Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Hajasoma ule ni muandiko WA mtu asiyeenda shule kabisaa au la Saba failure!!na hakika ht mwanangu wa la 5 haandiki vile,nimejua why Zama anatumia nguvu kubwa kuonesha mmewe ana pesa
Mbona mnatunyanyapaa sisi tulioishia drs la saba jaman?,kwahiyo mm mwandiko wangu umefanana na wa jamaa[emoji16]
 
Umeua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…