Twitter imekuwa ya ovyo sana siku hizi

Twitter imekuwa ya ovyo sana siku hizi

Twita niliisha malizana nayo
Mtu had unaogopa kufungua app ukiwa kwenye daladala
 
Malezi ndio tatizo...page za ngono kufungia huwezi...
Mwanaume hatakiwi kufanya Birthday party..serikali ifungie hizi party
 
Mbona wenzetu huko majuu ilipotokea twitter hayo mambo wanayafanya tangu zamani hadi video za porno wamekuwa wakiweka labda kama wewe ni mgeni twitter na bado inaheshimika

Ila akiwa mbongo anapost hizo mambo utasikia huu mtandao umekuwa wa ovyo siku hizi acheni kukuza mambo
 
Mambo ya twiraaa!!watu wamechoka miili na roho...ni mwendo wa kubustiwa tu,panda tukupandishe
 

Nape amewathibiti. Naona wamepotea kwa muda. Labda watarudi baadaye.
 
View attachment 2591256
Serikali imefungia kurasa za mitandao ya Fabebook 361, Instagram 198, Twitter 12 na vikoa 2,456 ambazo zilikuwa zinajihusisha na matangazo ya ukiukwaji wa maadili ikiwemo mapenzi ya jinsia moja.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatatu Aprili 17, 2023 na Waziri wa Habari Nape Nauye wakati akitoa nyongeza ya majibu ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest ambaye amehoji mkakati upi wa Serikali kuhusu watu wanaohamasisha uvunjifu huo wa maadili.

Nape amesema serikali ilishadhibiti vitendo hivyo ikiwemo kuzuia matangazo kwenye vyombo vya habari lakini akasema kumekuwa na changamoto kwenye mitandao ya kijamii ambako nako wameanza kudhibiti.

Baada ya kuiona taarifa hiyo, kuna kitu nimekumbuka.

Zamani ilionekana Mtandao wa TWITTER ni wa watu wa hadhi fulani hivi kulinganisha na FACEBOOK.

Lakini siku hizi, TWITTER imevamiwa na wahuni wanaoutumia mtandao huo kuhamasisha ngono.

Kumekuwa na utaratibu siku hizi ikifika usiku utakutana na posti yenye kichwa kinachosema "Haya watoto wameshalala threads" halafu inasindikizwa na picha chafu.

Ukiangalia hizo reply, ni balaa zito. Utakuta video za ngono, picha za uchi, yani tafrani.
Sipo Twitter, Instagram, Telegram, Facebook, Badoo, TikTok na social media nyingi tu ila nipo LinkedIn, Goal.Com, WhatsApp, Google, YouTube, Jamii Forum na sijapungukiwa chochote.

Hii dunia unapaswa ujiwekee mipaka kwa kila jambo si kupelekwa pelekwa tu kwa kufata mikumbo kama bendera.
 
wanasingizia kutokuwa na kazi ndio wana justify kufanya upuuzi mtandaoni, kimsingi kuna baadhi ya platforms zimekuwa za wauza papuchi tu
 
Tangu huyu Elon Musk anunue mtandao maarufu wa Twitter na kuubadili jina kuwa X, mtandao huu umekuwa wa hovyo balaa na umechukua uhalisia wa herufi hii inavyotumika mtaani. Kwa kuweka mambo sawa ni kuwa mtandao huu umekuwa PORN SITE. Huhitaji kuwasha VPN kuona uchafu uliopo hapo.

Leo nimefedheheka baada ya kufungua X nikiwa kwenye bench na watu tunaoheshimana sana. Mara ikaja picha ya mwanamke mzungu akiwa uchi wa mnyama. Nilijisikia fedheha sana maana huenda wamedhani ndio zangu kuangalia ujinga kama huu kumbe ni mtandao huu wa kijinga usiochagua cha kuonesha na cha kuficha.

Kwa nini hawa hawana setting ya kufilter mapicha ya hovyo kama haya?
Inakera sana!!
 
M naona ni jinsi unavyoperuzi ndio unaletewa hivyo vitu,
Mbna mm sijawah viona ?
 
Tangu huyu Elon Musk anunue mtandao maarufu wa Twitter na kuubadili jina kuwa X, mtandao huu umekuwa wa hovyo balaa na umechukua uhalisia wa herufi hii inavyotumika mtaani. Kwa kuweka mambo sawa ni kuwa mtandao huu umekuwa PORN SITE. Huhitaji kuwasha VPN kuona uchafu uliopo hapo.

Leo nimefedheheka baada ya kufungua X nikiwa kwenye bench na watu tunaoheshimana sana. Mara ikaja picha ya mwanamke mzungu akiwa uchi wa mnyama. Nilijisikia fedheha sana maana huenda wamedhani ndio zangu kuangalia ujinga kama huu kumbe ni mtandao huu wa kijinga usiochagua cha kuonesha na cha kuficha.

Kwa nini hawa hawana setting ya kufilter mapicha ya hovyo kama haya?
Inakera sana!!
Pole mkuu 😀
 
Back
Top Bottom