Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
nasikia wanaume wa huko wanavaa shangaHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Haogopi eti baba yake jamaa alikuwa mganga wa nanii kama alikuwepo vile 😄Dada noma huyuu[emoji1][emoji1][emoji1]
Mzee wangu hana darasa hata moja kichwani,kusoma na kuandika alifubdishwa na mama yangu ila anatuma watu wenye shule zao.Kuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Hapa mi nilichoona makosa anayofanya mwamba sheby ni yale yale ya kila siku kwa wengi wa elimu ya darasa la masela. Ila kinachokuzwa ni kwasababu tu watu wanachuki na ujuaji wa zamaradi tu.Mzee wangu hana darasa hata moja kichwani,kusoma na kuandika alifubdishwa na mama yangu ila anatuma watu wenye shule zao.
Kuna demu mmoja ana bachela ya pharmacy O level aligonga 1.14 na advance two ila hajukutofautisha "H" A na R na L .
Kwahiyo hizi ishu za kuandika muda mwingine ni mtu alivyozoea.
😄 😄Ongeza hii, WAKTI
Ndiyo,Ase kwahiyo huwa mnakagua hati yangu sio 😂
Haka ka dada ni ka somji,na kalivyokakamaa utadhani mti wa mchongoma.Bora nipige puli kwa haka ka dada hata jogoo aliwiki.Pana mdada mmoja alistukia hiyo akajaribu kuwa alert watu, kwani walimsikiliza sasa.Zama kawa ahidi atakayetoa idea nzuri atazawadiwa pesa 1M na aliunda groups zaidi ya tano.Watu acha washuke na Idea zao.Alivyoona kazikusanya za kutosha akakimbilia Polisi akamtia ndani yule dada aliyekuwa anawastua watu kuwa wanadanganywa,kamlaza ndani week nzima.Baada ya hapo akayafunga magroup yote na hakutangaza mshindi na hata senti tano hakutoa.Mjini shule [emoji3]
Hawezi msingizia before hajaandika Mange Kuna mtu alikomenti mbonaa ...nadhani alienda chemba kutoa info zaidi!!!!!Duni ni ndogo Sana na Haina siriHaogopi eti baba yake jamaa alikuwa mganga wa nanii kama alikuwepo vile [emoji1]
Hawezi msingizia before hajaandika Mange Kuna mtu alikomenti mbonaa ...nadhani alienda chemba kutoa info zaidi!!!!!Duni ni ndogo Sana na Haina siriHaogopi eti baba yake jamaa alikuwa mganga wa nanii kama alikuwepo vile [emoji1]
Watu wanalipwa shoga Hata nduguyo anakuuza siku Hizi tuwe makini na watu wetu wa karibu wanampelekea mange umbea wanalipwa mahela..famchezo Nini!!!!!
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]mganga alimuacha aropoke tu ,yaani jitu shirikina vile unajitangazia umma mmeachana naimani Abdul alituma majini yote kutoka baharini yamrudishe divaa
Sio akili yake Ile bwanaa !!!Shirki live ile
KuTumuombee tu Kwa kweli
Ila Zamaradi alikua ktk mgogoro na familia yake haswaa wa kiimani ujue maana Jasiri hakua Muslim halafu kingine uhuni mwee yule baba nuksii,Sasa kuoa haoi anakula mzigo tu Ndo maana Alipotokea nnemba wa kukaya hakulaza Damu nadhani kigezo ni dini na Ndo maana walioana ghafla sana,Zama anahama Kwenye nyumba ya Ruge nadhani a week before Ndoa au alihama siku anaolewa akahamia Kule kwake kungine...!!!
Uzuri wa zama sio mtu wa kuongea madhaifu ya mmewe ujue ht km akishindwa ataondoka tu ila Mimi siombei waachane mwenzenu avumilie tu
Sawa baba yako ni mjinga na kakuzaa mjinga🤣🤣🤣Mzee wangu hana darasa hata moja kichwani,kusoma na kuandika alifubdishwa na mama yangu ila anatuma watu wenye shule zao.
Kuna demu mmoja ana bachela ya pharmacy O level aligonga 1.14 na advance two ila hajukutofautisha "H" A na R na L .
Kwahiyo hizi ishu za kuandika muda mwingine ni mtu alivyozoea.
Kweli mganga kiboko[emoji3]Bestie mbona hata jua halikuzama sijui wiki alirudi kipindi kile kile[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]shoga uko mjini au wapiii!!!
Amerudi na mahaba ndio ndio ndi!!!
Yaani ka sio yeye
Chezea mganga weewe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Mganga ilibidi afanye yote Ili asipoteze wateja na akafaulu Kwa hiloo...Tena diva Kawa mpoleee balaaa!!!![emoji1][emoji1][emoji1]na wako wawili na yule wa ArushaKweli mganga kiboko[emoji3]
Ila we iron bataflai jeuri sana[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa baba yako ni mjinga na kakuzaa mjinga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera kwa hela za uchawi[emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaa....jamani mbona Zama kwao sio wa hovyo Sanaa!!!sema udada wa mjini Ndo walikua wanataka na alihakikisha Anakua wake hasaa!!!Alijitongozesha kwa ruge ili apate maisha,ruge akala na kumsibisha,Ila ndoa alimwambia ney
Zama katoka kwenye dhiki
Ndomana anafosi kuwaonyesha watu kuwa kawin maisha
Ku