Uamuzi wa Rais Samia kutumia sheria ripoti ya CAG ni bora kuliko uwajibikaji wa kisiasa tuliozoea

Uamuzi wa Rais Samia kutumia sheria ripoti ya CAG ni bora kuliko uwajibikaji wa kisiasa tuliozoea

Hakuna mjadala wa kuteua na kutengua, usihamishe mada kama hujaelewa uzi soma tena, hapo kinachojadiliwa ni uamuzi wa kuhakikisha vyombo vya sheria vinahusika katika kuwajibisha wale WATAKAOTHIBITIKA, na sio kuishia kutengua tu. Vipi mzee?
Kuteua na kutengua sio miongoni mwa uwajibikaji wa kisiasa?!
 
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.
Makala nzuri sana. Tatizo Watanzania wanataka kusikia ile lugha ya Magufuli; Nimtumbue, nisimtumbue??

Magufuli alifanya makosa kwa kuwatuhumu, kuwachunguza yeye mwenyewe na kuwahukumu.

Aliwafungulia kesi za kutakasa fedha lakini Mahakama haikuwahi kumkuta yeyote akiwa na hatia kwa sababu ya KUKURUPUKA kupeleka watu rumande huku huna ushahidi.

Aliposhindwa ndipo akaanzisha Ujasiriamali Feki wa Plea Bargain, huku yeye na Biswalo Mganga, Dotto James na Profesa Kabudi wakificha hela za watuhumiwa China
 
Makala nzuri sana. Tatizo Watanzania wanataka kusikia ile lugha ya Magufuli; Nimtumbue, nisimtumbue??

Magufuli alifanya makosa kwa kuwatuhumu, kuwachunguza yeye mwenyewe na kuwahukumu.

Aliwafungulia kesi za kutakasa fedha lakini Mahakama haikuwahi kumkuta yeyote akiwa na hatia kwa sababu ya KUKURUPUKA kupeleka watu rumande huku huna ushahidi.

Aliposhindwa ndipo akaanzisha Ujasiriamali Feki wa Plea Bargain, huku yeye na Biswalo Mganga, Dotto James na Profesa Kabudi wakificha hela za watuhumiwa China

Mkuu Umeongea kwa Busara na Hekima sana na Kwa Utaratibu wa Sheria inavyotaka…
hongera kwa hilo.
naomba Nikuulize hivi Mfano Ikiwa baadhi ya Makatibu wakuu au wakurugenzi ndio wamehusika na ndio wamepewa waichambue nani atajua/Wawajibisha? Au wao hawawezi Kujusika Moja kwa Moja?
 
Mkuu Umeongea kwa Busara na Hekima sana na Kwa Utaratibu wa Sheria inavyotaka…
hongera kwa hilo.
naomba Nikuulize hivi Mfano Ikiwa baadhi ya Makatibu wakuu au wakurugenzi ndio wamehusika na ndio wamepewa waichambue nani atajua/Wawajibisha? Au wao hawawezi Kujusika Moja kwa Moja?
Watawajibishwa na Rais kwa sababu ndiyo Mamlaka yao ya Ajira. Lakini itabidi hatua kama 2 au 3 zipite. Kwanza wakatoe majibu ya hoja za CAG zilizoibuliwa dhudi yao. Kumbuka hoja za CAG siyo UFISADI, mengine unakuta ni reconciliation ya hesabu, nyaraka kutoonekana na vitu kama hivyo.

Kama CAG ataridhika basi ataitoa hoja hiyo, asiporidhika atairudisha Bungeni tena. Hapo ndipo hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya Katibu Mkuu.
 
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."​

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.​
ukishajua kuwa kuna kitu kinaitwa plea bargaining ambayo inachagiza wizi inabidi unyamaze tu. nchi hii huwezi ukaiba mabilioni kisha ukafungwa. Samia anatupiga changa la mcho labda afute hiyo plea bargain. unaiba 1bil, plea bargain unalipa 50mil, unaachiwa huru
 
Yote CAG anayoandika kwenye report yake yenye minajili ya ‘fraud’ kabla ya report kutoka management inajuzwa kwanza wachukue hatua wakitaka; kabla ya report kutoka.

Moreover ethics za kazi pia zinamtaka auditor kuripoti serious offences to third parties kama polisi, na vyombo vingine husika lipo wazi under ISA 250 na NOCLAR ethics (Non Compliance with Laws and Regulations). Kusudi uchunguzi wa nje ufanyake na hatua za kisheria zichukuliwe.

Shida ni kwamba hakuna utaratibu wa kuwajibishana huko serikalini hilo ndio tatizo na kutaka ngonjera tu, kama taarifa wahusika wanazo kitambo kutoka kwa CAG na awachukui hatua zozote; wanasubiri waende bungeni kuwapiga porojo wabunge; and the game just rewinds next year.
 
Hao wala nchi ni Hao hao watu aliowapa nyadhifa huko juu.

Na ni hao hao wanaomtazama na macho yao ambayo wameyaficha kwenye miwani meusi.

