DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 561
- 900
Yes hili la kwenye comments saivi ndokero nimetoka kunywa chai twitter nimekuja huku jamii forum kuota juaUkiachana na hii hoja ya mtoa mada, Kuna ile unasoma comments unakuta raia zimepost ngono humo kwenye comments, mara wanatangazA malaya, wanauza papa and etc. Hii inakera ofcoz nahis Twitter wangeweka hizi limitations ingesaidia sana.
Wengine tumeacha kuchek pono kwa nguvu yani Kublock adult sites, kufuta telegram, Instagram, WhatsApp groups, and other sources tukabaki na twitter, naona mda wa ku uninstall Twitter umefika pia
Nikiwa nasoma tweet ya mchambuzi mmoja nakutana na video kwenye comments. Siyo siri iliniyumbisha imani