Na ndicho kilichowakera watu hadi wanafunguka uhalisia.Yuko tayari amuumize mtu yoyote ili yake yamnyookee na wala hajali.Dhuluma kwake ni kawaida sana, ukisoma comments nyingi hasa kule Instagram.Aiseee basi ana ujasiri wa hatari,unajua the way anajiwekaga mbele ya makamera na maneno ni tofauti na matendo yake
We malaya acha kumcharazia mwanamke mwenzio kama unamjua sana. We ushakata ringi tayari. Hivi haya unayosema hapa ungeyasema lini bila huu uzi!? Hebu jishikilie kidogo. Umekazaana mwenyewe kucharaza!!!!Na ndicho kilichowakera watu hadi wanafunguka uhalisia.Yuko tayari amuumize mtu yoyote ili yake yamnyookee na wala hajali.Dhuluma kwake ni kawaida sana, ukisoma comments nyingi hasa kule Instagram.
Na ww umekosea sio "uhandishi" ni uandishi"Swala la uhandishi ni watu wachache wanariweza, nakiri mimi ni mmoja wapo uhandishi unanitesa"
Ungeandika hivi bila shaka ningekubaliana na wewe, Suala lipo wazi kabisa, kwa mazingira ya Dunia yetu hii ya Kitanzania, kwa muandiko ule wa mzee wa ULISI, jamaa ni empty headed, kuna mawili posible ndio sababu yupo na yule manzi
1.Msingi kiuno
2.Ndumba zipo around
Tofauti yake na Uchebe ni kuwa bwana Uchebe alikuwa sana mitandao na huyu Mzee wa ULISI hakuitaka mitandao.
Aisee nimecheka saba,una ujinga sana[emoji119]Kataka kumsola Meggy ,Yu meggy nae kalemwaa,kaenda kumsola Kwa Mange Kwa uchunguu
Uyu Kaka hetu wa kuthini heti hanataka kugombania hubunge na muwandiko hule? Kajua kutuzalilisha wasaudhi.[emoji3526][emoji3526][emoji1][emoji1][emoji1]kaka hashauriki huyuuu .we muache litankuta jambooo baaahhhhhh
Nyie acheni tu, kuna muda mwanamke Una ndoto zako kubwa, halafu unajikuta uliingia kwenye ndoa na mwanaume Zamwamwa, ndoto yake kubwa ni ale wali wa Nazi na samaki...ajambiane, Yani karidhika.....ndo mwanamke unaanza kupambana kufikia malengo huku ukimantain his status Ili asikukwamishe.....Kina Zamaradi tumejaa tele mtaani.Kwahiyo hio nyumba bimdashi amechukulia mkopo?!,huyu mwanamke anajaribu kutuaminisha mumewe yupo njema kifedha kumbe yeye ndio anaumia kwa kumaintane status ya mumewe
Kama anatokea umachingani,Uyu Kaka hetu wa kuthini heti hanataka kugombania hubunge na muwandiko hule? Kajua kutuzalilisha wasaudhi.
Wapiga Kura watakuwa wamejidhalilisha sana🤣, Duru za kiumbea zinadai jamaa kashaanza kugawa jezi huko🤣 Analainisha njia.Kama anatokea umachingani,
Akigombea kwa tiketi ya CCM ubunge anapata.
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Amenikumbusha mchaga mmoja ex wangu akiandika sms ukimaliza.kusoma unaenda kumeza diclopar
Herufi kubwa kama zote halafu yaani upuuzi mtupu ngoja nione kama bado ninazo
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.
King Kong III Zamaradi ni nani huko mjini?Umbea suna.Yes ninajua vitu vingi.Unajua sina mme,so kutafuta habari ndo huwa ninafanya at my spare time.Ule muda wa kugusishana vikojoleo,mie ninasaka habari.
Acha kabisaa Zama hapendi kuambiwa ukweli Si ht ishu ya reeeeeenji yake alivouza nyumba Kipindi Cha ICU wakaenda kuhoji Ili waje warushe Kwa tv ukweli,akawalima barua DSTV kua kikirushwa ana sueeee!!!wakatuliaHadi yule milly wa tz shaderoom alivalia njuga hilo swala, zama si ndo akampeleka polisi eti milly anamchafua.
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3526]Shabani madobeSanaaa[emoji23][emoji23][emoji23]huna akili ujue
Ndo naingia jf mda huu mamaSiku ya kufa nyani miti yote huteleza
Btw tuwekeeni hata screenshots basi rey
KayatakaaJamii forum imegeuka kuwa kijiwe cha umbea [emoji2] nimewanyoshea mikono [emoji119],dada atachambuliwa huyu[emoji23]....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1]ht mkuu wa Wilaya YakoTatizo sipo daslamu mm niko mkoani huku hamnaga mastar wanaishi [emoji2]
Pole sanaaaaaOkay,ujue mm nacomment tuu sababu ya Zamaradi namfahamu lkn kinachoendelea huko mjini na Instagram sikijui [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]