Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 Acheni jamanii namiliki miguu tu hao mastaa wala siko nao.Mkuu una siri kumbe unamarafiki wanapush renjirova
Kumbe wewe ni mmwera,sasa si umshauri kaka yako aisee aache mambo za kiwakiAna sifa sana Kuna siku ataua mtu huyu kaka jamani!!!yaani huyu ni mmwera orijino kabisaaa!!!yaani ndo asili yetu wamwera sifa kama wahaya
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wahuni mna diss kinomaNa huko garage atakuwa kibarua siyo mmiliki wa garage...
Huu uandishi ni wa mtu aliyefeli darasa la 4 kabisa..
🤣 🤣 🤣 Mahalage Lobo... Hii kizazi sana 😂😂😂watu wa mahalage lobo wananikera sana nilijua jamaa zimo kichwan kumbe ni mjinga mmoja kuandika pia hajui anachatije na mkewe mimi ningemchoka haraka sana
Mbona mnatunyanyapaa sisi tulioishia drs la saba jaman?,kwahiyo mm mwandiko wangu umefanana na wa jamaa[emoji16]Hajasoma ule ni muandiko WA mtu asiyeenda shule kabisaa au la Saba failure!!na hakika ht mwanangu wa la 5 haandiki vile,nimejua why Zama anatumia nguvu kubwa kuonesha mmewe ana pesa
Ukipenda chongo huita kengezaKuna wanawake wana matatizo . sasa jitu bumunda kama hilo mtu analipeleka wapi?
🤣 Sole ndio nini mzee mmeamua kutuaa na vicheko humuKuadika kitu gani bana. Mimi sijuhi kuadika lakini nimewowa muke mzuli na mlembo
Na ananihesimu na hera ya kura hahinipiji chega.
So am sole
🤣 Huu uzi sijui kwann sikuuona mapema.Dah nimecheka sana 😄😄😄😄 eti jamaa ni bumunda aliepambwa aonekane keki na mkewe.
Nawe ukawa unagonga kilaza namna hio 🤣🤣🤣Amenikumbusha mchaga mmoja ex wangu akiandika sms ukimaliza.kusoma unaenda kumeza diclopar
Herufi kubwa kama zote halafu yaani upuuzi mtupu ngoja nione kama bado ninazo
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ni marioo fulloption yani yeye hajui hata ada za watoto...yani huyu ndio sele mwenyewe
Eti mario Fulloption[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Huyo ni marioo fulloption yani yeye hajui hata ada za watoto...yani huyu ndio sele mwenyewe
UmeuaDaima katika maisha ni bora kujifunza kukaa kimya ili angalau uweke shaka juu ya uelewa wako kuliko kuongea na kuondoa shaka yeyote juu upumbavu wako.
Kuna aina fulani ya picha Zamaradi alimtengenezea jamaa yake kiasi kwamba watu waliamini jamaa ni sophisticated na classy. Baada ya huo upuuzi alioandika picha halisi ya yeye ni mtu wa aina gani imedhihirika.
Kuiweka kiwepesi, jamaa ni bumunda lililopambwa lionekane keki na mkewe.
Kuna tofauti ndogo mno baina ya Mume wa Zamaradi na Uchebe aliyekuwa mume wa Shilole. Mume wa Zamaradi ni vile amewekewa mipaka na mkewe katika maisha yao ya maigizo, lakini isingekuwa hivyo angekuwa kama Uchebe kutwa mitandaoni kuandika upuuzi na uswahili mwingi.
Na hili la mumewe limedhihirisha pia kuwa Zamaradi ni mtu wa aina gani. Daima walio wamoja hukaa pamoja.
View attachment 2745605
Sheby chogo 🤣Hapana jamaa yule ni kilaza wa kutupwa 🤣
Toka lini kina shebby wakawa na akili kubwa?
Mmmmh mbona haya mengine mapyaSiku watoto wakirudiswha ada jamaa huwa analazwa nje, zama mafia sana
We ni faller aisee nimecheka 🤣🤣🤣Mtu ulikua unamuheshimu tu vizuri mara ghafla unaona ameandika ulisi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Oya wazee ntakufa leo kwa kuchekaAlafu jamaa ukimchek kwenye picha hapo unaona kabisa UMEME MDOGO huo.
Raia wanataka kufanya maisha yawe magumu kisa emoji tuuView attachment 2746151
Mkuu uko sahihi kwenye mengine
Ila hauwezi ku judge uanaume wake kwa emoj
Watu huweka emoj kuonesha emotional na vile wanataka kuzungumza
Kuokoa muda pia
Tusifanye mambo yawe magumu
Enjoy.