atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Jamii forum imegeuka kuwa kijiwe cha umbea [emoji2] nimewanyoshea mikono [emoji119],dada atachambuliwa huyu[emoji23]....Nilijua tu, kwa akili zake hizo za kuweka mabango na kuandika magazeti Instagram, atakua na yeye ni seti tupu tu. Amshukuru sana sana marehemu Ruge kwa kumpandisha chati na kuzaa nae at least atakua na watoto upstairs wako vizuri, lakini hao wa shamba boy tunamuachia mola maana baba zero na mama zero. hatwariii sana.
Unajua watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja,kwenye hii dunia hata uzaliwe wapi siku walimwengu wakitaka kupata habari zako ni simple sana,sasa kwanini udanganye ukizangatia wewe ni maarufu?Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
Kwahiyo alifisadi ideas za watu,usikute nyingine ndio anazifanyia kaziHlf zama kuna kipindi alianzisha shindano, watu wampelekee ideas mbalimbali na mshindi kupewa milioni moja. Watu wakaandika weee hd leo hamna mshindi alotangazwa
Tatizo sipo daslamu mm niko mkoani huku hamnaga mastar wanaishi [emoji2]Eehh...kaka we kama una umbea WA Star with vivid evidence peleka unapata msingi kabisaa au PESA ya kiwanja Vikindu
Yes utu ndio kila kitu,na usichotaka kufanyiwa basi usimfanyie mwenzako hio ndio formula ya kuishiHapana utu kwanza kaka ,ujue haya mambo yana mwisho na Mange haan Shoga wa kudumu Wala adui wa kudumu unashangaa siku najikuta na mie mbele kabisaa
Dada wa miwaraka huwa namuona kwa Tv tu na kwa page yake.Siku ya graduation ndiyo nilimuona live.Dada anapenda makuu na kujikweza yule[emoji3][emoji3]@Nyamizi kama Nyamizi [emoji2] halafu unaweza kukuta wewe swahiba wake wa karibu sana
Sasa si ndiyo mojawapo wa Celebrities wetu na yeye ndiyo kayataka.Acha watu wafunguke bwana [emoji3][emoji3]Jamii forum imegeuka kuwa kijiwe cha umbea [emoji2] nimewanyoshea mikono [emoji119],dada atachambuliwa huyu[emoji23]....
Okay,ujue mm nacomment tuu sababu ya Zamaradi namfahamu lkn kinachoendelea huko mjini na Instagram sikijui [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kaka uko Dunia ya wapi mpk kamtia mdai ndani
Anadaiwa na direkta wake almost 19m,dogo kaona hali ngumu kaenda kuweka Bondi kompyuta ya ofisi wakamtishiaaa tishia ndo akaenda Kwa Mange kumwaga upupu mara paaap dogo ndani Polisi kawe hapo,ndo chanzo Cha stori za Zama na mmewe hiko broooo
Kazi kweli kweliWada wa mujini haooo [emoji1][emoji1]
Pana mdada mmoja alistukia hiyo akajaribu kuwa alert watu, kwani walimsikiliza sasa.Zama kawa ahidi atakayetoa idea nzuri atazawadiwa pesa 1M na aliunda groups zaidi ya tano.Watu acha washuke na Idea zao.Alivyoona kazikusanya za kutosha akakimbilia Polisi akamtia ndani yule dada aliyekuwa anawastua watu kuwa wanadanganywa,kamlaza ndani week nzima.Baada ya hapo akayafunga magroup yote na hakutangaza mshindi na hata senti tano hakutoa.Mjini shule [emoji3]Kwahiyo alifisadi ideas za watu,usikute nyingine ndio anazifanyia kazi
@cute wife atadili na jamaa yake wewe kuwa na amani kabisaMbona unanitafutia ugomvi kaka? Mwenzio kupigana sijui [emoji1783]
Mastar wenzake wanamsema sana kuwa ana roho mbaya,kama na wewe kwa first time unamuona unasema hivyo basi ni kweli ana shidaDada wa miwaraka huwa namuona kwa Tv tu na kwa page yake.Siku ya graduation ndiyo nilimuona live.Dada anapenda makuu na kujikweza yule[emoji3][emoji3]
@cute wife atadili na jamaa yake wewe kuwa na amani kabisa
Aiseee basi ana ujasiri wa hatari,unajua the way anajiwekaga mbele ya makamera na maneno ni tofauti na matendo yakePana mdada mmoja alistukia hiyo akajaribu kuwa alert watu, kwani walimsikiliza sasa.Zama kawa ahidi atakayetoa idea nzuri atazawadiwa pesa 1M na aliunda groups zaidi ya tano.Watu acha washuke na Idea zao.Alivyoona kazikusanya za kutosha akakimbilia Polisi akamtia ndani yule dada aliyekuwa anawastua watu kuwa wanadanganywa,kamlaza ndani week nzima.Baada ya hapo akayafunga magroup yote na hakutangaza mshindi na hata senti tano hakutoa.Mjini shule [emoji3]
Mmmh[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] halafu mm sio kaka yako[emoji2][emoji2]Kaka umenitisha!! Naogopa ugomvi mimi, hapa natetemeka [emoji205]
Mmmh[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] halafu mm sio kaka yako[emoji2][emoji2]