Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Kua na pesa na hujui kusoma au kuandika, au unaandika kama huyo mume wa Zamaradi ni umaskini. Utajiri sio pesa tu na akili kidogo kichwani plus elimu. Ndio maana kuna tofauti kubwa sana ya matajiri wa Ulaya na Africa, Matajiri wengi wa Ulaya wamesoma kiasi lakini wana IQ kubwa huwadanganyi chochote kwenye kitu chochote.. Sasa tajiri unashindwa hesabu ya darasa la 4, huo ni umaskini tu.Pesa Karatasi.😂😂😂😂😂Hii ni kweli, yupo mkaka namfahamu anazo semi trailer zake kadhaa ana biashara na mshiko mzuri tu ila ndo hivyo hajui kuandika vizuri, kuna siku hesabu ndogo tu ya darasa la nne ilimshinda ikabidi nimsaidie
Aisee,Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Taratibu kaka shem wako a na ha zinamsumbua ana maisha yake bomba tu na PhD ya medical,Kua na pesa na hujui kusoma au kuandika, au unaandika kama huyo mume wa Zamaradi ni umaskini. Utajiri sio pesa tu na akili kidogo kichwani plus elimu. Ndio maana kuna tofauti kubwa sana ya matajiri wa Ulaya na Africa, Matajiri wengi wa Ulaya wamesoma kiasi lakini wana IQ kubwa huwadanganyi chochote kwenye kitu chochote.. Sasa tajiri unashindwa hesabu ya darasa la 4, huo ni umskini tu.Pesa Karatasi.😂😂😂😂😂
Nashauri scale iwe kuanzia 0, kwani hata hiyo moja anaweza asipate kwa baadhi ya raters!Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Nyie ndiho munafuga ujinga. Mnawalisisha nini kizadhi kijacho?
Mtu hajui bhanaShebby kafanya kusudi kuwatoa kwenye mchezo wambea……. Hiyo ni akili kubwa
Hapana jamaa yule ni kilaza wa kutupwa 🤣Shebby kafanya kusudi kuwatoa kwenye mchezo wambea……. Hiyo ni akili kubwa
Usalama inataka kila level..!!Jamaa ni kilaza halafu eti ni usalama. Ndugu wa Majaliwa
mimi ndie mume wa zamaradi vipiMbona kama mnaendana na jamaa, I mean miandiko kama inafanana hivi.
Kaka huo ndio ukweli mtupu,Taratibu kaka shem wako a na ha zinamsumbua ana maisha yake bomba tu na PhD ya medical,
ndo hivyo maisha yanachekesha tuendelee kuishi tu
Shebby kafanya kusudi kuwatoa kwenye mchezo wambea……. Hiyo ni akil
Shebby kafanya kusudi kuwatoa kwenye mchezo wambea……. Hiyo ni akili kubwa
Mtu hajui bhana
Hapana jamaa yule ni kilaza wa kutupwa [emoji1787]
Toka lini kina shebby wakawa na akili kubwa?
Kaka huo ndio ukweli mtupu,
Wanaume wa uswahilini haoHalafu Mwanaume kuweka emoji kwenye uandishi hua inatia mashaka sana.