Uamuzi wa kuwaondoa Machinga mitaa ya Dar es Salaam urejewe upya

Uamuzi wa kuwaondoa Machinga mitaa ya Dar es Salaam urejewe upya

Jambo lililomshinda Rais Magufuli HAKUNA. Narudia HAKUNA kiongozi yeyote wa wakati huu anayeweza kuliweza.
Viongozi w CCM Wana tatizo moja ambalo ni baya sana ambalo ni "sitaki CCM inifie Mimi mikononi mwangu" . Kauli hii itamfanya afanye chochote ambacho ana uwezo nacho hata kibaya kuhakikisha CCM haifi mikononi mwake. Hivyo kuwaacha machinga waharibu nchi ni miongoni mwa mkakati huo wa CCM isimfie mikononi mwake. Kila kitu Wana palliate (ahirisha) ili likamfumukie anaekuja baada yake. Hawataki jumba bovu limdondokee kiongozi wa awamu husika.
 
Viongozi w CCM Wana tatizo moja ambalo ni baya sana ambalo ni "sitaki CCM inifie Mimi mikononi mwangu" . Kauli hii itamfanya afanye chochote ambacho ana uwezo nacho hata kibaya kuhakikisha CCM haifi mikononi mwake. Hivyo kuwaacha machinga waharibu nchi ni miongoni mwa mkakati huo wa CCM isimfie mikononi mwake. Kila kitu Wana palliate (ahirisha) ili likamfumukie anaekuja baada yake.
Unafikiri uongozi wa sasa umeliweza?
 
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-

1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)

2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?

3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).

4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.

5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?

6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?

7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?

8. Je, Wamachinga ni matokeo au zao la mfumo wa elimu tulio nao?

9. Je, Wamachinga ni zao la Economic Model inayoongoza nchi/dunia?

10. Je, Mamlaka za Kodi zime-engage vipi Wamachinga kwenye mfumo wa kodi maana wako wengi sana?

11. Je, kwanini hakuna Sheria ya Bunge (Act of Parliament) inayoratibu shughuli za Wamachinga kwa tija ya taifa? Ikumbukwe idadi yao ambayo hatujaijuwa ni kubwa kiasi kwamba taifa halipaswi kukosa sheria ya kuwaratibu zaidi ya ile sheria ya uzururaji inayobana madadapoa na mission-town (wapiga misele).

12. Je, Sheria ya Nguvu Kazi ya 1984 inasema nini kuhusu Wamachinga? Au wakati sheria hiyo inatungwa Wamachinga hawakuwepo lakini kwamba sasa wapo ni kwanini sheria hiyo isifanyiwe marekebisho ili iwaongelee na wao pia?

13. Je, kwakuwa Umachinga ni zao la mfumo-liberali wa dunia hasa kwenye uchumi ambapo Ujamaa uliokuwa unasisitiza dola kuzalisha na kuwalisha je, ujio wa mfumo mpya uliowazalisha (siyo Ujamaa) unaowataka wale kwa jasho lao umewaandaliaje mazingira wezeshi na jumuishi ili waendelee kula kwa jasho lao wasijekuitegemea dola?

14. Nachelea kuamini kwamba kama sensa ya Wamachinga nchini ikifanyika idadi yao itazidi idadi ya watu wa Zanzibar (1.5ml), watu wa Shelisheli (0.9ml) na huenda ikakaribiana na idadi ya watu wa Lesotho na Eswatini kwa pamoja.


NB.
Fikiria, taifa liwe na kundi dogo la watu wa idadi ya nchi za Eswatini/Lesotho ambao hawalipi kodi kutokana na kwamba hakuna mazingira/mfumo wezeshi yaliyoandaliwa kwa ajili yao kulipa kodi na tozo za serikali? Baghosha!

Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.

