Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Ukiachana na hii hoja ya mtoa mada, Kuna ile unasoma comments unakuta raia zimepost ngono humo kwenye comments, mara wanatangazA malaya, wanauza papa and etc. Hii inakera ofcoz nahis Twitter wangeweka hizi limitations ingesaidia sana.
Wengine tumeacha kuchek pono kwa nguvu yani Kublock adult sites, kufuta telegram, Instagram, WhatsApp groups, and other sources tukabaki na twitter, naona mda wa ku uninstall Twitter umefika pia
Yes hili la kwenye comments saivi ndokero nimetoka kunywa chai twitter nimekuja huku jamii forum kuota jua

Nikiwa nasoma tweet ya mchambuzi mmoja nakutana na video kwenye comments. Siyo siri iliniyumbisha imani
 
Hata hapa JF sisi watumiaji ndio tunatengeza contents, mbona hatuoni video za ngono ukilinganisha na twitter?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Jf wangewaacha watu kuwa huru zaidi ya hapa ungekutana na ngono+++, humu moderation ya content inazingatiwa ndio maana unakuta haya mambo hayapo sana.

Hata huko fb ngono ipo, ni wewe tu kuchagua nini unataka kuona, ukilike, ukifollow pages za ngono unaletewa suggestions kibao za ngono. Chagua kile unatamani kuona/kusoma.
 
Binafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.

Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?

Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.

Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionaje hili?
Hata kama haujafollow page za kijinga ila circle yako ndio imefollow hizo handle kwaiyo wewe ndio una watu wajinga mtandao hauna shida
 
Muda wa mm kufuatilia wao na waliowafollow sina na ni kukosa kazi za kuafanya na ni ujinga
Sasa wewe kwenye circle yako kuna mtu kamfollow watoto wamelala thread au utopolo unategemea usione maudhui ya porn? Chakufanya uwe una mute, block au kuunfollow wote wanaokua kwenye maudhui usiyoyapenda mfano Mimi nikikuta handle yoyote yenye viashiria vya CCM nafanya ivyo
 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Ni kweli unachosema ila kuna muda suggestions zao zinakera unakuta nikifungua page yangu wananiletea post za wanasiasa kama Zitto Kabwe na mimi sipenfi ila basi tu.
 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Labda sio mtuamiaji wa TL wewe hata Kama hujawai fuatilia ujinga ila "WATOTO WAMELALA THREAD" lazima ije kwenye Timeline yako unajifanya wewe ndio unajua Sana alogarithim
 
Yupo sahihi ukiwa unangalia mpira zinakuja za mpira tu ukiwa mtu wa kuchek matako yanakuja matako
Alogarithim hakuna asiyeijua ila kwa Twitter hata uwe ume follow makanisa tu unawafuatilia mapadri, biblia tu muda wote "WATOTO WAMELALA THREAD" na "HUYU KAFÀNYA NINI MBONA ANA TREND" lazima huzione kwenye timeline yako.
 
Alogarithim hakuna asiyeijua ila kwa Twitter hata uwe ume follow makanisa tu unawafuatilia mapadri, biblia tu muda wote "WATOTO WAMELALA THREAD" na "HUYU KAFÀNYA NINI MBONA ANA TREND" lazima huzione kwenye timeline yako.
Hao jamaa wameamua kubisha tu, hizi contents zinatokea tu haijalishi umewahi kuzifungua au la.
 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Absolutely true!!
It is all about Caches and cookies
 
Back
Top Bottom