 1.5 Bilioni Kwa miaka 3 ambapo itatoa fedha Kwa Simba kiasi cha shilingi 500 milioni kila mwaka.

Katika mkataba huo Kituo Cha Televisheni ya Azam inayomilikiwa na Bhakresa (muislamu) inayotangaza NBC Premium Legue italazimika kutangaza pombe ya Serengeti katika kila mchezo ndani ya ligi yetu.

Ikumbukwe kwa Imani ya Bakhresa makampuni yake ya media yamejitenga kisera kutangaza bidhaa kama pombe, sigara, michezo ya bahati nasibu na makatazo yote ya dini ya Kiislamu.

Swali je, Said Salim Bakhresa ameamua kukomunika yaishe alimradi "maokoto" yanaingia?
Kwa watu Wajinga kama wewe watajifanya wamekuelewa. Ebu nikuulize, kwenye Mkataba wa Simba na Serengeti Kuna mahali imesemwa Azam wataweka matangazo ya Serengeti Bia kwa niaba ya Simba?
 
Kwa watu Wajinga kama wewe watajifanya wamekuelewa. Ebu nikuulize, kwenye Mkataba wa Simba na Serengeti Kuna mahali imesemwa Azam wataweka matangazo ya Serengeti Bia kwa niaba ya Simba?
Hujui hata unesema na kuandika nini.
 
Kwamba waliofanikiwa wote hua wanafanya hivyo?
Mfano Lil Wayne, Diamond platnumz,Kofii Olomide, Ronaldo deLima,C Ronaldo,Mayele,Samata,Ridhiwani,Joti,Majizo, etc
 
Mtoa mada umeshindwa kuelewa kitu kimoja, AZAM MEDIA hausiki kwa namna yoyote yeye makubalino yake na mkataba wake na TFF ni kuonyesha mashindano ya NBC PREMIER LEAGUE ambayo SIMBA naye ni mshiriki. Mhusika wa makosa hayo ni viongozi wote wa SIMBA SC ambao wao ndio wenye mamlaka na ndio walioingia mkataba na club ikalipwa pesa, hata wachezaji hawana makosa maana wajibu wao ni kuitumikia club kwa mujibu wa mikataba yao.
Azam hajalipwa pesa ili atangaze pombe usipotoshe! Aliyelipwa pesa na TBL ili atangaze ni SIMBA SC.
Ningekubaliana na wewe endapo siku wadhamini wa kwenye luninga yake wakawa ni makampuni ya pombe au kamari maana haki ya wadhamini wa kipindi ipo chini yake.


Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada sijui umetumia Nini kuwaza huo ni mkataba wa Simba na Serengeti na sio Azam Bakhressa POMBE kwake haramu hata pale Zanzibar katika hotel yake Pombe hairuhusiwi kuuzwa.
Wewe ndiye hukuwaza vizuri. Hivi mpira wa Simba ungechezwa gizani isioneshwe Dunia ikaona jezi za Simba mathalan au soksi zao kuwa na nembo ya Serengeti unadhani angewekeza Kwa Simba? Sasa nani atatangaza bidhaa hiyo ili inyweke sana wapate mauzo? Mbona unachelewa kuelewa?
 
Mtoa mada umeshindwa kuelewa kitu kimoja, AZAM MEDIA hausiki kwa namna yoyote yeye makubalino yake na mkataba wake na TFF ni kuonyesha mashindano ya NBC PREMIER LEAGUE ambayo SIMBA naye ni mshiriki. Mhusika wa makosa hayo ni viongozi wote wa SIMBA SC ambao wao ndio wenye mamlaka na ndio walioingia mkataba na club ikalipwa pesa, hata wachezaji hawana makosa maana wajibu wao ni kuitumikia club kwa mujibu wa mikataba yao.
Azam hajalipwa pesa ili atangaze pombe usipotoshe! Aliyelipwa pesa na TBL ili atangaze ni SIMBA SC.
Ningekubaliana na wewe endapo siku wadhamini wa kwenye luninga yake wakawa ni makampuni ya pombe au kamari maana haki ya wadhamini wa kipindi ipo chini yake.


Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wapi nimesema Azam ameingia mkataba na Serengeti? Mbona lojiki Iko wazi mnoo? Ahh!
 
Hahahahaha , azam media haizuii time kuvaa jezi ya mdhamini awe pombe au kamari ,anachozuia yeye ni airtime ya matangazo yanayojitangaza kama bidhaa , wao hawarushi ads au tangazo lolote lile liwe ni pombe au kamari wala vipindi vyao havidhaminiwa na hizo kampuni ....ni suala la Airtime na sio kitu kingine
 
Mtoa mada umeshindwa kuelewa kitu kimoja, AZAM MEDIA hausiki kwa namna yoyote yeye makubalino yake na mkataba wake na TFF ni kuonyesha mashindano ya NBC PREMIER LEAGUE ambayo SIMBA naye ni mshiriki. Mhusika wa makosa hayo ni viongozi wote wa SIMBA SC ambao wao ndio wenye mamlaka na ndio walioingia mkataba na club ikalipwa pesa, hata wachezaji hawana makosa maana wajibu wao ni kuitumikia club kwa mujibu wa mikataba yao.
Azam hajalipwa pesa ili atangaze pombe usipotoshe! Aliyelipwa pesa na TBL ili atangaze ni SIMBA SC.
Ningekubaliana na wewe endapo siku wadhamini wa kwenye luninga yake wakawa ni makampuni ya pombe au kamari maana haki ya wadhamini wa kipindi ipo chini yake.


Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sawa sawa
 
KWA mujibu wa taarifa ya CEO wa Club ya Simba SC Imani Kajula Leo 02/11/2023 kwa vyombo vya habari, Club hiyo imeingia mkataba wa kibiashara na kampuni ya SBL watengenezaji wa pombe aina ya Serengeti! Ni mkataba wa sh 1.5 Bilioni Kwa miaka 3 ambapo itatoa fedha Kwa Simba kiasi cha shilingi 500 milioni kila mwaka.

Katika mkataba huo Kituo Cha Televisheni ya Azam inayomilikiwa na Bhakresa (muislamu) inayotangaza NBC Premium Legue italazimika kutangaza pombe ya Serengeti katika kila mchezo ndani ya ligi yetu.

Ikumbukwe kwa Imani ya Bakhresa makampuni yake ya media yamejitenga kisera kutangaza bidhaa kama pombe, sigara, michezo ya bahati nasibu na makatazo yote ya dini ya Kiislamu.

Swali je, Said Salim Bakhresa ameamua kukomunika yaishe alimradi "maokoto" yanaingia?
Mbet,sport Pesa hizi ni kamali na ni haramu kwa Waislamu, Lakini kumbuka Azam TV and Azam group of companies siyo ISLAMIC institutions,wanafanya biashara, NBC hutoza riba,riba ni haramu kwa Waislamu,je Azam fc hawapokei ile pesa? Acheni Akili mgando,pale siyo msikitini [emoji1241][emoji1241] Nchi yangu ambayo watu wakisema nmuachia MUNGU ujue anaenda kukuroga [emoji24]
 
Azam TV ni wanafiki tu mbona wanapoonyesha mpira uwanjani Kuna kuwa na mabango ya Mbet, sportpesa, meridian na wengine na Bado mechi za wanawake Simba na Yanga anaonyesha huku kukiwa na matangazo ya Serengeti lite, uislamu ni Imani ya kinafiki Sana, unakataa kula nguruwe lakini unalawiti watoto, unasengenya na kusema uongo, wauzaji wa madawa ya kulevya wengi nchi hii ni makobazi
 
Back
Top Bottom