R.e1ec613adc84bf0605423d19b716e466

Taswira kwa hisani ya google
Serikali nyingi hupoteaza muda mwingi na pesa nyingu, kutengeneza sheria na miongozo namna ya kuendesha biashara, bila kuwashirikisha wadau, hapa wadau namaanisha wafanyabishara
 
Serikali nyingi hupoteaza muda mwingi na pesa nyingu, kutengeneza sheria na miongozo namna ya kuendesha biashara, bila kuwashirikisha wadau, hapa wadau namaanisha wafanyabishara
Sheria na taratibu zote za kuanzisha na kufanya biashara zipo mbona? Hawazifuti TU. Sheria ya kuuza vileo, dawa, matango, nguo, viberiti, nk zipo wazi, lakini Kuna uzembe wa watumishi, na Wala rushwa wamo. Kama siku atatokea mtu akawashitaki mahakamani watu wote wanaofanya biashara sehemu zisizoruhusia utasikia mengi sana kaka, vigogo wamekula rushwa, wengine wanapata mgao kila siku kutoka kwa wafanyabiashara hawa kwa kukaa kimya kwao TU
 
Sheria na taratibu zote za kuanzisha na kufanya biashara zipo mbona? Hawzifute TU. Sheria ya kuuza vileo, dawa, matango, nguo, viberiti, nk zipo wazi, lakini Kuna uzembe wa watumishi, na Wala rushwa wamo. Kama siku atatokea mtu akawashitaki mahakamani watu wote wanaofanya biashara sehemu zisizoruhusia utasikua mengi sana kaka, vigogo wamekula rushwa, wengine wanapata mgao kila siku kutoka kwa wafanyabiashara hawa kwa kukaa kimya kwao TU
Mkuu,
You have said it all. Ndiyo maana juzi nilisema ili kumaliza kichuguu usiuwe mchwa ua malkia, something is cooking behind the bureaucrats that manifests itself in the plight of Machinga. Mkuu tukibaki kuangalia tatizo kwa mtazamo wako huo tutapata ufumbuzi.
 
Wakuu sikuwahi fikiria kama ntakuja kuguswa moja kwa moja na suala la machinga,...iko hivi juzi juzi wakati narudi zangu ghetto nikakutana na mpangaji mwenzangu mdada wa makamo na katoto kake kama ka miezi minne hivi akiwa kajiinamia ,ikimbukwe kwamba sikuwahi kujua anafanya shughuli gani na hata wao hawakuwahi kujua ni kawaida kwangu kutokufatilia ya wengine labda ikibidi sana.,basi yule sister kumbe alikua ananisubiri aniage anahama kumuuliza kulikoni ! Kumbe yule dada alikua mama ntilie(lishe) wale wa pembezoni mwa bara bara hivyo alivunjiwa banda lake na ni single mama so akawa hana pa kwenda na alikua analia sana na kulaaani ,niwe mkweli mji umependeza lakini umegusa maisha ya watu kulivyo tunavyofikiri kuna tatizo mbeleni naliona.....,
 
Wakuu sikuwahi fikiria kama ntakuja kuguswa moja kwa moja na suala la machinga,...iko hivi juzi juzi wakati narudi zangu ghetto nikakutana na mpangaji mwenzangu mdada wa makamo na katoto kake kama ka miezi minne hivi akiwa kajiinamia ,ikimbukwe kwamba sikuwahi kujua anafanya shughuli gani na hata wao hawakuwahi kujua ni kawaida kwangu kutokufatilia ya wengine labda ikibidi sana.,basi yule sister kumbe alikua ananisubiri aniage anahama kumuuliza kulikoni ! Kumbe yule dada alikua mama ntilie(lishe) wale wa pembezoni mwa bara bara hivyo alivunjiwa banda lake na ni single mama so akawa hana pa kwenda na alikua analia sana na kulaaani ,niwe mkweli mji umependeza lakini umegusa maisha ya watu kulivyo tunavyofikiri kuna tatizo mbeleni naliona.....,
Highly heartbreaking presentation!
Her future is gone, future of the minor is gone, days of her elders in the village are now numbered. Policymakers are feasting.
homeless-man-begging-in-street-with-pleading-sign-picture-id981587534
homeless-jobless-man-begs-for-help-picture-id986528464
machinga-pic.jpg

Images by the courtesy of google.
 
