Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cyancute ndio kiboko yaoHahaha mara pale SUKUNUKU
Mm naona haunitak nami nimeachana nao tu sasahiv kwakweliDah mtandao mtamu sana huu ukianza utanogewa
Kaka bora umenisaidia maana kuleta hoja hii nimeonekana kana kwamba mm nI mfuatiliaji wa minyanduano videoz..bro juzijuzi nascrow comments kwenye page ya sports nakutana na mzigo unaliwa tako nusu nitapikeUkiachana na hii hoja ya mtoa mada, Kuna ile unasoma comments unakuta raia zimepost ngono humo kwenye comments, mara wanatangazA malaya, wanauza papa and etc. Hii inakera ofcoz nahis Twitter wangeweka hizi limitations ingesaidia sana.
Wengine tumeacha kuchek pono kwa nguvu yani Kublock adult sites, kufuta telegram, Instagram, WhatsApp groups, and other sources tukabaki na twitter, naona mda wa ku uninstall Twitter umefika pia
Twitter ni platform, twitter hawana contents, but the people who uses Twitter, malengo ya Twitter ni kuweka platform ya watu kuzungumza kwa uhuru, hwawajibiki nini watu wanataka kuzungumza
Si unanajua akili ya mmiliki wa huo mtandao ilivyo, bila shaka Elon anajali mapato zaidi na si vinginevyo.Sawa boss lakini twitter imezidi kiufupi haina restriction yyte kwenye content..mfano instagram huwezi post porn video.
Unaset vipi mzee maana kuna tweets for you na following. Hizi tweets for you hazichagui maudhui bob kina cynacute watakuja tu hatakama hujawafollow as long as wanatrendNi kweli, ila unaweza kiset, kuona post za watu ulio wafollow tu.. hutoweza kuona mambo mengine,
Labda kama umewafollow, kina "shetani, miss connection, cyntcute.. mboga saba, wali nyama, na wengineo.."" hizo video utaziona tu
Sio mdau japo nilipoenda niufahamu lakini nimejaribu mara nying nimeshindwaSema ndio ivyo ushajaa machafuko mamii..achana nao tu labda kama ni mdau
Umeongea point sana mkuu..binafsi siangalii porno nina miaka kama 4 hivi. Lkn maudhui hayo bado yanajirudiarudiaHii ni kweli, lakini Twitter imepunguza sana moderation, hususan baada ya Elon Musk kuinunua. Kafukuza kazi watu wengi sana, wakiamo content moderators wengi, halafu ana falsafa za uhuru sana, free speech inayoruhusu mambo mengi ambayo wengine wangeona yachujwe.
Kwa hiyo inawezekana wote wawili, wewe na mtoa maada, mkawa mnasema kweli.
There is no contradiction.
1. Kwenye Twitter unapelekwa kwenye vitu unavyoangalia, kwa algorithm.
2. Moderation ya Twitter imepungua sanana kuongeza vitu kama porn, kwa sababu watu wengi waliokuwa wanafanya moderation wamefukuzwa kazi na Elon Musk, na Elon Musk ni muumini wa free speech, kwa hivyo, porn kuongezeka inafanya hata wale ambao hawakufuatilia wanaona na algorithm inawapeleka huko zaidi.
3.You and the original poster have no contradiction, the two things you are stating are not mutually exclusive.
Mimi hata sikai sana Twitter, lakini network ya Watanzania inanionesha tweets za "watoto wameshalala saa hizi" na ujinga mwingine kama huo.
Tufanyeje sasa kukabiliana na hali hiyo?Kweli kabisa no restrictions kabisa na data ni very cheap in two years Twitter itazi beat facebook na insta ila kwa uchafu uliomo sasa ni balaa