Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona hii post kama inabomoa zaidi
 
Aisee nmeskrinshot hiyo quote ya mdau. Statement almasi tupu.
 
Very super ingawa ni ya kukatisha tamaa. Ilipaswa isiwe hivi!
 
Mbona sioni jezi za chama
 
Chopa inagharama zaidi ya msafara wa Makonda
 
Bro, mbona hizo gari kama zina namba za kigeni?
 
Punguza hasira. unaotaka kupigia kura unawaita wajinga. Siku Mkapa alivyoiwaita malofa na wapumbavu mli-mind
 
Ndo matumizi ya Kodi zetu hayo we lipa Kodi kwa maendeleo
 
Wajinga ni waliopinga hatua za kulinda rasilimali za taifa kwa kisingizio cha kushitakiwa MIGA
Wewe hunaga akili. Unafikiri adui wa Tanzania ni chadema? Adui yupo kwenye manguo ya kijani huko. Umekariri mpaka leo MIGA. Ungetwambia ni cases ngapi zilpelekwa maharani enzi za yule Prague wako wa chato
 
Sasa hizo gari nyeupe zenye white plate number nazo ni za CCM? Hakuna hata yenye bendera ya chama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…