Mimi nitakuwa Thomaso katika hili!! Me ni kweli wamachinga wametoka kabisa Dar na pembezoni mwa barabara ? Aliyepita kariakoo leo atujuze. Kama ndivyo basi mkuu wa mkoa wa Dar anastahili tuzo ya heshima ya juu kabisa! Huu mfupa ulishashindikana miaka nenda rudi!! Matatizo mengine yaliyoshindikana ni; 1. Tatizo la machangudoa, 2. Tatizo la ombaomba !
Kwenye jijj la Dar ukiweza kuwatoa machangudoa, omba omba na wamachinga wasiofuata utaratibu hapo utakuwa umefaulu sana!! Makamba alishindwa, Makonda alishindwa, Je huyu wa sasa ataweza?
 
Mimi nitakuwa Thomaso katika hili!! Me ni kweli wamachinga wametoka kabisa Dar na pembezoni mwa barabara ? Aliyepita kariakoo leo atujuze. Kama ndivyo basi mkuu wa mkoa wa Dar anastahili tuzo ya heshima ya juu kabisa! Huu mfupa ulishashindikana miaka nenda rudi!! Matatizo mengine yaliyoshindikana ni; 1. Tatizo la machangudoa, 2. Tatizo la ombaomba !
Kwenye jijj la Dar ukiweza kuwatoa machangudoa, omba omba na wamachinga wasiofuata utaratibu hapo utakuwa umefaulu sana!! Makamba alishindwa, Makonda alishindwa, Je huyu wa sasa ataweza?
Mtumishi,
Julai - Oktoba 2025 utawaona wamerudi na CC itasema waendelee na biashara zao bila bughudha.

Siyo Wamachinga, Dadapoa na Ombaomba tu, vipi magerejibubu? vipi vituo holela vya mafuta kwenye makazi ya watu? vipi wavamizi wa road reserves za Tanroads na Tarura? vipi Bodaboda kila baada ya nyumba kumikumi?
 
Wakuu sikuwahi fikiria kama ntakuja kuguswa moja kwa moja na suala la machinga,...iko hivi juzi juzi wakati narudi zangu ghetto nikakutana na mpangaji mwenzangu mdada wa makamo na katoto kake kama ka miezi minne hivi akiwa kajiinamia ,ikimbukwe kwamba sikuwahi kujua anafanya shughuli gani na hata wao hawakuwahi kujua ni kawaida kwangu kutokufatilia ya wengine labda ikibidi sana.,basi yule sister kumbe alikua ananisubiri aniage anahama kumuuliza kulikoni ! Kumbe yule dada alikua mama ntilie(lishe) wale wa pembezoni mwa bara bara hivyo alivunjiwa banda lake na ni single mama so akawa hana pa kwenda na alikua analia sana na kulaaani ,niwe mkweli mji umependeza lakini umegusa maisha ya watu kulivyo tunavyofikiri kuna tatizo mbeleni naliona.....,
Kwenye ujasiriamali kuna somo linaitwa mjasiriamali na yanayomzunguka 'the entrepreneur and his environments' hii huanzia ngazi ya familia hadi kimataifa,kwenye kitabu changu , cha ujasiriamali , tunajifunza kwamba kwamba 80% ya mafanikio kwenye biashara yanategemea mjasriamali ,lakini najadili 20% ndiyo inanguvu zaidi kudhoofisha biashara,kwenye hiyo asilimia 20 siasa ipo na magonjwa ya mlipuko(majanga)
 
