Asubutuuuuuuuu......!!!!!Ubunge apatile kwachi?!!nnguuuuuu!!!!aaah...hapati daaadaaa!!!ubungeee[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]kimaraba hichoooUyu Kaka hetu wa kuthini heti hanataka kugombania hubunge na muwandiko hule? Kajua kutuzalilisha wasaudhi.
Umeongea point kubwa sana dada baasi tu...Nyie acheni tu, kuna muda mwanamke Una ndoto zako kubwa, halafu unajikuta uliingia kwenye ndoa na mwanaume Zamwamwa, ndoto yake kubwa ni ale wali wa Nazi na samaki...ajambiane, Yani karidhika.....ndo mwanamke unaanza kupambana kufikia malengo huku ukimantain his status Ili asikukwamishe.....Kina Zamaradi tumejaa tele mtaani.
Ila niwashauri wanawake, Kama you have big dreams usijaribu wala usithubutu kuolewa na wanaume wa ukanda wa Pwani, mostly hawana malengo. Wakati wewe unawaza muinvest mmiliki makampuni, yeye anawaza kuongeza wake amiliki K zaidi....hawana ambition kabisa kwenye maisha, wavivu.....!
Utaishia kuwa Zamaradi, huku unatafuta pesa, huku umaintain status ya mume asionekane umeme mdogo....na bado ukute mume mwenyewe ana gubu humo ndani....tumuoneeni huruma Zama, hapo ukute na kurogwa anarogwa na huyo Mume.
Kura za maoni wa kumtoa nani kule?!! hapo ndo patamu hapoooKama anatokea umachingani,
Akigombea kwa tiketi ya CCM ubunge anapata.
Mhhhh...balaaaAlichosahau mange kusema ni mume wa bi masumbuko pia ana mishe za kijambazi
Ngoja zama aendelee kujibu watu watafunguka tu
Ayuu ankushinda yuuu.....vanu va kuya avana nying'ano za kung'amula🤣🤣🤣🤣🤣Asubutuuuuuuuu......!!!!!Ubunge apatile kwachi?!!nnguuuuuu!!!!aaah...hapati daaadaaa!!!ubungeee[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]kimaraba hichooo
Tumuombeeni mwanamke mwenzetu....ukute anayoyapitia ni mazito Ila ndo anatapa tapa kulinda heshima yake.Umeongea point kubwa sana dada baasi tu...
Kwanza hata mapenzi Yao ujue yalikua ghafla sana,Zama anatoka fiesta tabora hakwenda zingine kesho yake anaolewa watu wanashangaa wanaona Picha mtandaoni na Voice notes za Ruge akililia penzi!
Yaani na hivi baba Ake alikua mganga[emoji1][emoji1]weee..wakikuamulia hawakukosi ,ukibisha muulize diva kutukana kote karudi Kwa mganga mwenyewe
mama k umetisha. Halafu uliniacha hoi uliposema ambition ya dogo Ni kula wali wa Nazi na samaki tu.Ayuu ankushinda yuuu.....vanu va kuya avana nying'ano za kung'amula🤣🤣🤣🤣🤣
Wanawake Ni watu wa ajabu Sana. Hicho anachompendea mrithi ni kitu kimoja tu, si ajabu ni nguvu adimu, siku nazo zikiadimika atatujuza. Na Kama chakula ni wali wa Nazi, chips na sausage hazina muda mrefu.Tumuombeeni mwanamke mwenzetu....ukute anayoyapitia ni mazito Ila ndo anatapa tapa kulinda heshima yake.
Hebu fikiria kutoka Kwa big brain Kama Ruge halafu ujikute umeangukia Kwa Mzee wa Ulisi🤣🤣🤣
Zama amekwama, kuna siku atazinduka ataongea yote.
Eeeh ndio tena za wanawake, watu walituma na kutuma idea zao ila mwisho wa siku hamna mshindi alotangazwa na shindano likafaKwahiyo alifisadi ideas za watu,usikute nyingine ndio anazifanyia kazi
Ndo naingia jf mda huu mama
Nakua na mambo mengiView attachment 2748579View attachment 2748580View attachment 2748581
Umeongea point kubwa sana dada baasi tu...
