Twitter imekuwa ya ovyo sana siku hizi

Twitter imekuwa ya ovyo sana siku hizi

Setting ipo, ila unaonekana umeitoa hutaki kupata shida, ikija sensitive content uone faster.

Pili hayo ndiyo unayoyapenda ndiyo uliyoya follow au watu uliowa follow wame retweet.

Jilaumu mwenyewe
 
Mkuu natumia Twitter na ninajua kuna porn pages nyingi toka hata elon hajainunua, Ila hazijawahi kuniletea hizo vitu kwenye kurasa yangu.
Hivyo, ukiona hivyo vitu ujue alogarithm ya Twitter imesoma kuwa kuna vitu unapenda kuangalia mara nyingi na yenyewe inakuletea baadhi ya page kama suggestion

Ingekuwa google tungesema labda ni tangazo Ila kwa tweeter, hapana mkuu
 
Back
Top Bottom