Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Hata muziki wa Tanzania ulikuwa na heshima waimbaji waliimba nyimbo zenye mafundisho mengi sana enzi zile za kina marijan Rajab, Bichuka, Ngurumo na wengi wengineo.

Leo sasa mweeeh nyimbo zinahusu kunyanduana tu [emoji23], mara ooooh kalowa, hujakaa sawa mdundiko unakuja na ifinyie ndani [emoji23][emoji23]

Ngono haipo Twitter tu bwashee ipo kila mtandao, kama huamini basi fatilia uzi wa kula tunda kimasihara bila shaka utaacha kulalamika hapa.

User name tu mi hoi but [emoji122][emoji122]
 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Exactly mkuu.
 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Ni kweli kabsaa na pia ukifuatilia accounts flani, unaletewa suggestion za accounts zenye maudhui sawa na hayo

Lakini kingine Twitter inabidi kuwa makini na accounts unazozifollow maana mtu anacholike, comment au retweet lazma zionekane kwako directly tofauti na insta au facebook. Kwa hiyo solution kubwa ni kuhakikisha huwafollow watu wanaopendelea maudhui flani

Ukiona mtu kakufolliw, ifungue hiyo account, ukiona inapenda maudhui usioyapenda, don't follow back 🙏🏽
 
Hii ni kweli, lakini Twitter imepunguza sana moderation, hususan baada ya Elon Musk kuinunua. Kafukuza kazi watu wengi sana, wakiamo content moderators wengi, halafu ana falsafa za uhuru sana, free speech inayoruhusu mambo mengi ambayo wengine wangeona yachujwe.

Kwa hiyo inawezekana wote wawili, wewe na mtoa maada, mkawa mnasema kweli.

There is no contradiction.

1. Kwenye Twitter unapelekwa kwenye vitu unavyoangalia, kwa algorithm.

2. Moderation ya Twitter imepungua sanana kuongeza vitu kama porn, kwa sababu watu wengi waliokuwa wanafanya moderation wamefukuzwa kazi na Elon Musk, na Elon Musk ni muumini wa free speech, kwa hivyo, porn kuongezeka inafanya hata wale ambao hawakufuatilia wanaona na algorithm inawapeleka huko zaidi.

3.You and the original poster have no contradiction, the two things you are stating are not mutually exclusive.

Mimi hata sikai sana Twitter, lakini network ya Watanzania inanionesha tweets za "watoto wameshalala saa hizi" na ujinga mwingine kama huo.
Acha Uongo ellon kaichukua twitter mwaka jana 2022 ila mm porno twitter tangia 2019 nachekia uko porno. Ellon hausiki ata na kuruhusu ilo bhana ni kwmaba saiv ndo wabongo mnashtukia izo porno twitter ila zilikuepo kitambo
 
Shida yangu sio mdau nashangaa kuona mtu analazimisha mtandao uwe kama anavyotaka yeye kama vipi atengeneze wake na kama yeye ni mlokole aende kwenye mitandao ya mahubiri
Yes kama ameona twitter haimfai aondoke aache malalamiko uchuro. The twiiter hawawez kuletea post za watu ambao hujawafollow. Kampan yako unayoifollow ndo iradetermine uletewe nini kwenye homepage yako
 
Yes kama ameona twitter haimfai aondoke aache malalamiko uchuro. The twiiter hawawez kuletea post za watu ambao hujawafollow. Kampan yako unayoifollow ndo iradetermine uletewe nini kwenye homepage yako
Kama haimfai yeye angeondoka tu hiyo ndo busara.
 
Acha Uongo ellon kaichukua twitter mwaka jana 2022 ila mm porno twitter tangia 2019 nachekia uko porno. Ellon hausiki ata na kuruhusu ilo bhana ni kwmaba saiv ndo wabongo mnashtukia izo porno twitter ila zilikuepo kitambo
Mtu yeyote anayeanza kwa lugha dismissive ya "acha uongo" bila ya kujiridhisha kwamba mimi ni muongo namuona hana intellectual matureness ya kufanya majadiliano nami.

Hilo neno la uongo ni zito sana kulitoa kirahisi hivyo kwa mtu yeyote asiye simpleton, you sound like a simpleton.

Unafanya logical non sequitur kufanya conclusion kwamba mimi kusema kwamba porn imeongezeka baada ya Elon Musk kununua Twitter kwa sababu ana falsafa za uhuru wa kujieleza zaidi na kapunguza moderators maana yake ni kwamba hakukuwa na porn kabla ya Elon Musk kununua Twitter, that is a logical non sequitur.

Unaelewa hilo?

Inawezekana wewe unayeitafuta porn mwenyewe umeiona tangu 2019, lakini wengine wasioitafuta porn wameanza kuiona porn 2022 kwa sababu ya moderaton kupungua, Elon Musk kuwa na falsafa ya uhuru zaidi na hata mpango wa ku monetize porn on Twitter na new features kama statuses.

Unajuaje mimi ni muongo na si kwamba sijapata habari muhimu tu kama za timeline?

Ni uongo kwamba Elon Musk kapunguza content moderators?

Ni uongo kwamba Elon Musk ana falsafa za kuruhusu watu kujinafasi sana kwa uhuru, kitu ambacho si ajabu kinaongeza porn?

Hawa watu wa Vice wameandika article ya new features za hivi karibuni zinavyoongeza porn, na wao ni waongo?

 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Nikweli ila kuna hii sasa ivi unakutana na video kwenye comment
 
Back
Top Bottom