Wakuu sikuwahi fikiria kama ntakuja kuguswa moja kwa moja na suala la machinga,...iko hivi juzi juzi wakati narudi zangu ghetto nikakutana na mpangaji mwenzangu mdada wa makamo na katoto kake kama ka miezi minne hivi akiwa kajiinamia ,ikimbukwe kwamba sikuwahi kujua anafanya shughuli gani na hata wao hawakuwahi kujua ni kawaida kwangu kutokufatilia ya wengine labda ikibidi sana.,basi yule sister kumbe alikua ananisubiri aniage anahama kumuuliza kulikoni ! Kumbe yule dada alikua mama ntilie(lishe) wale wa pembezoni mwa bara bara hivyo alivunjiwa banda lake na ni single mama so akawa hana pa kwenda na alikua analia sana na kulaaani ,niwe mkweli mji umependeza lakini umegusa maisha ya watu kulivyo tunavyofikiri kuna tatizo mbeleni naliona.....,
Kaka ukiwa na house girl ambae anajipatia fedha zaidi za kumudu maisha kwa kukuibia siku zote sukari, mchele, maharagwe, mkaa na mafuta ya kula na kuwauzia watu kwa bei nafuu wakati wewe uko kazini siku ukimgundua hutamchukulia hatua eti kwasababu utagusa maisha yake?

Haya maeneo ya waenda kwa miguu, mitaro ya maji na sehemu za wazi wanazofanyia biashara hawa machinga ni Mali ya watanzania wote. Wanaohitaji hizi njia za watembea kwa miguu ni wengi kuliko wamachinga waliotandika bidhaa zao kwenye njia hizo. Hivyo, haiwezekani watu wachache TU wabadilishe matumizi ya njia za waenda kwa miguu kwa sababu na faida Yao binafsi. Haki ya waenda kwa miguu wanaogongwa na magari na bodaboda kwa kupita njia za magari Iko wapi?

Kuna mtu anafanyabiashara barabarani kwa miaka 10 Sasa, amejenga, amenunua mashamba na kumsomeaha watoto wake wote hapohapo, na Wala Hana haja ya kwenda kwa maafisa biashara kutafuta namna ya kurasimisha biashara yake hiyo. Yaani anayo hela ya kujengea lakini hatoki barabarani.
 
Uamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya.

Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.

Miaka 5 Maandalizi yalikuwaje
 
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-

1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)

2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?

3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).

4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.

5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?

6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?

7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?

8. Je, Wamachinga ni matokeo au zao la mfumo wa elimu tulio nao?

9. Je, Wamachinga ni zao la Economic Model inayoongoza nchi/dunia?

10. Je, Mamlaka za Kodi zime-engage vipi Wamachinga kwenye mfumo wa kodi maana wako wengi sana?

11. Je, kwanini hakuna Sheria ya Bunge (Act of Parliament) inayoratibu shughuli za Wamachinga kwa tija ya taifa? Ikumbukwe idadi yao ambayo hatujaijuwa ni kubwa kiasi kwamba taifa halipaswi kukosa sheria ya kuwaratibu zaidi ya ile sheria ya uzururaji inayobana madadapoa na mission-town (wapiga misele).

12. Je, Sheria ya Nguvu Kazi ya 1984 inasema nini kuhusu Wamachinga? Au wakati sheria hiyo inatungwa Wamachinga hawakuwepo lakini kwamba sasa wapo ni kwanini sheria hiyo isifanyiwe marekebisho ili iwaongelee na wao pia?

13. Je, kwakuwa Umachinga ni zao la mfumo-liberali wa dunia hasa kwenye uchumi ambapo Ujamaa uliokuwa unasisitiza dola kuzalisha na kuwalisha je, ujio wa mfumo mpya uliowazalisha (siyo Ujamaa) unaowataka wale kwa jasho lao umewaandaliaje mazingira wezeshi na jumuishi ili waendelee kula kwa jasho lao wasijekuitegemea dola?

14. Nachelea kuamini kwamba kama sensa ya Wamachinga nchini ikifanyika idadi yao itazidi idadi ya watu wa Zanzibar (1.5ml), watu wa Shelisheli (0.9ml) na huenda ikakaribiana na idadi ya watu wa Lesotho na Eswatini kwa pamoja.


NB.
Fikiria, taifa liwe na kundi dogo la watu wa idadi ya nchi za Eswatini/Lesotho ambao hawalipi kodi kutokana na kwamba hakuna mazingira/mfumo wezeshi yaliyoandaliwa kwa ajili yao kulipa kodi na tozo za serikali? Baghosha!

Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.

R.e1ec613adc84bf0605423d19b716e466

Taswira kwa hisani ya google
Mkuu unawaongelea machinga kama kundi fulani maalumu lenye kuhitaji huruma hata kama uendeshaji wa shughuli zao unakiuka sheria za mipango miji. Kosa lililofanywa wakati wa mwendazake haliwezi kuhalalisha uholela wa shughuli zao.

Ni kweli kabisa kundi hili nalo ni wahanga wa matukio kutokana matamko batili ya wanasiasa na pia kutokana ufinyu wa fursa za kiuchumi kutokana na uwezo mdogo wa kifedha wa serikali yetu. Lakini jambo hili haliwezi kuchukuliwa kama sababu ya kuwafanya machinga wajiamulie kufanya chochote kile hata kama kinakiuka sheria na taratibu zilizowekwa.

Tatizo la machinga na wachuuzi wadogo kujazana katika majiji na miji haliko hapa Tanzania tu, lipo karibu katika mataifa mengine pia. Ni changamoto kwa serikali nyingi sana duniani.

Na hii pengine ndiyo sababu kubwa inayowafanya mabwana wa dunia kutaka kupunguza idadi ya watu duniani kupitia vita, vyakula ya GMO, madawa, chanjo (sijasema ya UVIKO 19), mahusiano ya jinsia moja, uzazi wa mpango na ajenda zingine za hovyo ambazo zinapaswa kuwa "ratified" kimataifa.
 
Huu ni ulimbukeni wa kisiasa. tusiweke siasa kwenye vitu vinavyoadhiri uchumi wetu. Machinga lazima waondoke nchi yetu irudi kwenye mstari ulionyooka. Tuache cheap politics we shall never go back to the darkest error. Our cities should not be converted into one big dirty village, they can do it in the villages not in Cities and towns period.

ni upuuzi kuamini machinga wanarudisha nchi nyuma kwa namna yoyote ile.
 
Highly heartbreaking presentation!
Her future is gone, future of the minor is gone, days of her elders in the village are now numbered. Policymakers are feasting.
homeless-man-begging-in-street-with-pleading-sign-picture-id981587534
homeless-jobless-man-begs-for-help-picture-id986528464
machinga-pic.jpg

Images by the courtesy of google.

Kila mtu mwenye kosa ana story ya kuhalalisha kosa lake.
Ndio maana sheria haipindi kuonea mtu huruma.
 
Highly heartbreaking presentation!
Her future is gone, future of the minor is gone, days of her elders in the village are now numbered. Policymakers are feasting.
homeless-man-begging-in-street-with-pleading-sign-picture-id981587534
homeless-jobless-man-begs-for-help-picture-id986528464
machinga-pic.jpg

Images by the courtesy of google.
Kwa hiyo unajenga hoja ya kuwaondoa machinga wa Dar /Mwanza halafu unatuwekea mifano ya wazungu omba omba toka GOOGLE. Tia rubbish hiyo weka picha za Manzese au Makoroboi

Halafu mkisoma mpaka PhD mkakosa kazi mnalaumu kuwa wanatoa kazi kwa upendeleo.
 
Na hii pengine ndiyo sababu kubwa inayowafanya mabwana wa dunia kutaka kupunguza idadi ya watu duniani kupitia vita, vyakula ya GMO, madawa, chanjo (sijasema ya UVIKO 19), mahusiano ya jinsia moja, uzazi wa mpango na ajenda zingine za hovyo ambazo zinapaswa kuwa "ratified" kimataifa.
Nimeipenda hii:-

"Na hii pengine ndiyo sababu kubwa inayowafanya mabwana wa dunia kutaka kupunguza idadi ya watu duniani kupitia vita, vyakula ya GMO, madawa, chanjo (sijasema ya UVIKO 19), mahusiano ya jinsia moja, uzazi wa mpango na ajenda zingine za hovyo ambazo zinapaswa kuwa "ratified" kimataifa."
 
Back
Top Bottom