Uamuzi wa Rais Samia kutumia sheria ripoti ya CAG ni bora kuliko uwajibikaji wa kisiasa tuliozoea

Uamuzi wa Rais Samia kutumia sheria ripoti ya CAG ni bora kuliko uwajibikaji wa kisiasa tuliozoea

Ila mimi ninachoona Rais vilevile angeona ni kwa namna gani serikali yake inaachana na kikokotoo kipya cha malipo ya watumishi wa umma ambacho wanalalamika ni kandamizi kwani inawezekana hayo majizi hasa ngazi ya halmashauri wanaona ni heri waanze kuandaa future zao kwa kutuibia tozo zetu wakijua fika wakija kustaafu wataambulia mafao kiduchu .Kuna haja ya kureview nalo hilo ili waendelee kuwalipa wastaafu wetu kwa kikokotoo cha zamani ambacho mstaafu alikuwa na uhakika wa kupata hela ya maana tofauti na sasa ambapo wastaafu wetu wanapewa kiasi kidogo sana

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kwanini wabunge wao walipwe zote? mpe mtu haki yake hata akila akimaliza ni haki yake
 
Back
Top Bottom