Kama watu waliingia mtandao wa NEC kwahiyo ndiyo wapigwe tu na wauwae huko zanzinzibarKaka watu huwa wanahack system za NEC kipindi hiki cha uchaguzi. 2015 watu waliingilia mtandao wa NEC kwahiyo kujihadhari ni vizuri
Sasa kwanini wewe unatumia wkt unajua its for good?Hii mitandao lazima idhibitiwe , nyie mnalalamika sababu mnataka kuitumia kuleta taharuki nchini, serikali ya tanzania ina wajibu wa kulinda watu na mali na kuzuia viashiria vyote vile vya uvunjivu wa amani.
lolote likitokea hapa amani ikatoweka, hakuna, biashara wa sheria za kimataifa, kila kitu kitasimama, hacheni ushabiki wa mitandaoni watakaoumia ni ndugu zetu.
Kwa tahalifa yako kuzima internet ,ndo inakua shida Zaid ,hasa kipindi hiki ambacho dunia ipo Kasi,Uchaguzi ni tukio mhimu Sana katika kulinda au kuvuruga amani ya nchi
Hivyo Basi ni jukumu la serikali kuhakikisha Taifa linakuwa salama wakati huu wa uchaguzi. Na kwa Dunia Hii ya leo Internet ndio sehemu ya kuangalia zaidi kuliko hata huku kwenye maisha ya kawaida.
Inasikitisha sana unapodai au wanapodai wana uhakika wa ushindi mkubwa halafu waenda funga mtandao uliotumia kukutangaza, ni woga, ubabe, wizi wa kura, au???!!!
Naona jf safari hii wamejitahidi kweli, 2010 na 2015 walishambuliwa wakahamnulika kweli.JF yenyewe ipo down kasoro baadhi ya sehemu huku Zanzibar.
We hapa umeandika kupitia mtandao upi, alafu kwa Nini mnapenda Sana kujikuta ,eti kuvuruga amani, we unafikili bila mitandao ya kijamii kutokuepo, ila pakawapo manyanya wadhani amani itakuepo? Haya Sasa mmezima ila watu wanakuja na mbadala, Mara wire,mengine ambayo mpaka uje kuyazibiti tiyari inakua too rate,kuliko uliyozoea Kama WhatsApp ,Hii mitandao lazima idhibitiwe , nyie mnalalamika sababu mnataka kuitumia kuleta taharuki nchini, serikali ya tanzania ina wajibu wa kulinda watu na mali na kuzuia viashiria vyote vile vya uvunjivu wa amani.
lolote likitokea hapa amani ikatoweka, hakuna, biashara wa sheria za kimataifa, kila kitu kitasimama, hacheni ushabiki wa mitandaoni watakaoumia ni ndugu zetu.
We unapigwa kweli ... endelea kugawa
Kazi tunayo, haya wacha yaishe tuwape kura zao wale wajengeane mahekalu mpaka wavimbiwe na utajiri
Hahaha MATAGA kelele zote hizi huku umedownload VPN... kumbe mnajua umuhimu wa kuwa na uhuru wa habari... la sivyo leo mngezima simu mkalala tu. Kwanini hamumsikiliza baba akiwaambia kitu?
Mpaka Jumatatu akili itawakaa sawaIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Kaka watu huwa wanahack system za NEC kipindi hiki cha uchaguzi. 2015 watu waliingilia mtandao wa NEC kwahiyo kujihadhari ni vizuri
kwa hiyo tuwasaidiaje
Halafu huyo anajifanya yeye ni Mkatoliki Safi litirujia na Sala zote anazifahamu.Wewe huwa unatetea sanaa kila kitu afanyacho Magu sasa hata trailer halijaanza ushaanza lialia kuzima mitandao ni mojawapo ya kazi za JPM viva Magufuli binya hawa ccm wenzio mpaka wapate akili hawa na bado mitano yenu mbele hiyo ishafika utapiga sana mayowe hapa kazi tu
Nipo kituoni tayari hapa Mpanda namkataa Shetani Jiwe na mambo yake yote.Eboooooo jiangalie juu chini.. ukimaliza.. jiambie uache wivu.. kama unawataka wataje wakusalimie..
Bora ungekuwa crown labda ungejua ukweli wa muntu..
Na bado.. leo ni [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Magufuli Baba laooooooooo
Elekeza hyo kwa maslahi ya wengiHakuna kinacho wezekana bila ya VPN download haraka
Kuna mitanzania flani ni hasara wala haikutakiwa kuzaliwa.✓Kama utaki kupangiwa unatafuta nini apa Jamiii Forum. Au unafikiri wasapu, Facebook, Instagram, Twitter. Ni Kwa ajili ya siasa peke yake kuna bihashara nyingi zinakufa Leo na kupata hasara kwa sababu ya maswala ya siasa
Umefikiria vizuri wewe?Hii mitandao lazima idhibitiwe , nyie mnalalamika sababu mnataka kuitumia kuleta taharuki nchini, serikali ya tanzania ina wajibu wa kulinda watu na mali na kuzuia viashiria vyote vile vya uvunjivu wa amani.
lolote likitokea hapa amani ikatoweka, hakuna, biashara wa sheria za kimataifa, kila kitu kitasimama, hacheni ushabiki wa mitandaoni watakaoumia ni ndugu zetu.