Twitter imekuwa ya ovyo sana siku hizi

Twitter imekuwa ya ovyo sana siku hizi

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
Screenshot_20230412-214204.jpg

Serikali imefungia kurasa za mitandao ya Fabebook 361, Instagram 198, Twitter 12 na vikoa 2,456 ambazo zilikuwa zinajihusisha na matangazo ya ukiukwaji wa maadili ikiwemo mapenzi ya jinsia moja.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatatu Aprili 17, 2023 na Waziri wa Habari Nape Nauye wakati akitoa nyongeza ya majibu ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest ambaye amehoji mkakati upi wa Serikali kuhusu watu wanaohamasisha uvunjifu huo wa maadili.

Nape amesema serikali ilishadhibiti vitendo hivyo ikiwemo kuzuia matangazo kwenye vyombo vya habari lakini akasema kumekuwa na changamoto kwenye mitandao ya kijamii ambako nako wameanza kudhibiti.

Baada ya kuiona taarifa hiyo, kuna kitu nimekumbuka.

Zamani ilionekana Mtandao wa TWITTER ni wa watu wa hadhi fulani hivi kulinganisha na FACEBOOK.

Lakini siku hizi, TWITTER imevamiwa na wahuni wanaoutumia mtandao huo kuhamasisha ngono.

Kumekuwa na utaratibu siku hizi ikifika usiku utakutana na posti yenye kichwa kinachosema "Haya watoto wameshalala threads" halafu inasindikizwa na picha chafu.

Ukiangalia hizo reply, ni balaa zito. Utakuta video za ngono, picha za uchi, yani tafrani.
 
View attachment 2591256
Serikali imefungia kurasa za mitandao ya Fabebook 361, Instagram 198, Twitter 12 na vikoa 2,456 ambazo zilikuwa zinajihusisha na matangazo ya ukiukwaji wa maadili ikiwemo mapenzi ya jinsia moja.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatatu Aprili 17, 2023 na Waziri wa Habari Nape Nauye wakati akitoa nyongeza ya majibu ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest ambaye amehoji mkakati upi wa Serikali kuhusu watu wanaohamasisha uvunjifu huo wa maadili.

Nape amesema serikali ilishadhibiti vitendo hivyo ikiwemo kuzuia matangazo kwenye vyombo vya habari lakini akasema kumekuwa na changamoto kwenye mitandao ya kijamii ambako nako wameanza kudhibiti.

Baada ya kuiona taarifa hiyo, kuna kitu nimekumbuka.

Zamani ilionekana Mtandao wa TWITTER ni wa watu wa hadhi fulani hivi kulinganisha na FACEBOOK.

Lakini siku hizi, TWITTER imevamiwa na wahuni wanaoutumia mtandao huo kuhamasisha ngono.

Kumekuwa na utaratibu siku hizi ikifika usiku utakutana na posti yenye kichwa kinachosema "Haya watoto wameshalala threads" halafu inasindikizwa na picha chafu.

Ukiangalia hizo reply, ni balaa zito. Utakuta video za ngono, picha za uchi, yani tafrani.

Jinsi wewe ulivyo na haki ya kuweka busara zako na yeye ndo ana haki ya kuweka mambo yake ya hovyo.
 
Kumekuwa na utaratibu siku hizi ikifika usiku utakutana na posti yenye kichwa kinachosema "Haya watoto wameshalala threads" halafu inasindikizwa na picha chafu.

Ukiangalia hizo reply, ni balaa zito. Utakuta video za ngono, picha za uchi, yani tafrani.
Mleta mada kwann unataka kufanya maisha kuwa magumu sana?

Kwani umelazimishwa kufuatilia replies za thread kama hiyo huko Twitter??

Umelazimishwa kuwafollow watu kama hao?

Utakuwa unapenda kufuatilia hayo mambo ndiyo maana unasoma replies zote.

Waache wenye kupenda wapate burudani ndani ya mitima yao bhana.
 
Mleta mada kwann unataka kufanya maisha kuwa magumu sana?

Kwani umelazimishwa kufuatilia replies za thread kama hiyo huko Twitter??

Umelazimishwa kuwafollow watu kama hao?

Utakuwa unapenda kufuatilia hayo mambo ndiyo maana unasoma replies zote.

Waache wenye kupenda wapate burudani ndani ya mitima yao bhana.
Utamkuta mwanao siku moja kamfolow huyu jamaa ndo utashangaa ..

Mtoa anafichua uovu ..
 
Tatizo la twitter ni hili watu wa kule wengi wanajiona wapo juu sana na wengi washamba wananikera kwanza kudiss watu bila ya sababu ...Matusi nje nje yaani mtu mzima anatukana


Mda mwingine unaweza kusoma comment ukakuta mtu kapost porn wala haihusiani na mada ili mradi na maparody wa kike ndo kibao.

porno kupostiwa ni kitu cha kawaida sana na watu kupenda kuvimbiana hao feminists ndo wapo kibao.
 
Algorithm ya twitter au social media nyingi zinaangalia wale unao interact nao,
1. Watu uliowafollow, hii iko obvious

2. Link unazo click, kwa mfano, ukiletewa notification kutoka kwa mtu wa hovyo uki click, wao wana assume umekua interested, not too long utakua recommended na content inayofanana na hiyo au mtu huyo.

Mimi naweza ku scroll twitter siku nzima nisikutane na content ya Kiswahili.
 
Back
Top Bottom