Kwanza hata mapenzi Yao ujue yalikua ghafla sana,Zama anatoka fiesta tabora hakwenda zingine kesho yake anaolewa watu wanashangaa wanaona Picha mtandaoni na Voice notes za Ruge akililia penzi!
Yaani na hivi baba Ake alikua mganga[emoji1][emoji1]weee..wakikuamulia hawakukosi ,ukibisha muulize diva kutukana kote karudi Kwa mganga mwenyewe
Huu umbeya mpya kwangu,diva karudi kwa mganga?Umeongea point kubwa sana dada baasi tu...
Kwanza hata mapenzi Yao ujue yalikua ghafla sana,Zama anatoka fiesta tabora hakwenda zingine kesho yake anaolewa watu wanashangaa wanaona Picha mtandaoni na Voice notes za Ruge akililia penzi!
Yaani na hivi baba Ake alikua mganga[emoji1][emoji1]weee..wakikuamulia hawakukosi ,ukibisha muulize diva kutukana kote karudi Kwa mganga mwenyewe
Haya bwana acha nikae kimya nisiandike sana[emoji2][emoji849]Mwanaume yoyote mimi namuita kaka, kwani wewe sio mwanaume?? [emoji15]
Kwahiyo Diva sasa hivi mahaba ndindindi kwa sheikh?[emoji2]Umeongea point kubwa sana dada baasi tu...
Kwanza hata mapenzi Yao ujue yalikua ghafla sana,Zama anatoka fiesta tabora hakwenda zingine kesho yake anaolewa watu wanashangaa wanaona Picha mtandaoni na Voice notes za Ruge akililia penzi!
Yaani na hivi baba Ake alikua mganga[emoji1][emoji1]weee..wakikuamulia hawakukosi ,ukibisha muulize diva kutukana kote karudi Kwa mganga mwenyewe
Hii comment na isomwe na wadada wote ambao hawajaolewa yasije kuwakuta pindi watakapokuwa wanafanya maamuzi ya kuingia katika maisha ya ndoa.Nyie acheni tu, kuna muda mwanamke Una ndoto zako kubwa, halafu unajikuta uliingia kwenye ndoa na mwanaume Zamwamwa, ndoto yake kubwa ni ale wali wa Nazi na samaki...ajambiane, Yani karidhika.....ndo mwanamke unaanza kupambana kufikia malengo huku ukimantain his status Ili asikukwamishe.....Kina Zamaradi tumejaa tele mtaani.
Ila niwashauri wanawake, Kama you have big dreams usijaribu wala usithubutu kuolewa na wanaume wa ukanda wa Pwani, mostly hawana malengo. Wakati wewe unawaza muinvest mmiliki makampuni, yeye anawaza kuongeza wake amiliki K zaidi....hawana ambition kabisa kwenye maisha, wavivu.....!
Utaishia kuwa Zamaradi, huku unatafuta pesa, huku umaintain status ya mume asionekane umeme mdogo....na bado ukute mume mwenyewe ana gubu humo ndani....tumuoneeni huruma Zama, hapo ukute na kurogwa anarogwa na huyo Mume.
Mange huwa anadondosha makombora kidogo kidogo kwa kutegeshea,subiri Bi Masumbuko ajichanganye zaidi uone sasa makombora yatakavyovurumishwa non stop.Alichosahau mange kusema ni mume wa bi masumbuko pia ana mishe za kijambazi
Ngoja zama aendelee kujibu watu watafunguka tu
Hahahah eti bi Masumbuko...Mange huwa anadondosha makombora kidogo kidogo kwa kutegeshea,subiri Bi Masumbuko ajichanganye zaidi uone sasa makombora yatakavyovurumishwa non stop.
Huyu dada kweli kiboko 😄Ndo naingia jf mda huu mama
Nakua na mambo mengiView attachment 2748579View attachment 2748580View attachment 2748581