Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,301
- 1,738
Humu utakula umeme mapema ila kule ni la manyaniHata hapa JF sisi watumiaji ndio tunatengeza contents, mbona hatuoni video za ngono ukilinganisha na twitter?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu utakula umeme mapema ila kule ni la manyaniHata hapa JF sisi watumiaji ndio tunatengeza contents, mbona hatuoni video za ngono ukilinganisha na twitter?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauku follow sehemu zenye madini husika na kichwa chako au mahitaji yako bali uliichukulia Twitter kama fb kwamba utakuta vitu nje njeNlitumia kwa miezi mitatu tu! Yaan kule sioni la maana
Kuna yule kahaba huwa ana comment almost post zote na comment yake "nataka mb** Kubwa..." dah wanaudhi sana yaani!Kuna ile unasoma comments unakuta raia zimepost ngono humo kwenye comments,
No haipo hivyoPage za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Nutawatafuta hawa.Ni kweli, ila unaweza kiset, kuona post za watu ulio wafollow tu.. hutoweza kuona mambo mengine,
Labda kama umewafollow, kina "shetani, miss connection, cyntcute.. mboga saba, wali nyama, na wengineo.."" hizo video utaziona tu
"inama nipachike Rungu"
By harmonize
Ulio wa follow ndo wadau wa porn. Sie wengine Hatuoni hizo pagesBinafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.
Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?
Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.
Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionaje hili?
Hata hapa JF sisi watumiaji ndio tunatengeza contents, mbona hatuoni video za ngono ukilinganisha na twitter?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia jamii forum, Instagram na Facebook basHauku follow sehemu zenye madini husika na kichwa chako au mahitaji yako bali uliichukulia Twitter kama fb kwamba utakuta vitu nje nje
nimecheka kichizi, umepiga panapoumaPage za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Hata ungetumia mojawapo ya hizo tajwa ni wewe tu, ila Twitter ujinga upo na madini yapoNatumia jamii forum, Instagram na Facebook bas
Huoni la maana Twitter?? Really??Nlitumia kwa miezi mitatu tu! Yaan kule sioni la maana
Sasa kama hupendi kuona posts zake si kuna option ya kumpiga tofali?? Niambie mtandao mwingine wenye option kama hiyo...Kuna yule kahaba huwa ana comment almost post zote na comment yake "nataka mb** Kubwa..." dah wanaudhi sana yaani!
Mara nyingi watu wanaoendesha kampeni dhidi ya jambo fulani ndio hulipa umaarufu jambo hilo hasa oale ambapo hawana uwezo wa kulizuia/kulibadilisha.Hayo mambo ya akili ulikuwa hutushirikishi, ila haya ya porn ndio umeona yanafaa kutushirikisha?
Sawa boss lakini twitter imezidi kiufupi haina restriction yyte kwenye content..mfano instagram huwezi post porn video.Hata muziki wa Tanzania ulikuwa na heshima waimbaji waliimba nyimbo zenye mafundisho mengi sana enzi zile za kina marijan Rajab, Bichuka, Ngurumo na wengi wengineo.
Leo sasa mweeeh nyimbo zinahusu kunyanduana tu 😂, mara ooooh kalowa, hujakaa sawa mdundiko unakuja na ifinyie ndani 😂😂
Ngono haipo Twitter tu bwashee ipo kila mtandao, kama huamini basi fatilia uzi wa kula tunda kimasihara bila shaka utaacha kulalamika hapa.
Sio kweli kaka mm ni mdau wa mpira sana lakn porno tena za uchafu lazima zitanitembelea tu na daily na block ujinga kama huo lkn hazikomiYupo sahihi ukiwa unangalia mpira zinakuja za mpira tu ukiwa mtu wa kuchek matako yanakuja matako