Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Binafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.

Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?

Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.

Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionaje hili?
ipo siku utahama dunia, maana mambo ya ngono yapo kila mahali live kabisa
 
kweli kabisa tweeter imeisha uzuri wake hii ni sababu wasimamizi wa tweeter hawapo makini wanafunzi wa shule ndio wengi humu tweeter unaweza kuuliza kitu upate ufafanuzi watakutukana watakukejeli au wataleta issue nyingine tofauti na ulivyouliza ili waharibu tu maono yako
 
Mtu yeyote anayeanza kwa lugha dismissive ya "acha uongo" bila ya kujiridhisha kwamba mimi ni muongo namuona hana intellectual matureness ya kufanya majadiliano nami.

Hilo neno la uongo ni zito sana kulitoa kirahisi hivyo kwa mtu yeyote asiye simpleton, you sound like a simpleton.

Unafanya logical non sequitur kufanya conclusion kwamba mimi kusema kwamba porn imeongezeka baada ya Elon Musk kununua Twitter kwa sababu ana falsafa za uhuru wa kujieleza zaidi na kapunguza moderators maana yake ni kwamba hakukuwa na porn kabla ya Elon Musk kununua Twitter, that is a logical non sequitur.

Unaelewa hilo?

Inawezekana wewe unayeitafuta porn mwenyewe umeiona tangu 2019, lakini wengine wasioitafuta porn wameanza kuiona porn 2022 kwa sababu ya moderaton kupungua, Elon Musk kuwa na falsafa ya uhuru zaidi na hata mpango wa ku monetize porn on Twitter na new features kama statuses.

Unajuaje mimi ni muongo na si kwamba sijapata habari muhimu tu kama za timeline?

Ni uongo kwamba Elon Musk kapunguza content moderators?

Ni uongo kwamba Elon Musk ana falsafa za kuruhusu watu kujinafasi sana kwa uhuru, kitu ambacho si ajabu kinaongeza porn?

Hawa watu wa Vice wameandika article ya new features za hivi karibuni zinavyoongeza porn, na wao ni waongo?

Porn twitter zipo kitambo tu ila kuna features za kuhide sensintive na adult content unahisi upend izo mambo nenda kwenye privance setting zuia.

Twitter ni mtandao wa kikubwa sana wa watu wanaojielewa na Porn ni content za wakubwa wenye umri wa miaka 18+.

hawa watoto wa Facebook walioingia mule ndo wanapiga kelele
 
Porn twitter zipo kitambo tu ila kuna features za kuhide sensintive na adult content unahisi upend izo mambo nenda kwenye privance setting zuia.

Twitter ni mtandao wa kikubwa sana wa watu wanaojielewa na Porn ni content za wakubwa wenye umri wa miaka 18+.

hawa watoto wa Facebook walioingia mule ndo wanapiga kelele
You are arguing off point. Even after being told that this is off point.

I suspect you have a reading comprehension issue.
 
Kuna yule mdada anajiita Cyntacute na nyuzi zake watoto wameshalala thread amepewa mpaka blue tick kwa thread zake zile
 
Back
Top Bottom