Haina maana kama unaiona twitter peke yako nchi nzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Am back from Darkness world [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] VPN
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Msaada namna ya kujisajili kwa wale ambao hatuna akaunti katika mtandao huo tunafanyaje kwani sehemu inayohitajika kutumia jina na neno la siri pamoja na email havikubali sijui ni mahali gani ninapokosea.Pakua Proton vpn
Tuna zidi kukusanya ushahidi wa kwenda ICC
Hapo ndio ujue wasiwasi ni ugonjwa na sio akiliIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
JPM anatia aibu, kweli ccm imechokwa, tunakosa mambo mazuri, kwasababu ya uchaguzi wao wa maruhani, kweli! !
Sijaona sababu hasa ya kufunga hii mitandao.Wasikupangie wewe na nani yako ?? Acha kujichetua ndugu yangu. Hizo pesa mnazopewa na kuja kutuvutuga na kushabikia upuuzi kuna siku mtatamani msingezipokea. Hivi unazima internet ili iweje ? Kama chama chenu kipo vizuri hiyo hofu hadi mnazima internet inatoka wapi ?
Mambo yenu ya siasa mnatufanya na wengine ambao hatujihusishi na siasa tunaumia hivi hivi.! Haya leo makampuni ya simu ya mepoteza pesa kiasi gani kwa kuzima internet?
Na serikali imepoteza kodi kupitia internet kiasi gani!? Kiasi kikubwa sana. Hebu acheni kushabikia utoko utoko kisa wewe umepewa hela ya kula mwaka mzima wewe na familia yako.
Safi sanaKwani tuna mkataba nao wowote ule kikazi na Twitter? Hii ni territory yetu tunafanya tutakavyo, wasitupangie.
Haha tusaidiane kuwashusha watu wapumbavu kama hawa,hili lina wenzake kama bia yetu,jane lowassa,kawe alumni,na wapumbavu wengineNimekushusha
Hayo mang'ombe yote niyashapiga pini, hata siwaoniHaha tusaidiane kuwashusha watu wapumbavu kama hawa,hili lina wenzake kama bia yetu,jane lowassa,kawe alumni,na wapumbavu wengine
Bado kidogo utasema jf haina faidaTwitter haina faida yeyote Tanzania, wala hatuhitaji
Kwani lazima awepo kwetu acheni ukuku tena wapigwe shutdown ya kudumu
Na Umeme wamekata ili tukose charge kabisa. Najikuta napata nguvu ya kwenda kupiga kura leo ili niondoe huu ujinga
Kazi ganiIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.