Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
So, Ndg Mwiba1 kaletewa akipendacho mitandaoni?
 
Ni kweli, ila unaweza kiset, kuona post za watu ulio wafollow tu.. hutoweza kuona mambo mengine,

Labda kama umewafollow, kina "shetani, miss connection, cyntcute.. mboga saba, wali nyama, na wengineo.."" hizo video utaziona tu
You are a fan too.
 
Hii ni kweli, lakini Twitter imepunguza sana moderation, hususan baada ya Elon Musk kuinunua. Kafukuza kazi watu wengi sana, wakiamo content moderators wengi, halafu ana falsafa za uhuru sana, free speech inayoruhusu mambo mengi ambayo wengine wangeona yachujwe.

Kwa hiyo inawezekana wote wawili, wewe na mtoa maada, mkawa mnasema kweli.

There is no contradiction.

1. Kwenye Twitter unapelekwa kwenye vitu unavyoangalia, kwa algorithm.

2. Moderation ya Twitter imepungua sanana kuongeza vitu kama porn, kwa sababu watu wengi waliokuwa wanafanya moderation wamefukuzwa kazi na Elon Musk, na Elon Musk ni muumini wa free speech, kwa hivyo, porn kuongezeka inafanya hata wale ambao hawakufuatilia wanaona na algorithm inawapeleka huko zaidi.

3.You and the original poster have no contradiction, the two things you are stating are not mutually exclusive.

Mimi hata sikai sana Twitter, lakini network ya Watanzania inanionesha tweets za "watoto wameshalala saa hizi" na ujinga mwingine kama huo.
Umejielezea sana kwa kurudia mambo yale yale ambayo ungeweza kuyaelezea kwa aya moja tu.
 
Mtu yeyote anayeanza kwa lugha dismissive ya "acha uongo" bila ya kujiridhisha kwamba mimi ni muongo namuona hana intellectual matureness ya kufanya majadiliano nami.

Hilo neno la uongo ni zito sana kulitoa kirahisi hivyo kwa mtu yeyote asiye simpleton, you sound like a simpleton.

Unafanya logical non sequitur kufanya conclusion kwamba mimi kusema kwamba porn imeongezeka baada ya Elon Musk kununua Twitter kwa sababu ana falsafa za uhuru wa kujieleza zaidi na kapunguza moderators maana yake ni kwamba hakukuwa na porn kabla ya Elon Musk kununua Twitter, that is a logical non sequitur.

Unaelewa hilo?

Inawezekana wewe unayeitafuta porn mwenyewe umeiona tangu 2019, lakini wengine wasioitafuta porn wameanza kuiona porn 2022 kwa sababu ya moderaton kupungua, Elon Musk kuwa na falsafa ya uhuru zaidi na hata mpango wa ku monetize porn on Twitter na new features kama statuses.

Unajuaje mimi ni muongo na si kwamba sijapata habari muhimu tu kama za timeline?

Ni uongo kwamba Elon Musk kapunguza content moderators?

Ni uongo kwamba Elon Musk ana falsafa za kuruhusu watu kujinafasi sana kwa uhuru, kitu ambacho si ajabu kinaongeza porn?

Hawa watu wa Vice wameandika article ya new features za hivi karibuni zinavyoongeza porn, na wao ni waongo?

Punguza kujielezea sana.
 
Back
Top Bottom