Sometimes natamani kusema.. ... Mheshimiwa oohooo
 
ukishajua kuwa kuna kitu kinaitwa plea bargaining ambayo inachagiza wizi inabidi unyamaze tu. nchi hii huwezi ukaiba mabilioni kisha ukafungwa. Samia anatupiga changa la mcho labda afute hiyo plea bargain. unaiba 1bil, plea bargain unalipa 50mil, unaachiwa huru
Samia siyo aliyoileta Plea Bargain bali ni Mwendazake. Kuifuta ni jukumu la wananchi kuputia wawakilishi wetu au asasi za haki za raia
 
Kwa muda mrefu baada ya kusomwa kwa ripoti za CAG miaka ya nyuma huwa wabadhirifu na wale wote waliotajwa hujificha kwenye kivuli cha uwajibikaji wa kisiasa. "Yaani mhusika anatumbuliwa na mara nyingi inakuwa imeishia hapo na pengine baada ya miaka michache anarejea tena kwenye mfumo."​

Maagizo ya Rais Samia kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ahakikishe Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao ni maagizo sahihi kabisa

LAKINI KUBWA NA LA KUPONGEZWA ZAIDI NI MAELEKEZO KWAMBA YEYOTE ATAKAYEBAINIKA KUHUSIKA NA UBADHIRIFU NA UZEMBE WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

HILI LINATUONDOA KATIKA UWAJIBIKAJI WA KISIASA USIO NA TIJA SANA NA KUTUPELEKA KATIKA UWAJIBISHWAJI SAHIHI.​
Hapo kuna sheria gani imetumika? Kulikuwepo na mahakama yoyote iliyoamua chochote?

Maigizo yanafanywa kuwa sheria?

Sheria ni kwa mtu anayeshukiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani na si vinginevyo.

Nyinyi watu kazi zenu hizi za upotoshaji ni sehemu ya utapeli mnaowafanyia waTanzania.

Hovyo Kabisa.
 
Hapo kuna sheria gani imetumika? Kulikuwepo na mahakama yoyote iliyoamua chochote?

Maigizo yanafanywa kuwa sheria?

Sheria ni kwa mtu anayeshukiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani na si vinginevyo.

Nyinyi watu kazi zenu hizi za upotoshaji ni sehemu ya utapeli mnaowafanyia waTanzania.

Hovyo Kabisa.
Umefturu umeshiba unakuja kukurupuka.

Rais Samia ameagiza watakaobainika wachukuliwe hatua za kisheria, wewe umekaza kichwa unajaza maneno tu.
 
Umefturu umeshiba unakuja kukurupuka.

Rais Samia ameagiza watakaobainika wachukuliwe hatua za kisheria, wewe umekaza kichwa unajaza maneno tu.
Njia za kupoteza lengo , wewe unaona rais kafanya kazi kubwa?

Ni nani "atabainika" kwa mchezo wa viini macho huo unaotumika kuwalaza akili watu wa aina yako.
 
Kuteua na kutengua sio miongoni mwa uwajibikaji wa kisiasa?!
NI mojawapo lakini kuhakikisha vyombo vya usalama vinachukua hatua baada ya kuthibitika ni jambo jema zaidi
 
Ila mimi ninachoona Rais vilevile angeona ni kwa namna gani serikali yake inaachana na kikokotoo kipya cha malipo ya watumishi wa umma ambacho wanalalamika ni kandamizi kwani inawezekana hayo majizi hasa ngazi ya halmashauri wanaona ni heri waanze kuandaa future zao kwa kutuibia tozo zetu wakijua fika wakija kustaafu wataambulia mafao kiduchu .Kuna haja ya kureview nalo hilo ili waendelee kuwalipa wastaafu wetu kwa kikokotoo cha zamani ambacho mstaafu alikuwa na uhakika wa kupata hela ya maana tofauti na sasa ambapo wastaafu wetu wanapewa kiasi kidogo sana

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ilitakiwa wakae pembeni harafu taratibu ndo zifuate kwa Sasa wanamuda wa kuharibu Kila kitu na watakuwa salama tu inawezekana ndo mpango wa huyo unaetaka tumpongeze
Makatibu wakuu si ndiyo maafisa masuuli? (accounting officers) hawawezi kuchomoa kwenye hili. Wabunge ndiyo wanatakiwa wapitie hii ripoti halafu waijadili, siyo makatibu na watendaji ambao baadhi ni wahusika katika wizi
 
Watawajibishwa na Rais kwa sababu ndiyo Mamlaka yao ya Ajira. Lakini itabidi hatua kama 2 au 3 zipite. Kwanza wakatoe majibu ya hoja za CAG zilizoibuliwa dhudi yao. Kumbuka hoja za CAG siyo UFISADI, mengine unakuta ni reconciliation ya hesabu, nyaraka kutoonekana na vitu kama hivyo.

Kama CAG ataridhika basi ataitoa hoja hiyo, asiporidhika atairudisha Bungeni tena. Hapo ndipo hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya Katibu Mkuu.
Sasa wewe hauoni kuwa mhe Rais ametoa mwanya wa kutafuta nyaraka feki? hivi unadhani ni rahisi kupata rist ya 1bln, rist za 10mln zinawatoa kamasi itakuwa hayo mab?
 
Back
Top Bottom